< Luka 19 >
1 Yesu payingili ku Yeliko, apitayi munjila za muji wenuwo.
Yesu akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.
2 Pamuji wenuwo pavi mundu mmonga liina laki Zakayo, avi mkulu wa vatola kodi mwenuyo avi na vindu vyamahele.
Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.
3 Mwenuyo aganayi kumlola Yesu ndi yani, nambu ahotwili lepi ndava ya msambi wa vandu, na Zakayo avi mundu mhupi.
Yeye alikuwa akijitahidi kumwona Yesu ni mtu wa namna gani. Lakini kutokana na umati mkubwa wa watu hakuweza kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo.
4 Hinu, akajumba kulongolo na kukwela mumkongo uvaha ndava amlolayi Yesu, muni Yesu apitayi njila yeniyo.
Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya umati wa watu akapanda juu ya mkuyu ili amwone Yesu, kwa sababu angeipitia njia ile.
5 Yesu peahikili pandu penapo, akalola kunani na kumjovela Zakayo, “Huluka kanyata, muni lelu yati niwela munyumba yaku.”
Yesu alipofika pale chini ya huo mkuyu, akatazama juu, akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, kwa maana leo nitakuwa mgeni nyumbani kwako!”
6 Penapo Zakayo akahuluka pahi na kumpokalela Yesu kwa luheku.
Hivyo Zakayo akashuka upesi, akamkaribisha Yesu nyumbani kwake kwa furaha kubwa.
7 Vandu voha pevaloli genago, vakatumbula kung'ung'uta na kujova, “Mundu uyu ahambili kutama kwa mundu mweakumbudila Chapanga!”
Watu wote walipoona hivyo, wakaanza kunungʼunika wakisema, “Amekwenda kuwa mgeni wa ‘mtu mwenye dhambi.’”
8 Nambu Zakayo akayima palongolo akamjovela Yesu, “Bambu Yuwanila! Yati nigava pagati vindu vyangu na kuvapela vangangu na ngati natolili chindu cha mundu kwa kuchenjela, yati nimuwuyisila mala mcheche.”
Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana, “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya mali yangu ninawapa maskini, nami kama nimemdhulumu mtu yeyote kitu chochote, nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.”
9 Yesu akamjovela, “Lelu usangula uyingili munyumba iyi, muni na mwenuyu mewa chiveleku cha Ibulahimu.
Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu umeingia nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.
10 Muni Mwana wa Mundu abwelili kulonda na kusangula veviyagili.”
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
11 Vandu vavi vakumuyuwanila Yesu peavi papipi kuhika ku Yelusalemu vandu vaholalela Unkosi wa Chapanga uvi papipi kuhumila ndava genago Yesu avajovili luhumu wungi.
Walipokuwa wanasikiliza haya, Yesu akaendelea kuwaambia mfano, kwa sababu alikuwa anakaribia Yerusalemu na watu walikuwa wakidhani ya kuwa Ufalme wa Mungu ulikuwa unakuja saa iyo hiyo.
12 Hinu akavajovela, kwavili na mundu mmonga wa lukolo lwa unkosi, mwaahambili kumulima wa kutali muni avikiwa unkosi na nkosi mkulu na kuwuya.
Hivyo akawaambia: “Mtu mmoja mwenye cheo kikubwa alisafiri kwenda nchi ya mbali ili akapokee madaraka ya kuwa mfalme, kisha arudi.
13 Akavakemela vatumisi vaki kumi, na kuvapela kila mundu mashonga salafu zeziwanangana na luhuna lwa lihengu la mihyei yidatu, kila mmonga na kuvajovela, mhengela lihengu la kugula na kugulisa vindu mbaka peniwuyayi.
Hivyo akawaita kumi miongoni mwa watumishi wake, na akawapa kila mmoja fungu la fedha. Akawaambia, ‘Fanyeni biashara na fedha hizi mpaka nitakaporudi.’
14 Nambu vandu va mulima wenuwo vamuhakalili mundu mwenuyo, ndi vatumili vajumbi vamulanda na kuhamba kujova, tigani lepi mundu uyu avyaa nkosi witu.
