< Tito 2 >
1 Nambu veve uganikiwa kukokosa mawuliwu gachakaka.
Inakupasa kufundisha itikadi sahihi.
2 Vajovela vagogo kuvya viganikiwa vayihotola mitima yavi, vavya veviyuwanilwa na vandu na vangolongondi, viganikiwa vavyai na sadika ya chakaka, uganu na kusindimala.
Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.
3 Mewawa vajovela vadala vagogo vatama wumi wa kumganisa Chapanga, vakotoka kuvya vevikomanesa vandu amala vavanda va divayi. Viganikiwa kuwula mambu gabwina,
Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema,
4 muni vavawula vanyina vasikana kuvagana vangwana vavi na vana vavi,
ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa na kiasi, wawapende waume zao na kuwapenda watoto wao,
5 vavya vevakuhotola mitima yavi na vanyambi, valola bwina mambu ga panyumba, na vavayidakila vangwana vavi, muni ujumbi wa Chapanga ukoto kuveveswa.
wawe waaminifu, watakatifu, wakitunza vyema nyumba zao, wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu yeyote asije akalikufuru neno la Mungu.
6 Mewawa, mvajovela vasongolo vayihotola mitima yavi.
Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi.
7 Mu mambu goha wamwene uganikiwa kuvya luhumu lwa kukita matendu gabwina. Mumawuliwu gaku ulangisa wamwene ukugasadika na kugalanda.
Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu,
8 Malovi gaku gakotoka kuvya na mabudilu gogoha muni makoko gaku gakola soni na vakotoka kuvya na chindu chochoha chihakau chakujova kutivala tete.
na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.
9 Vavanda viganikiwa kuvayidakila vakulu vavi na kuvaganisa kwa mambu goha. Vakotoka kujovesana nawu,
Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao,
10 amala kuyiva vindu vyavi. Pahala paki viganikiwa kulangisa kuvya vabwina na vakusadikiwa magono goha, muni vakita mawuliwu ga Chapanga gabwina, msangula witu mukila njila.
wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.
11 Muni ubwina wa Chapanga wa kuvasangula vandu voha ugubukuliwi.
Kwa maana neema ya Mungu ambayo inawaokoa wanadamu wote imefunuliwa.
12 Ubwina wenuwo wa Chapanga ukutiwula kuleka mambu gangamganisa Chapanga na mnogo woha uhakau wa pamulima, tivya na uhotola wa kuyitohola mitima, na kutama bwina palongolo ya Chapanga pamulima uwu weukumbudila Chapanga, (aiōn )
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
13 petilindila ligono lila la luheku lukulu yati tihuvalila yetilindila, penapo peuhumila Ukulu wa Chapanga Mkulu na Msangula witu Yesu Kilisitu.
huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 Mwene Kilisitu ajiwusili mwene ndava yitu muni atigombola kuhuma mu uhakau woha na kutikita tivya tavandu vaki mwene vamsopi, vandu vevigana kukita gabwina.
Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.
15 Hinu, wula mambu genago na kutumila uhotola waku woha kuvakangamalisa mitima na kuvahakalila. Na mundu yoyoha na akotoka kukuvevesa.
Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau.