< Maluko 11 >

1 Yesu na vawuliwa vaki pavavi papipi na Yelusalemu muji wa Betifage na Betania, papipi na Chitumbi cha Mizeituni. Penapo avatumili vawuliwa vaki vavili,
Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage na Bethania katika Mlima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake,
2 akavajovela, “Muhamba kuchijiji chechivii palongolo yinu. Pemuyingila penapo yati mkumkolela mwanapunda akungiwi, na akona angahengewa na mundu. Mumuwopola mkamleta.
akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na hapo mtakapoingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
3 Ngati mundu akuvakota, ‘Ndava kyani muwopola lipunda?’ Mumjovela, ‘Bambu akumgana na yati akumuwuyisa mwanakandahi.’”
Kama mtu yeyote akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji, na atamrudisha hapa baada ya muda mfupi.’”
4 Hinu, vakahamba, vakamkolela mwanapunda akungiwi kuvala ya mlyangu wa nyumba yeyavi pamuhana ya njila. Pevamuwopolayi,
Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba.
5 vandu vangi vevayimili penapo vakavakota, “Ndava kyani muwopola mwanapunda?”
Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”
6 Vawuliwa vakavayangula ngati Yesu cheavalagizi na vene vakavaleka vahamba nayu.
Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu.
7 Vamletili Yesu mwanapunda. Pavamalili kuyambatisa nyula yavi panani ya mwanapunda yula. Yesu akatama panani yaki.
Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Yesu na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda.
8 Vandu vamahele vakadandasa nyula zavi munjila kwa kumtopesa, na vangi vakadandasa matutu gadebe gadebe gavadumwili mumigunda.
Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.
9 Vandu voha vevalongolili na vala vevalandayi, vakakwesa lwami lwavi vakajova, “Alumbiwa! Amotisiwa mweibwela kwa liina la Bambu!
Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”
10 Umotisiwa unkosi weubwela wa dadi witu Daudi. Chapanga alumbiwa mweavi kunani!”
“Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
11 Yesu ayingili pamuji wa Yelusalemu akahamba mbaka mu Nyumba ya Chapanga, akalola vindu vyoha kwa ubwina. Nambu yamali kuvya chitita akahamba ku Betania pamonga na vawuliwa vaki kumi na vavili vala.
Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
12 Chilau yaki, pavahumili ku Betania, Yesu njala yamvinili.
Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.
13 Hinu auweni mkongo wa mtini chakutali wewavi na mahamba gamahele. Hinu akauhambila aganayi alolayi ngati upambiki matunda. Nambu peahikili, nakugakolela matunda ndi mahamba gene, muni yavi lepi lusenje lwa kupambika matunda.
Akauona mtini kwa mbali, naye akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.
14 Penapo akaujovela mkongo wula, “Kutumbula lelu na magono goha mundu yeyoha akotoka kulya matunda gaku!” Na vawuliwa vaki vagayuwini malovi genago. (aiōn g165)
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn g165)
15 Hinu vahikili ku Yelusalemu, Yesu ayingili mu Nyumba ya Chapanga na kutumbula kuvavinga vandu vevagulisai na kugula vindu mwenumo. Azing'anambwisi meza za vala vevagulisana mashonga, na vigoda vya vandu vevagulisa ngunda.
Walipofika Yerusalemu, Yesu akaingia katika eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakinunua na kuuza humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa,
16 Amyidakili lepi mundu yeyoha kuvedukila mu Nyumba ya Chapanga kuni agegili chindu.
wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.
17 Kangi akavawula, “Yiyandikwi, ‘Nyumba yangu yati yivya msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu ndava ya vandu milima yoha!’ Nambu nyenye mukuikita libokosela la vanyagaji!”
Naye alipokuwa akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa kuwa: “‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote’? Lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
18 Vakulu va kuteta na Vawula va Malagizu pevayuwini malovi gala, vakatumbula kulonda njila ya kumkoma. Nambu vayogwipi ndava msambi wa vandu wakangiswi mawuliwu gaki.
Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria wakapata habari hizi, nao wakaanza kutafuta njia ya kumuua, kwa kuwa walikuwa wakimwogopa, kwa sababu umati wote ulikuwa unashangazwa na mafundisho yake.
19 Kimihi payahikili, Yesu na vawuliwa vaki vakawuka pamuji wula.
Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
20 Lukela pavapitayi, vauweni mkongo wa mkuyu wula uyumili hotohoto, kuhuma mumikiga mbaka kunani.
Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.
21 Petili alikumbwiki lijambu lila, akamjovela Yesu, “Muwula, lolayi! Mkongo wa mtini wewaupelili likoto ula uyumili!”
Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Rabi, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”
22 Yesu akavajovela, “Mumsadika Chapanga.
Yesu akawajibu, “Mwaminini Mungu.
23 Nikuvajovela chakaka, mundu akachijovela chitumbi, ‘Tupukayi ukajitaga munyanja,’ Changali kuvya na wogoyi mumtima waki, nambu ngati isadika mambu goha gihengeka yati ihengewa lijambu lenilo.
Amin, nawaambia, mtu yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ngʼoka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yametukia, atatimiziwa.
24 Ndava yeniyo nikuvajovela, pemukumuyupa Chapanga na kuyupa chindu, musadika kuvya mpokili, na nyenye yati mwipewa.
Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu.
25 Pamwiyima kumuyupa Chapanga, mumlekekesa mundu yeyoha mweavakitili gahakau, ndi Dadi winu wa kunani avalekekesa nyenye mabudilu ginu.
Nanyi kila msimamapo kusali, sameheni mkiwa na neno na mtu, ili naye Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. [
26 Nambu ngati mukuvalekekesa lepi vangi, mewawa na Dadi winu mweavili kunani kwaki akuvalekekesa lepi nyenye mabudilu ginu.”
Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”
27 Hinu, vahikili kavili ku Yelusalemu. Yesu paagendayi pa Nyumba ya Chapanga, vakulu va kuteta na Vawula va Malagizu na vagogo vamuhambalili,
Wakafika tena Yerusalemu, na Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wa watu wakamjia.
28 vakamkota, “Ukita mambu genaga kwa uhotola wa yani? Yani mweakupelili uhotola wa kukita mambu genago?”
Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”
29 Nambu Yesu akavajovela, “Yati nikuvakota lijambu limonga. Mukaniyangula, na nene mewa yati nikuvajovela nikita mambu aga kwa uhotola wa Yani.
Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali moja. Nijibuni, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
30 Wu, Yohani apatili uhotola wa kubatiza kuhuma kwa Chapanga amala kwa vandu? Munijovela.”
Niambieni, je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”
31 Vakatumbula kukotana, “Tikayangula, ‘Gahumili kwa Chapanga,’ Yati akutikota, ndava kyani mwasadiki lepi?
Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
32 Na tikayangula, ‘Gahumili kwa vandu,’ Yati yivya wuli?” Vayogwipi vandu, ndava vandu voha wamyidakili kuvya chakaka Yohani avi mlota wa Chapanga.
Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’…” (Waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana alikuwa nabii wa kweli.)
33 Hinu vakamyangula Yesu, “Tete timanyili lepi.” Na Yesu akavajovela, “Na nene mewa nikuvajovela lepi nikita mambu aga kwa uhotola wa yani.”
Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”

< Maluko 11 >