< Matei 9 >

1 Yesu akayingila muwatu na kukupuka munyanja na kuhika kumuji wavi.
Yesu akaingia kwenye chombo, akavuka na kufika katika mji wa kwao.
2 Penapo vandu vamletili mundu mmonga mweapoli higa, vamgonisi pa lusongwani. Yesu paavaweni chavisadika, akamjovela mundu mweapoli yula, “Jipolesa mtima mwana vangu! Kumbudila kwaku Chapanga ulekekiswi.”
Wakati huo huo wakamletea mtu aliyepooza, akiwa amelazwa kwenye mkeka. Yesu alipoiona imani yao, alimwambia yule mtu aliyepooza, “Mwanangu, jipe moyo mkuu. Dhambi zako zimesamehewa.”
3 Vawula vangi va malagizu vakatumbula kuhololela, “Mundu uyu akumliga Chapanga!”
Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu wa sheria wakasema mioyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”
4 Yesu amanyili maholo gavi akajova, “Ndava kyani mhololela gahakau mumtima winu?
Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, akawaambia, “Kwa nini mnawaza maovu mioyoni mwenu?
5 Chinonopa kiki kujova, ‘Ulekekiswi kumbudila Chapanga waku,’ Amala kujova, ‘Yima, ugenda?’
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?
6 Hinu, nigana mmanya kuvya Mwana wa Mundu anauhotola pamulima kuvalekekesa vandu gevambudili Chapanga.” Penapo ndi akamjovela mundu mweapoli yula, “Yima ugega lusongwani lwaku amba kunyumba yaku!”
Lakini, ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Ndipo akamwambia yule aliyepooza, “Inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
7 Na mundu mwenuyo akawuka na kuhamba kunyumba yaki.
Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani kwake.
8 Msambi wa vandu wula pevagaweni ago, vakakangasa na kuyogopa, vakamulumbalila Chapanga mweavapelii vandu uhotola wenuwu.
Makutano walipoyaona haya, wakajawa na hofu ya Mungu, wakamtukuza Mungu ambaye alikuwa ametoa mamlaka kama haya kwa wanadamu.
9 Yesu akawuka penapo, ndi peavili mukuhamba amuwene mundu mmonga mweikemiwa Matei, atamili munyumba ya kutolela kodi. Hinu, Yesu amjovili, “Unilanda.” Namwene akayima na kumlanda.
Yesu alipokuwa akienda kutoka huko, alimwona mtu mmoja jina lake Mathayo akiwa ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru. Yesu akamwambia, “Nifuate.” Mathayo akaondoka, akamfuata.
10 Yesu peatamili munyumba ya Matei, kulya chakulya, vatola kodi vamahele na vevakumbudila Chapanga vabwelili kulya nayu, pamonga na vawuliwa vaki.
Yesu alipokuwa akila chakula ndani ya nyumba ya Mathayo, watoza ushuru wengi na “wenye dhambi” wakaja kula pamoja naye na wanafunzi wake.
11 Pagati ya Vafalisayu vangi pavagaweni genago, vakavakota vawuliwa vaki, “Ndava kyani muwula winu ilya pamonga na vatola kodi na vandu vevakumbudila Chapanga?”
Mafarisayo walipoona mambo haya, wakawauliza wanafunzi wake, “Kwa nini Mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
12 Yesu akavayuwana, akayangula, “Vandu vangalwala nakugana mlamisa, nambu vana matamu ndi vakumgana mlamisa.
Lakini Yesu aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu.
13 Hinu mukajiwula malovi aga mana yaki kyani, ‘Nigana lipyana, lepi luteta lwa kutinyisa.’ Nibweli lepi kuvakemela vandu vevihenga matendu gabwina palongolo ya Chapanga, nambu ndava ya vevakumbudila Chapanga.”
Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
14 Kangi, vawuliwa va Yohani Mbatizaji vamubwelili Yesu, vakamkota, “Tete na Vafalisayu tikujihinisa kulya chakulya pamahele ndava ya Bambu. Ndava kyani vawuliwa vaku vakujihinisa lepi kulya chakulya?”
Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja na kumuuliza Yesu, “Imekuwaje kwamba sisi na Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”
15 Yesu akayangula, “Wu, vandu vevagongoliwi kumselebuko wa pandowa yihotoleka vatama ngolongondi kuni vavi pamonga na mkolo ndowa? Lepi, nambu lwalabwela lukumbi lwa mkolo ndowa kuwusiwa, lwenulo ndi lukumbi lwavene kujihinisa kulya chakulya.”
Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kuomboleza wakati angali pamoja nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.
16 “Vandu vitota lepi chilaka cha nyula ya mupya munyula ya lindimula. Muni chilaka chenicho yati chipapula neju nyula lindimula na pandu pala yati piyonjokeseka neju kupapuka.
“Hakuna mtu anayeshonea kiraka kipya kwenye nguo iliyochakaa, kwa maana kile kiraka kitachanika kutoka kwenye hiyo nguo, nayo hiyo nguo itachanika zaidi.
17 Vandu nakusopa divayi ya mupya muchihaku cha chikumba chechilali. Ngati vasopii muchihaku cha chikumba chechilali yati chibayuka na divayi yati yiyitika. Nambu vandu visopa divayi ya mupya muchihaku cha chikumba cha mupya. Na vyoha, vihaku na divayi yati visindimala bwina.”
