< Luka 13 >

1 Lukumbi lwenulo vandu nunuyo, vabweli kumjovela Yesu, mambu ga vandu va ku Galilaya, vevakomiwa na Pilatu, lukumbi vihinja mifuya yavi ndava ya luteta.
Wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza Yesu juu ya watu wa Galilaya ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama wao wa tambiko.
2 Yesu akavayangula, “Ndava Vagalilaya vala vevakomiwi kwa njila yila mwihololela kuvya Vagalilaya vala, vambudili Chapanga kuliku Vagalilaya vangi, hati gavakolili mambu genago?
Naye Yesu akawaambia, “Mnadhani Wagalilaya hao walikuwa wahalifu zaidi kuliko Wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo?
3 Chakaka nikuvajovela, lepi, changamuwuyila Chapanga winu, na nyenye yati mwifwa.
Nawaambieni hakika sivyo; lakini nanyi, hali kadhalika, msipotubu, mtaangamia kama wao.
4 Amala, kumi na nane vala, vevagwiliwi na mnala kuchijiji cha ku Siloamu, vafwili, ndi mwiholalela kuvya venavo, vahokili kuliku vandu voha vevatama ku Yelusalemu?
Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule Siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi Yerusalemu?
5 Chakaka nikuvajovela, lepi, nambu na nyenye changamuwuyila Chapanga, na nyenye mewawa yati mwifwa.”
Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”
6 Kangi Yesu akavajovela luhumu ulu, “Mundu mmonga avi na mkongo wa mtini mumgunda waki wa mizabubu, mundu mwenuyo akahamba kuyava matunda mumkongo wula, nambu apatili lepi.
Kisha, Yesu akawaambia mfano huu: “Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake. Mtu huyu akaenda akitaka kuchuma matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.
7 Ndi akamjovela mhenga lihengu wa mgunda, ‘Lola! Mumiyaka yidatu nakalibwela kuyava matunda mumkongo uwu wa mtini, nambu kawaka chindu chenigana. Hinu uhudumula! Ndava kyani ulalisa mgunda wangu?’
Basi, akamwambia mfanyakazi wake: Angalia! Kwa miaka mitatu nimekuwa nikija kuchuma matunda ya mtini huu, nami nisiambulie kitu. Ukate! Kwa nini uitumie ardhi bure?
8 Nambu mhenga lihengu akamyangula, Bambu, ‘Tiuleka kavili namwaka, na nene yati niukulugila na kusopalela mabuli.
Lakini naye akamjibu: Bwana, tuuache tena mwaka huu; nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea.
9 Ngati upambiki matunda kumwaka chabwina, ngati nakupambika, ndi udumulayi.’”
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata.”
10 Ligono limonga la Kupumulila, Yesu avi mukuwula munyumba ya kukonganekela Vayawudi.
Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
11 Pavi na mdala mmonga mweavi na mzuka, mwealwalayi lukumbi lwa miyaka kumi na nane, mdala mwenuyo avi na chipindi ndi nakuhotola kuyima.
Na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa miaka kumi na minane kutokana na pepo aliyekuwa amempagaa. Kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima.
12 Yesu peamuweni akamkemela na kumjovela, “Mau, ulekekiswi utamu waku!”
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”
13 Yesu akamuvikila mawoko mdala yula na bahapo higa yaki yikagoloseka, na akatumbula akamlumbalila Chapanga.
Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.
14 Mkulu wa nyumba ya kukonganekela Vayawudi akayoma, ndava Yesu amulamisi mdala yula, Ligono la Kupumulila. Ndi akavajovela vandu vavavi penapo, “Muvi nagu magono sita gakuhenga mahengu. Hinu mubwela magono genago kulamisiwa utamu winu, nambu lepi kulamiswa Ligono la Kupumulila!”
Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, “Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato.”
15 Nambu Bambu akamyangula, “Vahomela nyenye! Yani mweavi pagati yinu mwangawopola ng'ombi yaki amala lipunda laki muchivaya na kuyipeleka kunywiha manji Ligono la Kupumulila.
Hapo Bwana akamjibu, “Enyi wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng'ombe au punda wake kutoka zizini ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato?
16 Mdala yula avi wa chiveleku cha Ibulahimu, nambu Setani amkungili miyaka kumi na nane wu, chabwina lepi kumdindulila vifungu vyaki Ligono la Kupumulila?”
Sasa, hapa yupo binti wa Abrahamu ambaye Shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. Je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya Sabato?”
17 Yesu peamali kujova genago, makoko gaki vakoli soni, nambu vandu vangi voha vakaheka kwa mambu gakukangasa gahengili.
Alipokwisha sema hayo, wapinzani wake waliona aibu lakini watu wengine wote wakajaa furaha kwa sababu ya mambo yote aliyotenda.
