< Matei 23 >
1 Kangi Yesu akaujovela msambi wa vandu pamonga na vawuliwa vaki,
Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake:
2 “Vawula va malagizu na Vafalisayu ndi vevavi na uhotola wa kudandaula malagizu ga Musa.
“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Mose,
3 Hinu mugakamula na kugalanda malovi goha gevakuvajovela, nambu mkoto kuyigila matendu gavi, muni vene vihenga lepi gala gevikokosa.
hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.
4 Vene vikunga ndwika yeyitopa na kuvagegesa vandu mumavega gavi, kuni vene vaganili lepi hati kutalambula lungonji kutangatila kugega.
Wao hufunga mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata kuinua kidole ili kuisogeza.
5 Vene vihenga kila chindu, ndava kulolekana na vandu, viwala vindu vivaha vyeviyandikiwi malagizu pamihu gavi na mumawoko na kutalambula lugunyilu lwa nyula zavi.
“Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao.
6 Vigana kutama muvigoda vya palongolo pa mselebuko, na muvigoda vya kulongolo munyumba za kukonganekela Vayawudi,
Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.
7 mewawa vigana kujambuswa cha kutopeswa pandu pa kugulisila na kugula vindu na kukemelewa, ‘Muwula.’
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
8 Nambu nyenye mkoto kuyidakila kukemelewa ‘Muwula,’ Ndava muni mwavoha nyenye mwavalukolo na Muwula winu ndi mmonga.
“Lakini ninyi msiitwe ‘Rabi,’ kwa sababu mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.
9 Mewa mkoto kumkemela mundu yeyoha pamulima apa dadi, muni Dadi winu ndi mmonga ndu mweavi kunani.
Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba,’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.
10 Mkoto kuyidakila kukemelewa vachilongosi, muni chilongosi winu ndi mmonga ndu, ndi Kilisitu Msangula.
Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Kristo.
11 Mweavi mvaha pagati yinu yikumgana avyai muhengaji winu.
Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
12 Na yeyoha mweakujikwiha yati iheleswa, na mweakujihelesa yati ikwihiwa.”
Kwa kuwa yeyote anayejikweza atashushwa, na yeyote anayejinyenyekeza atakwezwa.
13 “Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu ga Chapanga geampeli Musa na Vafalisayu! Mukujikita vabwina! Mwidinda mlyangu wa unkosi wa kunani kwa Chapanga palongolo ya mihu ga vandu, mwavene mwiyingila lepi mugati na kuni mukuvayidakila lepi vevigana kuyingila vayingila.
“Lakini ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Kwa maana mnawafungia watu milango ya Ufalme wa Mbinguni. Ninyi wenyewe hamuingii humo, nao wale wanaotaka kuingia mnawazuia. [
14 Mwalachikolela nyenye, vawula va malagizu na Vafalisayu, mukujikita vabwina! Ndava muni mwinyaga vindu vya valipwela na kujilangisa kuvya vandu mwemkumganisa Chapanga, kwa kumuyupa Chapanga mulukumbi lutali, ndava yeniyo uhamula winu yati yivya yivaha neju.”
Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo hukumu yenu itakuwa kuu zaidi.]
15 Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu ga Bambu geampeli Musa na Vafalisayu, mukujikita vabwina! Muvi mulugendu munyanja na mundumba, muni mwilonda mundu mmonga alanda njila yinu ya kumuyupa Chapanga. Pemukumpata mukumkita iganikiwa neju kuhamba mumotu wa magono goha wangajimika kuliku mwavene. (Geenna )
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna )
16 Mwalachikolela nyenye vilongosi vangalola! Mwemwijova ngati mundu alapili mu Nyumba ya Chapanga chindu lepi, nambu mundu akalapa kwa zahabu yeyivii mu Nyumba ya Chapanga, ndi chilapu chenicho chikumukamula.
“Ole wenu, viongozi vipofu! Ninyi mwasema, ‘Mtu akiapa kwa Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini mtu akiapa kwa dhahabu ya Hekalu, amefungwa kwa kiapo chake.’
17 Nyenye mwangalola vayimu! Choki chivaha neju, zahabu amala Nyumba ya Chapanga yeyikuinyambisa zahabu kuvya msopi?
Ninyi vipofu wapumbavu! Ni kipi kilicho kikuu zaidi: ni ile dhahabu, au ni lile Hekalu linaloifanya hiyo dhahabu kuwa takatifu?
18 Mwijova kavili mewawa kuvya mundu akalapa pa lusanja lwa luteta ndi chindu lepi, nambu mundu akalapai na luteta lweluvikiwi panani ya lusanja lwenulo ndi chilapu chenicho chikumukamula.
Pia mnasema, ‘Mtu akiapa kwa madhabahu, si kitu; lakini mtu akiapa kwa sadaka iliyo juu ya madhabahu, amefungwa kwa kiapo chake’
19 Mwangalola nyenye! Choki chivaha neju luteta amala lusanja lwa luteta yeyikita njombi kuvya ya msopi?
Ninyi vipofu! Ni kipi kikuu zaidi: ni sadaka, au ni madhabahu yanayoifanya hiyo sadaka kuwa takatifu?
20 Hinu, mundu mweilapa mulusanja lwa luteta, alapili pa lusanja lwa luteta na vindu vyoha vyevivi panani yaki.
Kwa hiyo, mtu aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.