Wala watu hawaweki divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama wakifanya hivyo, viriba vitapasuka nayo divai itamwagika, navyo viriba vitaharibika. Lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya, na hivyo divai na viriba huwa salama.”
18 Yesu peavi akona angamala kujova malovi ago, chilongosi mmonga Myawudi ambwelili, akamfugamila na kujova, “Msikana wangu afwili hinu. Nambu chondi tihamba ukamvikila mawoko gaku yati itama kangi.”
Yesu alipokuwa akiwaambia mambo haya, mara akaingia kiongozi wa sinagogi akapiga magoti mbele yake, akamwambia, “Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini njoo uweke mkono wako juu yake, naye atakuwa hai.”
19 Yesu akayima na kumlanda na vawuliwa vaki vakamlanda.
Yesu akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.
20 Mau mmonga, avi na utamu wa kuhuma ngasi lukumbi lwa miyaka kumi na yivili, amlandili Yesu mumbele, na kupamisa lugunyilu lwa nyula yaki.
Wakati huo huo, mwanamke mmoja, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja nyuma ya Yesu, akagusa upindo wa vazi lake,
21 Akitili chenicho ndava ya aholalili mumtima waki kuvya, “Nakapamisa ndu nyula yaki, yati nilama.”
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
22 Yesu ang'anamwiki na kumlola akamjovela, “Msikana wangu, kangamala mtima kusadika kwaku kukulamisi.” Mau yula akalama lukumbi lulalula.
Yesu akageuka, naye alipomwona akamwambia, “Binti, jipe moyo mkuu, imani yako imekuponya.” Naye yule mwanamke akapona kuanzia saa ile ile.
23 Yesu ayingili munyumba ya chilongosi yula na peavawene vabeta chitolilo na msambi wa vandu, vivembeneka na kugalawuka,
Yesu alipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi na kuwaona waombolezaji wakipiga filimbi za maombolezo na watu wengi wakipiga kelele,
24 avajovili vandu vala “Muwuka pandu apa! Msikana akona mumi, agonili ndu.” Vene vamkamheka.
akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.
25 Hinu msambi wa vandu pavawukili, Yesu akayingila mugati na kumkamula msikana yula chiwoko, na msikana yula akayima.
Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.
26 Malovi ago gadandasiki neju pamulima wula woha.
Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.
27 Yesu akawuka pandu penapo, na peavi mukuhamba, vangalola vavili vamlandili na kuywanga, “Mwana wa Daudi utihengela lipyana!”
Yesu alipokuwa akiondoka mahali pale, vipofu wawili wakamfuata wakipiga kelele kwa nguvu na kusema, “Mwana wa Daudi, tuhurumie!”
28 Yesu peayingili munyumba, vangalola vala vamhambili namwene avakotili, “Wu, mwisadika kuvya nihotola kuvalamisa?” Vene vakayangula, “Ena, Bambu.”
Alipoingia mle nyumbani wale vipofu wakamjia. Naye Yesu akawauliza, “Mnaamini kwamba ninaweza kufanya jambo hili?” Wakamjibu, “Ndiyo, Bwana.”
29 Penapo Yesu akavapamisi mumihu gavi na kujova, “Ndi, gavyai mewa kwa nyenye ngati chemwisadika!”
Ndipo Yesu akagusa macho yao na kusema, “Iwe kwenu sawasawa na imani yenu.”
30 Mihu gavi gadindwiki. Namwene Yesu akavabesa neju, “Mkoto kumjovela mundu yeyoha lijambu lila.”
Macho yao yakafunguka. Yesu akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”
31 Nambu vene vawukili na kugadandaula malovi ga Yesu pamulima wula woha.
Lakini wao wakaenda na kueneza habari zake katika eneo lile lote.
32 Vandu pavawukili, vandu vangi vamletili Yesu mundu mmonga ngajova ndava ya kutalaliwa na mzuka.
Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu na ambaye hakuweza kuongea aliletwa kwa Yesu.
33 Bahapo mzuka wula pawavingiwi, mundu yula akatumbula kujova kavili. Vandu voha vakakangasa na kujova “Lijambu ngati lenili kawaka peliwonekini pa Isilaeli!”
Yule pepo mchafu alipotolewa, yule mtu aliyekuwa bubu akaongea. Ule umati wa watu ukastaajabu na kusema, “Jambo kama hili kamwe halijapata kuonekana katika Israeli.”
34 Nambu Vafalisayu vakajova, “Akuyivinga mizuka kwa makakala ga mkulu wa mizuka.”
Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”
35 Yesu avi mukugenda mumiji na muhijiji yoha, awulayi munyumba za kukonganekela Vayawudi. Ikokosa Lilovi la Bwina la unkosi wa Chapanga, na kuvalamisa matamu gavi na kuvawusila ng'ani zavi.
Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi.
36 Hinu, peauwene msambi wa vandu, avahengili lipyana ndava vatotokili neju changali utangatila, ndi vavi na mtahu ngati mambelele gangali mdimaji.
Alipoona makutano, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.
37 Kangi akavajovela vawuliwa vaki, “Mabenu gamahele, nambu vabenaji vadebe.
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache.
38 Hinu muyupa mkolo mabenu gaki avatuma vanalihengu vabena mabenu gaki.”
Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.”

< Matei 9 >