“Lakini raiya wa nchi yake walimchukia wakapeleka ujumbe na kusema, ‘Hatutaki huyu mtu awe mfalme wetu.’
15 “Mundu mwenuyo agotoliwi unkosi wenuwo na kuwuya pamulima waki. Bahapo akalagiza vakemelewayi vavanda vevapewili mashonga vala, muni aganayi kumanya ngati kila mmonga ayonjokisi mashonga galinga.
“Hata hivyo alirudi akiwa amekwisha kupokea mamlaka ya ufalme, akawaita wale watumishi wake aliokuwa amewaachia fedha, ili afahamu ni faida kiasi gani kila mmoja wao aliyopata kwa kufanya biashara.
16 Akabwela mvanda mtumbula akajova, ‘Bambu, lilundu limonga la mashonga lewanipelili niyonjokisi malundu gangi kumi ga mashonga.’
“Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana, kutokana na fedha uliyoniachia, nimepata faida mara kumi zaidi.’
17 Bambu yula akajova, ‘Chabwina.’ Veve wamtumisi mbwina! Ndava muni usadikiwi mumambu gadebe, ‘Hinu yati nikuvika uvya chilongosi mumiji kumi.’
“Yule bwana akamjibu, ‘Umefanya vizuri mtumishi mwema! Kwa sababu umekuwa mwaminifu katika wajibu mdogo sana, nakupa mamlaka juu ya miji kumi.’
18 Akagelekela mtumisi yungi akajova, ‘Bambu lilundu la mashonga yewanipelili niyonjakisi malundu ga mashonga gangi mhanu.’
“Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’
19 Bambu yula akamjovela, ‘Na veve yati nikupela uvya wa chilongosi mumiji mhanu.’”
“Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka juu ya miji mitano.’
20 “Muhengaji yungi akabwela na kujova, ‘Bambu, tola lishonga laku muni nakungili muchitambala na kuyifiya pabwina.
“Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.
21 Ndava muni nakuyogwipi, muni veve wa mundu winonopa. Witola vindu vyangali vyaku nakubena pawangamija.’
Nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu. Unachukua ambapo hukuweka kitu, na unavuna mahali ambapo hukupanda kitu.’
22 Bambu yula akamjovela, ‘Yati nikuhamula ndava ya malovi gaku veve mtumisi mhakau! Kumbi wamanyi hotohoto ngati nene ninonopa, ndava nitola vyangali kuvya vyangu na kubena panangamija.
“Bwana wake akamjibu, ‘Nitakuhukumu kwa maneno yako mwenyewe, wewe mtumishi mwovu! Kama ulifahamu kwamba mimi ni mtu mgumu, nichukuaye mahali ambapo sikuweka kitu na kuvuna mahali ambapo sikupanda,
23 Ndava kyani wavikili lepi malundu ga mashonga gangu mubenki? Na nene nganitolili pamonga na chiyonjakesu peniwuya.’”
kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’
24 “Akavajovela vevavi penapo, ‘Mumnyagayi lilundu la lishonga lenilo, mukampela yula mweavi na malundu ga mashonga kumi.’
“Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama karibu, ‘Mnyangʼanyeni fungu lake la fedha, mkampe yule mwenye kumi.’
25 Vene vakamjovela, ‘Mwenuyo amali kupewa malundu ga mashonga kumi!’
“Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’
26 Bambu akavayangula, ‘Nikuvajovela, mundu yoyoha mweavi na chindu yati ipewa na kuyonjokesewa. Nambu mweangali chindu. Hati cheavi nachu yati inyagiwa.
“Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba kila aliye na kitu, ataongezewa. Lakini yule asiye na kitu, hata alicho nacho atanyangʼanywa.
27 Na hinu vamakoko vangu vevakunibela nikotoka kuvya nkosi wavi, muvaletayi penapa na muvahinja palongolo yangu!’”
Lakini wale adui zangu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme juu yao. Waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’”
28 Yesu peamali kujova genago, akavalongolela kuhamba ku Yelusalemu.
Baada ya Yesu kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.
