< Filimoni 1 >
1 Nene Pauli, mkungiwa ndava ya kumuhengela Yesu Kilisitu, pamonga na Timoti mlongo witu, tikuyandikila veve Filimoni, muhenga lihengu muyitu na nkozi muyitu mwatikuganili,
Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
2 na msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu vevikonganeka munyumba yaku, pamonga na mlumbu witu Afia, na manjolinjoli muyitu Alikipo.
na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3 Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga Dadi witu na Bambu witu Yesu Kilisitu.
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4 Lukumbi lwoha penimyupa Chapanga, nikukumbuka veve Filimoni na kumsengusa Chapanga,
Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
5 muni niyuwana chauyimili musadika kwa Bambu witu Yesu na uganu kwa vandu voha va Chapanga.
maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
6 Niyupa, kuvya kwinu musadika pamonga na veve, ukukita umanya kila chindu chabwina chetivili nachu mukuwungana na Bambu witu Kilisitu.
Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
7 Mlongo, uganu waku uletili luheku luvaha na kukangamalisa mtima neju! Na veve usangalwisi mitima ya vandu va Chapanga.
Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
8 Nene namlongo waku mukuwunga na Kilisitu nganihotwili kukulagiza changali wogohi ukita chauganikiwa kukita.
Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
9 Nambu ndava ya uganu, mbanga nikuyupe. Nikita chenichi pamonga nene Pauli mwanivii nagogo, na hinu mkungiwa ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu.
Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
10 Hinu, nina luyupu kwaku kumvala Onesimo mweavili mwana vangu kwa kuwungana na Kilisitu. Muni navili dadi waki wa chimpungu petavili mchifungu.
Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
11 Pakutumbula apo avili lepi na lihengu kwaku nambu hinu ana lihengu kwa veve na nene mewa.
Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
12 Hinu nikumuwuyisa kwaku, pamonga nene nikumgana neju.
Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
13 Nigana atama na nene apa anitangatila pahala paku veve, lukumbi penivili mchifungu ndava ya kukokosa Lilovi la Bwina.
Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
14 Nikita lepi chindu chochoha changali kuyidakila veve. Naganili veve ubwela kwa kugana kwaku na lepi kwa kung'ang'aniswa.
Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
15 Pangi Onesimo awukili kwaku lukumbi lutali, muni uhotola kavili kuvya na veve magono goha. (aiōnios )
Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima. (aiōnios )
16 Hinu mwene mvanda lepi kavili nambu mbwina kuliku mvanda. Mwene hinu ndi mlongo witu mganu. Ndi mbwina kwa nene na kwaku yati ivya mbwina neju, muni mwene ndi mundu ngati tete na mlongo witu mukuwungana na Bambu.
Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
17 Nambu, ukuniwona nene namuhenga lihengu muyaku hinu ndi mpokela Onesimo ngati ukunipokela nene.
Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
18 Ngati akubudili chindu, amala atolili chindu chaku, nene yati nikuwuyisila.
Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
19 Nene Pauli nikuyandikila kwa chiwoko changu namwene yati nikulipa. Kangi nigana lepi nikukumbusa kuvya veve una chindu cheuganikiwa kuniwuyisila ndi wumi waku.
Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
20 Hinu mlongo wangu, nikitila lijambu lenilo ndava ya Bambu, lisangalusa mtima wangu, ngati mlongo mukuwungana na Kilisitu.
Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21 Niyandika kuni nihuvalila kuvya yati wiyidakila luyupu lwangu, kavili nimanyili kuvya yati ukita hati neju ya ago genikuyupa.
Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22 Pamonga na aga, nitendelekela chumba cha kugona, muni mukuyupa kwinu Chapanga, yati akuniwuyisa kavili kwinu.
Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23 Epafla, mweakungiwi pamonga na nene ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu, akukujambusa.
Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24 Mewawa Maluko na Alistako na Dema na Luka, vahenga lihengu vayangu, vakuvajambusa.
Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25 Nikuvaganila mwavoha nyenye ubwina wa Bambu witu Yesu Kilisitu.
Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.