18 Yesu akavakota, “Unkosi wa Chapanga uwanangini na kiki? Wu, nikuwanangisa na kyani?
Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?
19 Ngati mbeyu ya mkongo wa haladali yeyitoliwi na mundu mmonga na kuhilalila mumgunda waki. Yikamela na kuvya mkongo, na videge vikajenga hisakanilu mumambanda gaki.”
NI kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake.”
20 Yesu akakota kavili, “Unkosi wa Chapanga nikuwanangisa na kyani?
Tena akauliza: “Nitaulinganisha Ufalme wa Mungu na nini?
21 Ngati ngemeku laatoli mdala mmonga na kuhangisana na uhembe madebe gavili na woha watutumwiki.”
Ni kama chachu aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya pamoja na unga debe moja kisha unga wote ukaumuka wote.”
22 Yesu paayendelela na lugendu lwaki kuhamba ku Yelusalemu apitayi mumiji na muhijiji, kuni avawulayi vandu.
Yesu alindelea na safari yake kwenda Yerusalemu huku akipitia mijini na vijijini, akihubiri.
23 Mundu mmonga akamkota Yesu, “Bambu, wu, vandu vevisanguliwa ngavamahele?”
Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”
24 Yesu akavajovela, “Mukangamala neju kuyingila mumlyangu udebedebe, muni nikuvajovela vandu vamahele yati vilinga kuyingila nambu nakuhotola.
Yesu akawaambia, “Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
25 Lukumbi lubwela lwa mkolo nyumba kuyima na kudinda mlyangu. Ndi penapo yati muyima kuvala na kutumbula kuhodesa mlyangu kwa kujova, ‘Bambu utidindulilayi mlyangu!’ Nambu mwene yati akuvayangula, ‘Nakuvamanya nyenye wala nakumanya kwemwihuma!’
“Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: Bwana, tufungulie mlango. Lakini yeye atawajibu: Sijui mmetoka wapi.
26 Na nyenye yati mwitumbula kumjovela, ‘Tete ndi vala vetalili na kunywelela na veve, mewa veve watiwulili hotohoto muhijiji yitu!’
Nanyi mtaanza kumwambia: Sisi ndio wale tuliokula na kunywa pamoja nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu.
27 Nambu mwene yati ijova, ‘Nakuvamanya nyenye wala kwemwihuma. Muwuka palongolo yangu, mwavoha nyenye vahenga gahakau!’
Lakini yeye atasema: Sijui ninyi mmetoka wapi; ondokeni mbele yangu, enyi nyote watenda maovu.
28 Ndi yati mwivembeneka na kuyaga minu, lukumbi pemkuvalola Ibulahimu na Izaki na Yakobo na vamlota voha va Chapanga vavi Muunkosi wa Chapanga, nambu nyenye muvi kuvala!
Ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo, na manabii wote wapo katika Ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
29 Vandu yati vibwela kuhuma pandi zoha za mulima, na kulya pamonga Muunkosi wa Chapanga.
Watu watakuja kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini, watakuja na kukaa kwenye karamu katika Ufalme wa Mungu.
30 Ndi vala vevavi va mwishu yati vivya va kutumbula na vala vevavi va kutumbula yati vivya va mwishu.”
Naam, wale walio wa mwisho watakuwa wa kwanza; na wale walio wa kwanza watakuwa wa mwisho.”
31 Lukumbi lwenulo Vafalisayu vangi vamhambili Yesu na kumjovela, “Uwuka penapa uhamba pandu pangi muni Nkosi Helodi igana kukukoma.”
Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.”
32 Yesu akavayangula, “Muhamba mukamjovela lihogo, ‘Lelu na chilau nivinga mizuka na kuvalamisa vatamu na pamalau yati nimalakisa lihengu langu.’
Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.
33 Nambu yikunigana niyendelela na lugendu lwangu, lelu na chilau na pamalau, muni yihotoleka lepi mlota wa Chapanga, kukomiwa kuvala ya Yelusalemu.”
Hata hivyo, kwa leo, kesho na kesho kutwa, ni lazima niendelee na safari yangu, kwa sababu si sawa nabii auawe nje ya Yerusalemu.
34 “Wa Yelusalemu! Veve Yelusalemu! Mweukuvakoma vamlota va Chapanga, vevatumwili kwaku. Kwa kuvatova na maganga. Pamahele niganili kuvahegelesa vana vaku pamonga ngati nguku, cheyiyuvatila tuvana twaki mumagwaba, nambu mwaganili lepi.
“Yerusalemu! We Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, Lakini wewe umekataa.
35 Lola! Nyenye yati mulekewa muji winu. Na nene nikuvajovela yati nakunilola kavili mbaka lukumbi pa mwijova, Amotisiwa mweibwela kwa uhotola wa Bambu.”
Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika nawaambieni, hamtaniona mpaka wakati utakapofika mseme: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.”

< Luka 13 >