< Ugubukulo 9 >
1 Kangi mtumu wa kunani kwa Chapanga wa mhanu akapyula lipenenga laki. Nene nayiwene ndondo yeyigwili panani ya mulima kuhuma kunani. Yene yapewili fungulu za kudindulila Ligodi langali mwishu. (Abyssos )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
2 Hinu, ndondo yeniyo yadindwili Ligodi langali mwishu, likahuma lyohi lawonikini ngati lyohi lelihuma kulitanulu livaha. Lilanga na kunani ndi vyagubikwi na lyohi wenuwo kuhuma wa ku Ligodi litali langali mwishu. (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
3 Mambalanguli gakahuma kuvala ya lyohi lenilo, vakabwela pamulima, vapewili makakala ga kuluma ngati makakala ga chipilili.
Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
4 Vajoviwi vakotoka kuhalabisa manyahi ga mulima amala mahamba ga mkongo wowoha wula na mimea, nambu vavavinisa vandu vangali ulangisu wa Chapanga muchiwungi cha mihu.
Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
5 Mambalanguli genago gapewili lepi amuli ya kuvakoma vandu vala, nambu vavang'aha ndu mulukumbi lwa miyehi mhanu. Na mvinisu wenuwo uvya ngati mundu mwealumiwi na vipilili.
Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
6 Lukumbi lwenulo vandu yati vilonda lifwa nambu yati vifwa lepi, yati vilonda kufwa nambu lifwa likuvatila.
Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
7 Mambalanguli genago gawonekana ngati falasi vevatendelekiwi kungondo. Panani ya mitu yavi kwavili vindu vyeviwangana na njingwa za zahabu na viwungi vyavi vyawanangini na viwungi vya vandu.
Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 Mayunju gavi gatali ngati mayunju ga vadala na minu gavi ngati minu ga lihimba.
Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9 Na nganga zavi zagubikwi na chindu ngati nyula ya lyuma kujilindalila nganga. Lwami lweluhuma mumagwaba gavi wavi ngati mutuka zamahele zezihutwa na falasi vevijumba kungondo.
Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
10 Vavi na mikila yeyivii na minga ngati chipilili, na kwa mumikila yeniyo, yavi na makakala ga kuvalemasa vandu mulukumbi lwa miyehi mhanu.
Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
11 Kangi vavi na nkosi mweakuvalongosa, mwene ndi mtumu wa kunani kwa Chapanga mweapewili uhotola wa Ligodi langali mwishu, liina laki kwa Chiebulania ndi Abadoni, na kwa Chigiliki ndi Apolioni, mana yaki ndi “Mkomaji.” (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
12 Lukumbi lwa kutumbula lwa kuchikolela lumali kupita, na kwakona gangi gavili.
Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
13 Kangi, mtumu wa kunani kwa Chapanga wa sita akapyula lipenenga laki. Na nene nayuwini lwami kuhuma pandi mcheche za lusanja lwa luteta lwa zahabu yeyavi palongolo ya Chapanga.
Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
14 Lwami lula lukamjovela mtumu wa kunani kwa Chapanga wa sita mweavi na lipenenga, “Vadindulila vamitumi va kunani kwa Chapanga mcheche vevadindiwi mumfuleni uvaha Eufulati!”
Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
15 Vala vajumbi mcheche va Setani vadinduliwi, na vatendalakiwi ndava ya likumbi lulolo na ligono lilolo mwehi wunuwo na mwaka wuwowo, muni vavakoma lilundu limonga pagati ya malundu gadatu gegiwanangana wa vandu.
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
16 Nayuwini mvalangu wa msambi wa manjolinjoli vevitama panani ya falasi, vene vavi milioni miya zivili.
Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
17 Mukulola kwangu kula naloli naha: Falasi na vevitama panani ya falasi vavi na nyula za lyuma munganga zavi zezavi zidung'u ngati motu zezivii na langi ya buluu ngati kunani na njanu ngati liganga la baluti. Mitu ya falasi avo yavi ngati lihimba na mu milomo yavi mwahumayi lyohi na motu na baluti yeyiyaka.
Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
18 Lilundu limonga pagati ya gadatu ya vandu veviwanangana vakomiwi kwa matovilu genago gadatu, kwa motu na lyohi na baluti yeyiyaka yeyahumayi mu milomo ya falasi,
Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
19 makakala ga falasi wenawo yavi mu milomo na mumikila yavi. Mikila yavi ngati mitu ya liyoka, vene vahengili kuvaluma vandu.
Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
20 Nambu vandu vangi vangakomiwa kwa matovilu ago gadatu, valekili lepi kumbudila Chapanga ya kugundamila vindu vyevatenganizi vene. Valekili lepi kugundamila mzuka na chimong'omong'o cha zahabu na feza na shaba na maganga na mikongo zangahotola kulola amala kuyuwana amala kugenda.
Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
21 Mewawa valekili lepi kumbudila Chapanga, valekili lepi kuleka kuhenga ukomaji na uhavi na ukemi na uhiji.
Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.