< Luka 24 >
1 Ligono la Dominika, lukela hamba kucha, vadala vala vakahamba kulitinda, kuni vagegi mayewani na mahuta gakunungalila gevatendekili.
Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
2 Vakoli liganga lila libilindwisi patali kuhuma pakuyingila mulitinda.
Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3 Hinu, pavayingili mugati, vayiwene lepi higa ya Bambu Yesu.
lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
4 Pevavi vakona vikangasa ndava ya lijambu lenilo, bahapo vandu vavili vevawalili nyula za kung'asima neju vakahumila papipi yavi.
Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
5 Vadala vala vakavya na wogohi, vakagundama pahi. Ndi vandu vala vakavajovela, “Ndava kyani mukumlonda mundu mweavi mumi pagati ya vevafwili?
Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
6 Avi lepi apa, ayukili. Muholalela cheavajovili peavi akona ku Galilaya.
Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
7 ‘Yikumgana Mwana wa Mundu awusiwayi pavandu vevakumbudila Chapanga, na vene yati vakumvamba pamsalaba na pa ligono la datu yati iyuka.’”
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
8 Penapo vadala vala vakagakumbuka malovi ga Yesu,
Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
9 vakawuya kuhuma kulitinda, vakavajovela vamitumi kumi na mmonga, pamonga na vangi voha, malovi ga mambu ago goha.
Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
10 Vadala vevabweli kujova mambu genago vavi Maliya mkolonjinji wa Magidala na Yoana na Maliya nyina waki Yakobo pamonga na vadala vangi vevalongosini nawu.
Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
11 Nambu vamitumi vala vasadiki lepi malovi ga vadala vala, ndava vagahololela ngati uyimu nunuyu.
Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
12 Nambu Petili, akajumba kuhamba kulitinda, peahikili kulitinda agundimi kulingulila mugati akayiwona ngayene nyula ya msopi. Akawuya kunyumba kuni ikangasa na kujikota gala gegahumili.
Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
13 Ligono lilolo, vavili pagati ya vamulanda va Yesu vavi mulugendu kuhamba kuchijiji chimonga cha ku Emau chechavi utali wa masaa gavili kuhuma ku Yelusalemu,
Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
14 Vavi mukugalongalela mambu goha gegahumalili.
Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
15 Pavayendelela na malongesi gavi, Yesu mwene akavahumila na kugenda nawu,
Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
16 Vamuweni kwa mihu gavi, nambu vadindiwi vakotoka kummanya.
lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
17 Yesu akavakota, “Mwilongela kyani kuni mwigenda?” Vene vakayima pamihu pavi pakwinyini cha ligoga.
Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
18 Mmonga wavi liina laki Kileopa, akamyangula, “Wu nga veve myehe wangamanya mambu gegahumalili pa Yelusalemu magono gagaga?”
Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
19 Yesu akavakota, “Mambu goki?” Vena vakamuyagula, “Mambu gegamkolili Yesu wa ku Nazaleti.” Mwene avi Mlota mweihotola kuhenga na kuwula palongolo ya vandu voha va Chapanga.
Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
20 Vakulu va kuteta na vachilongosi vitu vakamgotola na kumuhamula lifwa, vakamvamba pamsalaba.
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
21 Nambu tete tamsadiki mwene kuvya ndi mweatumwili kuyigombola Isilaeli! Hinu, lelu ndi ligono la datu pagahengiki mambu genago.
Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
22 Kavili vadala vangi va kwitu vatikenyemwisi, muni vakahambili kulitinda lukela hambakucha,
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
23 Nambu nakuyikolela higa ya Yesu. Vakawuya nakutijovela vahumiwi na vamitumu va kunani kwa Chapanga, vevavajovili ngati Yesu akona mumi.
lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
24 Vayitu vangi pagati yitu vahambili kulitinda kulola gegajoviwi na vadala vala, nambu nakuyiwona lepi mwene.
Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
25 Kangi Yesu akavajovela, “Nyenye vayimu na mitima yinu yitopa kusadika gegajoviwi na vamlota va Chapanga!
Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
26 Wuli, yamganili lepi Kilisitu msangula kung'ahika, kangi ayingilayi muukulu waki?”
Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
27 Hinu akavadandaulila mambu goha gegamuvala mwene mu Mayandiku Gamsopi kutumbula muhitabu ya Musa mbaka muhitabu ya Vamlota va Chapanga.
Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
28 Pevahegalili na chijiji chevaambayi, Yesu akakita ngati mweiyendelela na lugendu,
Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
29 Nambu vene vakamjovela, chondi pepayi, “Utamayi pamonga na tete, muni lilanga litipimi chitita chibwela.” Ndi akayingila nawu mugati.
Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
30 Peatamili kulya chakuyla pamonga nawu, akalitola libumunda na kumsengusa Chapanga na kulimetula na kuvapela.
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
31 Bahapo vakagubukuliwa mihu gavi na kummanya, nambu mwene akayaga pagati yavi.
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
32 Ndi Vakajovesana, “Mitima yitu yasangalwiki neju mugati mwitu peakatidandauli Mayandiku Gamsopi munjila mula?”
Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
33 Balapala vakawuka, kuwuya ku Yelusalemu. Kwenuko vakavakolela vamitumi kumi na mmonga na vangi vevavi pamonga na vene vakonganiki,
Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34 vakajova, “Chakaka Bambu ayukili! Amuhumalili Simoni!”
wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
35 Hinu vamulanda vavili va Yesu vakavajovela mambu gegavakolili munjila na chevammanyili Yesu pealimetulayi libumunda.
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
36 Pevavi mukujovewa genago, Yesu mwene bahapo akayima pagati yavi nakujova, “Uteke uvyayi na nyenye.”
Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
37 Vakakenyemuka na kuyogopa neju muni vaholalelayi pangi valiwene lihoka.
Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
38 Nambu mwene akavajovela, “Ndava kyani mwivagaya? Ndava kyani mwikujikota kota mumitima yinu?
Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
39 Mlola mawoko na magendelu, muni mumanyayi kuvya ndi nene. Munipamisa mumanya, muni lihoka langali higa amala lijege ngati chemukunilola.”
Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
40 Peamali kujova genago, akavalangisa mawoko na magendelu.
Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
41 Pevavi vakona kusadika, ndava ya luheku uvaha na kukangasa, Yesu akavakota, “Muvinachu chakulya chochoha penapa?”
Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
42 Vakampela chipandi cha somba yiyochanu,
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43 akachitola na kulya kuni woha vakumlola.
naye akakichukua na kukila mbele yao.
44 Kangi akavajovela, “Genaga ndi malovi genavajovili penakavili na nyenye, muni yaganikwi gahengekayi goha gegayandikiwi kunivala nene mu malagizu ga Musa na muvitabu vya vamlota va Chapanga na Muchitabu cha Zabuli.”
Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
45 Kangi, penapo akavalangasila luhala lwavi muni vagamanyayi Mayandiku Gamsopi.
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
46 Akavajovela, “Gayandikiwi kuvya, Kilisitu msangula yati ing'ahiswa nambu paligono la datu yati iyuka kuhuma pavafwili,
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
47 yikuvagana mewa vandu va makabila goha, kutumbula ku Yelusalemu vakokoselewayi muliina laki kuleka kumbudila Chapanga. Muni valekekeswa kubuda kwavi.
Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
48 Nyenye ndi mwemugawene mambu genago.
Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
49 Namwene yati nikuvapelekela yula mweavalagazili Dadi wangu, nambu mulindila kumuji mbaka pemumemeswa uhotola kuhuma kunani.”
“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
50 Kangi Yesu akavalongosa vawuliwa kuvala ya muji wenuwo mbaka ku Betania, akayinula mawoko gaki kunani akavamotisa.
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51 Peamali kuvamotisa, akavaleka, akatoliwa kuhamba kunani kwa Chapanga.
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
52 Vawuliwa vakamfugamila Yesu, kangi vakawuya pa Yelusalemu, kuni vavi na luheku luvaha,
Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
53 Vayendalili kuvya Panyumba ya Chapanga magono goha, vakumulumbalila Chapanga.
Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.