< Vafilipi 1 >
1 Nene Pauli na Timoti vatumisi va Yesu Kilisitu. Tikuvayandikila nyenye vandu va Chapanga mwemuvi ku Filipi mwemuwungini na Kilisitu Yesu, pamonga na vachilongosi na vatangatila va msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu Yesu.
Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
2 Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga kwa Chapanga Dadi witu na Bambu witu Yesu Kilisitu.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Lukumbi lwoha nikumsengusa Chapanga penikuvakumbuka.
Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
4 Lukumbi lwoha penikuvayupila mwavoha kwa Chapanga ndi nikuvayupila kwa luheku,
Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
5 ndava ya kuwungana na nene mulihengu la kuvakokosela vandu Lilovi la Bwina kuhumila kutumbula hati lelu.
kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
6 Hinu nimanya chakaka kuvya Chapanga mweatumbwili lihengu lenili labwina mumitima yinu, yati ayiyendeleza mbaka mu ligono lila la kubwela kavili Yesu Kilisitu.
Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
7 Ndi chabwina nene kuvaholalela nyenye ndava nyenye muvi mugati ya mutima wangu. Ndava muni mwavoha nyenye muhanganila na nene muubwina weatipeli Chapanga mukukokosa na kulikengelela Lilovi la Bwina, hinu penivili mchifungu na kutumbula penalekekiswi.
Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
8 Chapanga amanyili kuvya nijova chakaka pala penijova muuganu kwa mtima wangu woha, kwa uganu wewihuma kwa Kilisitu Yesu.
Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
9 Nikumuyupa Chapanga uganu winu uyonjokesa neju na neju pamonga na kuumanya uchakaka na luhala lwoha,
Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
10 muhotola kuhagula lijambu lelivi labwina neju. Penapo ndi yati mwivya vabwina changali uhakau wowoha pa ligono la kuwuya Kilisitu.
ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
11 Wumi winu yati wimemeswa mambu gala geakugagana Chapanga mujila ya Kilisitu Yesu ndu ndava ya ukulu wa Chapanga na muni vandu vamtopesa na kumulumba Chapanga.
mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
12 Valongo vangu, nigana mmanya kuvya mambu goha geganikolili gatangatili neju kudandasa Lilovi la Bwina.
Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
13 Ndava ya genago valonda voha va nyumba ya nkosi pamonga na vangi voha penapa vimanya kuvya nivii muchifungu ndava nene nikumhengela Kilisitu.
Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
14 Ndava ya kukungiwa muchifungu ndi kuvakitili valongo vamahele vahotola kuyima cha kusindimala kwa sadika kwa Bambu, hati vahotola kukokosa ujumbi wa Chapanga changali wogohi.
Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
15 Chakaka vandu vangi vakumkokosa Kilisitu ndava vana wihu na luhonda, nambu vangi vakokosa Lilovi la Bwina la Yesu Kilisitu kwa mtima wabwina na kugana kuvatangatila vandu.
Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
16 Vandu ava vihenga naha kwa mtima wa uganu muni vamanyili kuvya Chapanga anipeli lihengu lenili la kuyikengelela Lilovi la Bwina.
Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
17 Nambu vangi vala vakulikokosa Lilovi la Kilisitu kwa mhutanu nambu lepi kwa mtima wa bwina. Viholalela mukukita genago vakuniyonjokesela mang'ahiso gangu muchifungu.
Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
18 Hinu chindu lepi! Nene niheka ngati vandu vakumkokosa Kilisitu kwa kila njila, yivya kwa mtima wabwina amala kwa mtima uhakau, kavili yati niyendelela kuheka.
Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
19 Ndi nimanyili kuvya chamukuniyupila na mu njila ya utangatila wa Mpungu wa Yesu Kilisitu, goha geganikolili nene yati nihuma muchifungu.
kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
20 Nihuvalila kwa mnogo uvaha na kuhuvalila ndi kuvya katu yati nikola lepi soni kwa kuleka kuhenga gegiganikiwa ndava ya Yesu Kilisitu. Ngati chanahengili kadeni. Na hinu nisadika wumi wangu yati ukumpela utopesa Kilisitu nivya mumi amala nifwili.
Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
21 Kwa nene kuvya mumi ndi kumuhengela Kilisitu hati kufwa ndi chindu chabwina neju kwangu.
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
22 Nambu ngati mukutama yati nihotola kuhenga lihengu la kuvatangatila vandu vangi. Hinu nimanyili lepi? Nihagula loki!
Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
23 Nihutwa kuni na kuni mambu aga gavili. Ninogela kuuleka mulima uwu muni nihambayi kutama pamonga na Kilisitu, lijambu lelivii labwina neju,
Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
24 nambu chabwina neju kwinu nyenye ngati niyendalili kutama.
Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
25 Namwene nimanyili chakaka kuvya yati niyendelela kutama na nyenye voha muni muvatangatila muusadika na muvya na luheku musadika yeniyo,
Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
26 Hinu penivya na nyenye kavili, yati mwivya na chindu cha kumekela neju ndava yangu muwumi wa kuwungana na Kilisitu Yesu.
Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
27 Hinu, lijambu leliganikiwa ndi kuvya matendu ginu gavyai ngati cheligana Lilovi la Bwina la Kilisitu muni ngati nihotwili kuwuya kwinu amala nakuhotola, muni nipata kuyuwana kuvya musindimili kuyima muvi mtima umonga na mtovana ngondo kwa mtima umonga. Ndava ya kuyikengelela sadika yeyiletwa na Lilovi la Bwina.
Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
28 Mkotoka kuvayogopa vamakoko vinu, nambu mvya vakekesi magono goha, na yeniyo yikuvalangisa kuvya vene yati vihoto lepi, nambu nyenye mukuvahotola muni Chapanga mwene ndi mweakuvapela uhotola.
wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
29 Muni nyenye mudinduliwi mlyangu wa kumhengela Kilisitu lepi kumsadika ndu, nambu mewa mukung'aiswa ndava ya mwene.
Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
30 Hinu mwihotola kuvya pamonga na nene mukutovana ngondo. Ngondo yeniyi ndi yila yemwalolili yanatovana kadeni pala nakona nitovana hinu ngati chemwiyuwana.
kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.