21 Mewawa na mweilapa kwa Nyumba ya Chapanga alapili kwa yeniyo na mwenuyo mwaitama mugati yaki.
Naye mtu aapaye kwa Hekalu, huapa kwa hilo Hekalu na kwa huyo akaaye ndani yake.
22 Na mweilapa kwa liina la kunani kwa Chapanga, alapili pachigoda cha unkosi wa Chapanga, na kwa mwene mweitama pachigoda chenicho.
Naye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketiye juu ya kiti hicho.
23 Mwalachikolela nyenye vawula va Malagizu na Vafalisayu. Mwavahomela! Mukuvawusa vandu lilundu limonga pagati ya kumi hati panani ya manyahi geginungalila bwina, bizali na ndimbililu, kuni mwileka mambu gavaha ga malagizu ngati kumganisa Chapanga lipyana na sadika. Genago ndi ngamlongolili kuhenga changali kuleka gangi gala.
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnatoa zaka ya mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu zaidi ya sheria, yaani haki, huruma na uaminifu. Iliwapasa kufanya haya makuu ya sheria bila kupuuza hayo matoleo.
24 Vachilongosi ngalola mwiwusa livembe muminyweso, kuni mwimila hinyama yeyikemelewa ngamiya!
Ninyi viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini mnameza ngamia!
25 “Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu na Vafalisayu, mwavahomela! Mwisanja chikombi na nkeve cha kuvala, kuni muleka mugati mumemili vindu vyemupatili kwa uhiji na kunota.
“Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyangʼanyi na kutokuwa na kiasi.
26 Veve Mfalisayu ngalola! Tumbula hoti kusanja chikombi na nkele mugati na kuvala yati kwinyamba mewa.
Ewe Farisayo kipofu! Safisha ndani ya kikombe na sahani kwanza, ndipo nje itakuwa safi pia.
27 Mwalachikolela nyenye, Vawula va malagizu na Vafalisayu, mwemukujikita vabwina! Mwiwanangana ngati matinda gevabakili chokaa gegiloleka kuvala ganyambili, nambu mugati gamemili majege ga mituhi ya vandu vevafwili kwa uhakasa ndalindali.
“Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo yanapendeza kwa nje, lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila aina ya uchafu.
28 Mewawa nyenye chakuvala mwiloleka ngati vandu vevakumganisa Chapanga, nambu mugati mumemili uhomela na uhakau.”
Vivyo hivyo, kwa nje ninyi mnaonekana kwa watu kuwa wenye haki, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu.
29 “Mwalachikolela nyenye vawula va malagizu na Vafalisayu, mwavahomela! Mwijenga matinda ga vamlota va Chapanga na kunyambisa matinda ga vandu vevamganisi Chapanga.
“Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
30 Ndi mwijova, ‘Kuvya mutama lusenje lwa vagogo vinu tihanganili lepi nawu, kuvakoma vamlota va Chapanga!’
Nanyi mwasema, ‘Kama tungaliishi wakati wa baba zetu, tusingalikuwa tumeshiriki katika kumwaga damu ya manabii!’
31 Hinu, mwavene mukujilangisa kuvya nyenye ndi vana va vandu vala, vevavakomili vamlota va Chapanga.
Hivyo mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.
32 Hinu mumalakisa lihengu levatumbwili vagogo vinu!
Haya basi, kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu!
33 Nyenye mayoka chiveleku cha mayoka! Yani mweakuvajovela muhotola kutila ligono la uhamula wa Chapanga? (Geenna )
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna )
34 Ndava yeniyo nikuvapelekela vamlota va Chapanga, na vandu vevana luhala na vawula va malagizu, vangi pagati yavi yati mukuvakoma na kuvavamba mu msalaba na vangi yati mukuvatova ndonga munyumba zinu za kukonganekela Vayawudi, na vangi yati mukuvajumbisa kuhuma muji umonga mbaka muji wungi.
Kwa sababu hii, tazameni, natuma kwenu manabii na wenye hekima na walimu. Baadhi yao mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga mijeledi katika masinagogi yenu na kuwafuatia kutoka mji mmoja hadi mji mwingine.
35 Ndi panani yinu mwigega ngasi ya vandu voha vevamganisi Chapanga yeyiyitiki pamulima. Kutumbula kukomiwa kwa Abeli mweangabuda mbaka Zakalia, mwana wa Balakia, mwemwamkomili mu Nyumba ya Chapanga pagati ya pandu pamsopi pa lusanja lwa luteta.
Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu ya Zekaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.
36 Nikuvajovela chakaka, chiveleku ichi yati chihamuliwa ndava ya mambu genago.”
Amin, nawaambia, haya yote yatakuja juu ya kizazi hiki.
37 “Yelusalemu! Veve Yelusalemu ukuvakoma vamlota va Chapanga na kuvatova maganga vala venivatumili kwa veve! Mala yilinga niganilli kuvavika pamonga vana vaku, ngati ng'uku cheyikuvayuvatila vana mumagwaba gaki, nambu mwaganili lepi!
“Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka!
38 Lola, Nyumba ya Chapanga waku yati yisigalila mang'ova.
Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.
39 Muni nikuvajovela kutumbula hinu yati nakunilola kavili mbaka mulukumbi pemwijova, ‘Amotisiwa mwenuyo mweibwela kwa liina la Bambu.’”
Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena tangu sasa mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana.’”