< 1 Krønikebok 11 >

1 Så kom hele Israel sammen hos David i Hebron og sa: Vi er jo av samme kjød og blod som du.
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
2 Allerede for lenge siden, ennu mens Saul var konge, var det du som førte Israel ut og inn, og Herren din Gud sa til dig: Du skal vokte mitt folk Israel, og du skal være fyrste over mitt folk Israel.
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
3 Og alle Israels eldste kom til kongen i Hebron, og David gjorde en pakt med dem i Hebron for Herrens åsyn; og de salvet David til konge over Israel efter Herrens ord ved Samuel.
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
4 Så drog David og hele Israel til Jerusalem, det er Jebus; der bodde jebusittene, landets oprinnelige innbyggere.
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
5 Og innbyggerne i Jebus sa til David: Du kommer aldri inn her. Men David inntok Sions borg - det er Davids stad.
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
6 Og David sa: Den som først slår jebusittene, skal bli høvding og fører. Og Joab, Serujas sønn, steg først op og blev høvding.
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
7 David tok sin bolig i borgen; derfor kaltes den Davids stad.
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
8 Og han bygget byen rundt omkring, fra Millo og rundt omkring, og Joab bygget resten av byen op igjen.
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
9 David blev større og større, og Herren, hærskarenes Gud, var med ham.
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
10 Dette er de ypperste blandt Davids helter, som sammen med hele Israel kraftig støtet ham i hans kongedømme for å gjøre ham til konge efter Herrens ord om Israel.
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
11 Dette er Davids helter, så mange de var: Jasobam, Hakmonis sønn, høvedsmann for drabantene; han svang sitt spyd over tre hundre falne på en gang.
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
12 Efter ham kom Eleasar, sønn av ahohitten Dodo; han var en av de tre helter.
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
13 Han var med David i Pas-Dammim da filistrene hadde samlet sig der til strid. Der var et jorde som var fullt av bygg, og da folket flyktet for filistrene,
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
14 stilte de sig midt på jordet og berget det og slo filistrene; og Herren gav dem en stor seier.
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
15 Engang drog tre av de tretti høvdinger ned efter berget til David, som var i hulen ved Adullam. Filistrenes hær lå da i leir i Refa'im dalen.
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
16 David var dengang selv i borgen, og filistrenes forpost var i Betlehem.
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
17 Så kom det en brå lyst over David, og han sa: Hvem lar mig få vann å drikke av den brønn som er ved porten i Betlehem?
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
18 Da brøt de tre sig igjennem filistrenes leir og øste vann op av brønnen ved Betlehems port og tok det med sig og kom til David med det; men David vilde ikke drikke det - han øste det ut for Herren.
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
19 Og han sa: Min Gud, la det være langt fra mig å gjøre dette! Skulde jeg drikke disse menns blod, som har satt sitt liv i fare? For med fare for sitt liv har de båret det hit. Og han vilde ikke drikke det. Dette gjorde de tre helter.
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
20 Så var det Absai, bror til Joab; han var fører for de tre. Han svang sitt spyd over tre hundre falne; og han hadde et navn blandt de tre.
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
21 Fremfor de tre var han dobbelt æret og blev deres høvding; men til de tre nådde han ikke op.
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
22 Så var det Benaja, sønn av Jojada, som var sønn av en djerv seierrik stridsmann fra Kabse'el; han slo Moabs to løvehelter. En dag det hadde snedd, steg han ned i en brønn og slo en løve ihjel.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
23 Likeledes slo han ihjel en egypter, en mann som var fem alen lang; egypteren hadde et spyd som en veverstang i hånden; men han gikk ned mot ham med sin stav og rev spydet ut av hånden på egypteren og drepte ham med hans eget spyd.
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
24 Dette gjorde Benaja, Jojadas sønn; han hadde et navn blandt de tre helter.
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
25 Fremfor de tretti var han æret, men til de tre nådde han ikke op. David gav ham plass blandt sine fortrolige rådgivere.
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
26 De djerveste i hæren var: Asael, bror til Joab; Elhanan, Dodos sønn, fra Betlehem;
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
27 haroritten Sammot; pelonitten Heles;
Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
28 teko'itten Ira, sønn av Ikkes; anatotitten Abieser;
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
29 husatitten Sibbekai; ahohitten Ilai;
Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
30 netofatitten Maharai; netofatitten Heled, sønn av Ba'ana;
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
31 Itai, Ribais sønn, fra Gibea i Benjamins stamme; piratonitten Benaja;
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
32 Hurai fra Ga'as-dalene; arbatitten Abiel;
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
33 baharumitten Asmavet; sa'albonitten Eljahba;
Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34 gisonitten Bene-Hasem; hararitten Jonatan, sønn av Sage;
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
35 hararitten Akiam, sønn av Sakar; Elifal, sønn av Ur;
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
36 mekeratitten Hefer; pelonitten Akia;
Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
37 karmelitten Hesro; Na'arai, sønn av Esbai;
Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
38 Joel, bror til Natan; Mibhar, sønn av Hagri;
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
39 ammonitten Selek; berotitten Nahrai, Joabs, Serujas sønns våbensvenn;
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
40 jitritten Ira; jitritten Gareb;
Ira Mithire, Garebu Mithire,
41 hetitten Uria; Sabad, sønn av Ahlai;
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
42 rubenitten Adina, sønn av Sisa, overhode for rubenittene, og foruten ham tretti;
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
43 Hanan, sønn av Ma'aka, og mitnitten Josafat;
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
44 asteratitten Ussia; Sama og Je'uel, sønner av aroeritten Hotam;
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
45 Jediael, sønn av Simri, og hans bror Joha, tisitten;
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
46 Eliel Hammahavim og Jeribai og Josavja, sønner av Elna'am, og moabitten Jitma;
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
47 Eliel og Obed og Ja'asiel Hammesobaja.
Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.

< 1 Krønikebok 11 >