< Valumi 13 >

1 Kila mundu iganikiwa kuvayidikila vachilongosi va mulima vevana uhotola muni kawaka mundu mweihotola kulongosa ngati Chapanga amvikili lepi alongosayi.
Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.
2 Mundu yula mweibela ulongosi, mwenuyo ibela malagizu ga Chapanga, na mweikita chenicho akujiletela uhamula mwene.
Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.
3 Muni, vevitalalila viyogopwa lepi na vandu vevikita gabwina, nambu viyogopwa na vandu vala vevikita gahakau. Na veve wiganikiwa lepi kumuyogopa mweakulongosa. Kita gabwina na mwene yati akulumbalila,
Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.
4 muni mwene akumuhengela Chapanga ndava yinu muni mpata gabwina. Nambu ngati ukita gahakau, ndi penapo umuyogopa, muni ana uhotola wa kuhamuliwa. Mwene ilangisa ligoga la Chapanga kwa vala vevikita uhakau.
Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.
5 Ndi wiganikiwa kuvatopesa vanauhotola, lepi ndava ya kuyogopa kuhamuliwa na Chapanga nambu ndava ya mtima waku wimanya chewigana kuhenga.
Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.
6 Ndava yeniyo nyenye mwilipa kodi, muni vevitalalila avo vakumuhengela Chapanga ndava ya mahengu gavi.
Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.
7 Mumpela kila mundu cheiganikiwa kupewa, ngati udayiwa kodi, mumpela kodi, ngati udayiwa ushulu, mumpela ushulu, mweiganikiwa kuyogopwa ndi ayogopewayi mweiganikiwa kutopeswa mumtopesa.
Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.
8 Mkoto kuvya na lideni kwa mundu yoyoha, nambu lideni kuganana ndu. Muni mundu mweakumgana muyaki akugalanda malagizu ga Musa.
Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.
9 Muni mihilu yene ndi yeniyi, “Kotoka kukita ugoni, koto kukoma, koto kuyiva koto kunogela vindu vya vandu,” Na zingi zoha zivii mu malagizu lenili limonga, “Umganayi muyaku ngati cheukujigana wamwene.”
Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
10 Ukamganayi muyaki uhotola lepi kumkitila uhakau. Hinu uganu ndi kwenuko ndi kutimila kwa Malagizu goha.
Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
11 Mkita naha, ndava muni lukumbi lwinu lwa kuyumuka mu lugono luhikili, usangula witu luhegelili papipi neju kuliku patatumbwili kusadika.
Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini.
12 Hinu kilu yipitili na muhi luhegelela. Ndi tileka kukita mahakau ga chitita na titola vindu vya kukomanila ngondo vya lumuli.
Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.
13 Titama bwina ngati vandu vevitama lukumbi lwa muhi. Tileka mselebuko weuvi na matendu gahakau, na kugala na ukemi na uhakau na ngondo na wihu.
Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.
14 Mkitayi vandu vamlolayi BAMBU witu Yesu Kilisitu avi muwumi winu, na mleka kuzihololela mnogo uhaku wemuvelikiwi nawu na kuzilanda.
Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.

< Valumi 13 >