29 Peavili papipi kuhika ku Betifage na ku Betania papipi na chitumbi cha mikongo ya Mizeituni, avatumili vavili va vawuliwa vaki,
Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima uitwao Mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, akawaambia,
30 na kuvajovela, “Muhamba muchijiji chechivii palongolo yinu, na pemwitumbula kuyingila muchijiji chenicho yati mulikolela mapapakasi wa punda akungiwi langatumbula kugega mundu. Muwopolayi, mubwela nalu apa.
“Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
31 Ngati mundu akuvakota, ndava kyani mukuliwopola lipunda? Mumjovela, ‘Bambu akumgana.’”
Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”
32 Vevatumiwi vala vakahamba nakukolela ngati chavajoviwi na Yesu.
Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
33 Pevawopolayi punda mpakakasi, vakolo lipunda vakavakota, “Ndava kyani mukuliwopola lipunda mpapakasi ili?”
Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
34 Vakayangula, “Bambu akumgana.”
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Ndi vampelakili Yesu. Kangi vakatola nyula na kumuyambatisa punda mpapakasi panani na kumtamisa Yesu panani yaki.
Wakamleta kwa Yesu, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Yesu juu yake.
36 Yesu ayendalili na lugendu kuni vandu vayendelela kumdandasila nyula zavi munjila.
Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Paavi papipi kuhika ku Yelusalemu paluhelelu lwa chitumbi cha mikongo ya Mizeituni, msambi woha wa vandu na vawuliwa vaki vatumbwili kumlulutila kwa lwami luvaha na kumlumba Chapanga ndava ya mambu gakulu goha gevagaweni,
Alipokaribia mahali yanapoanzia materemko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:
38 vakajova, “Amotisiwa Nkosi mweibwela kwa uhotola wa Bambu! Uteke uvya kunani kwa Chapanga na Chapanga alumbiwa mweavi kunani!”
“Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.”
39 Vafalisayu vangi vevavili mu msambi wula wa vandu vakamjovela Yesu, “Muwula, vagunisa vawuliwa vaku!”
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwamo miongoni mwa ule umati wa watu wakamwambia, “Mwalimu, waamuru wanafunzi wako wanyamaze.”
40 Yesu akavayangula, “Nikuvajovela, ngati venava vaguni, maganga haga yati giywanga.”
Yesu akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”
41 Paavi papipi neju na kuulola muji wa Yelusalemu, akauvembela muji wenuwo,
Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, aliulilia,
42 akajova, “Ngati kuvya umanyili lelu mambu gegileta uteke! Nambu hinu gafiyiki pamihu gaku!
akisema, “Laiti ungalijua hata wewe leo yale ambayo yangeleta amani, lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Muni galabwela magono, penapo vamakoko vaku yati vakutindikila luwumba, yati vakuhaka na kukuhinya pandi zoha.
Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, nao watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
44 Penapo yati vakutimbisula veve na vana vaku muluwumba wula, vakulekela lepi hati liganga limonga lelisigalila panani ya liganga lingi, ndava wamanyi lepi lukumbi Chapanga peakubweli kukusangula!”
Watakuponda chini, wewe na watoto walioko ndani ya kuta zako. Nao hawataacha hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukutambua wakati wa kujiliwa kwako.”
45 Kangi Yesu akayingila mu Nyumba ya Chapanga, akutumbula kuvavinga vandu vevagulisa na kugula vindu,
Ndipo akaingia eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza vitu humo.
46 akajova, “Yiyandikiwi, ‘Nyumba yangu yati yivya nyumba ya kumyupila Chapanga.’ Nambu nyenye muhiyusi kuvya libokoselu la vanyagaji.”
Naye akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
47 Ligono kwa ligono Yesu avawulayi mu Nyumba ya Chapanga. Nambu Vakulu va Kuteta na vawula va malagizu na vachilongosi va vandu, valonda njila ya kumkoma,
Kila siku alikuwa akifundisha Hekaluni. Lakini viongozi wa makuhani, walimu wa sheria na viongozi wa watu walikuwa wakitafuta njia ili kumuua.
48 nambu vavi nakumanya cha kukita ndava vandu voha vagunili kumyuwanila.
Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.