< Yohani 17 >

1 Yesu peamali kujova genago, akalolokesa kunani kwa Chapanga, akajova, “Dadi, lukumbi luhikili! Mpela ukulu Mwana waku muni namwene Mwana akupela ukulu.”
Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema: “Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe.
2 Ndava muni wampeli Mwana waku uhotola kwa vandu voha muni vandu venavo veumpeli avapelayi wumi wa magono goha gangali mwishu. (aiōnios g166)
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
3 Wumi wa magono goha gangali mwishu ndi uwu, vandu vakumanya veve, mweuvi wamwene Chapanga wa chakaka, na kummanya Yesu Kilisitu mweumtumili. (aiōnios g166)
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
4 Nene niulangisi ukulu pamulima apa, nimali lihengu lila lewanipeli nihengayi.
Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.
5 Hinu, Dadi unipela ukulu palongolo yaku, ukulu wulawula wenavi nawu kwakona kuwumbwa mulima.
Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.
6 Nikukitili umanyikanayi na vandu vala vewanipelili kuhuma pamulima. Vandu vevavi vaku, veve wanipeli vavyai vangu, navene valikamwili lilovi laku.
“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako.
7 Hinu vamanyili kuvya kila chewanipeli chihumili kwaku.
Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako,
8 Nene nivapeli ujumbi wula weunipeli, vene vaupokili, vamanyili chakaka nihumili kwa veve, na vasadiki kuvya veve ndi mweunitumili.
kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma.
9 “Nikuvayupila avo, nikuvayupila lepi vandu va mulima, nambu nivayupila vala veunipelili, muni ndi vaku.”
Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako.
10 Goha genivii nagu ndi gaku, na gaku ndi gangu, na ukulu wangu, ulolikini pagati ya avo weunipeli.
Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao.
11 Na hinu nivii lepi kangi pamulima, nambu vene vavi pamulima. Dadi Msopi! Kwa makakala ga liina laku leunipeli, chondi uvavikila ulonda muni vavyai chindu chimonga ngati chetivili tete tavamonga.
Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
12 Panakavi pamonga navu, nene navavikii ulonda kwa makakala ga liina laku leunipeli, nene navavikii ulonda, kawaka mmonga wavi mweayagili, muni yula mmonga mweahaguliwi kuyaga, muni Mayandiku Gamsopi gatimilayi.
Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.
13 Na hinu nibwela kwa veve, malovi aga nijovili pamulima, muni vamema luheku lwangu mumitima yavi.
“Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao.
14 Nene navapeli ujumbi waku, na vandu va pamulima vakavayomela, ndava vene lepi va pamulima, ngati mewa chenivii nene lepi wa pamulima.
Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu.
15 Niyupa lepi uvawusa pamulima, nambu niyupa uvavikila ulonda na yula mhakau ndi Setani.
Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu.
16 Vene lepi va pamulima, ngati mewa chenivii nene lepi wa pamulima.
Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu.
17 Uvakita vandu vaku vavya vamsopi kupitila uchakaka waku, na lilovi laku ndi chakaka.
Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
18 Ngati veve chawanitumili nene pamulima, mewawa na nene nivatumili vene pamulima.
Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.
19 Ndava yavi na nene namwene nikujiwusa kwaku, muni navene vajiwusayi kwaku muchakaka.
Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
20 “Nikuvayupila lepi venava ndu, nikuvayupila mewa na vala vevakunisadika kupitila ujumbi wavi.”
“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao
21 Niyupa muni voha vavyai chindu chimonga. Dadi, niyupa vavyai mugati yitu ngati veve cheuvi mugati yangu na nene mugati yaku. Nivayupili vene kuvya chindu chimonga muni mulima usadika kuvya veve ndi wanitumili.
ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi.
22 Nene nivapeli ukulu wulawula, wewanipeli nene, muni vavyai chindu chimonga ngati tete chetivii mmonga.
Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
23 Nene nivyai mugati yavi, na veve uvyai mugati yangu. Niyupa vakamilika na chindu chimonga muni vandu va mulima vapata kumanya kuvya veve ndi mwewanitumili. Ukavagana vene ngati chawaniganili nene.
Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.
24 “Dadi, nigana venavo veunipelili vavyai pamonga na nene pala penivya nene, muni valolayi ukulu wangu weunipelili, ndava muni waniganili kwakona mulima kuwumbwa.
“Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.
25 Dadi Mbwina! Vandu va pamulima nakukumanya, nambu nene nikumanyili. Navene vakumanyili kuvya veve ndi mweunitumili.
“Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma.
26 Nikukitili vakumanya veve na niyendelela kukita mewa muni uganu weuvi nawu kwangu uvya mugati yavi, na nene nivya mugati yavi.”
Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”

< Yohani 17 >