< Vaebulania 4 >

1 Hinu, ndava Chapanga atipeli lilagizi ya kupokela pumulilo na tijiyangalila muni hati mmonga winu, angahotola kupata pumulilo lenilo.
Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.
2 Ndava muni tete mewawa tikokosiwi Lilovi la Bwina ngati chevakokosiliwi vandu va kadeni, vayuwini lilovi nambu yavatangatili lepi chindu, muni vala vevayuwini vaupokili lepi kwa sadika.
Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani.
3 Nambu, tete vetisadika tipata pumulilo lenilo lealagizi Chapanga. Ngati cheajovili, “Penalapili mu ligoga langu, ‘Kuvya katu yati viyingila lepi pandu pangu pa pumulilo.’” Chapanga ajovili ago pamonga lihengu yaki amali kuyimala kutumbula peawumbili mulima.
Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema, “Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’” Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
4 Muni Mayandiku Gamsopi gijova pandu nunuyu ndava ya ligono la saba, “Chapanga apumulili ligono la saba, alekili mahengu gaki goha.”
Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”
5 Kangi lijambu lenili lijoviwi mewa, “Viyingila lepi katu pamulima wenikuvapela vapumulila.”
Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
6 Vandu vala vevayuwini hoti Lilovi la Bwina vapokili lepi pumulilo lenilo, ndava vabeli kuyidakila, nambu leajovili Chapanga lakona livili kwa vangi kupumulila.
Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii.
7 Nambu Chapanga avikili ligono lingi lelikemelewa “Lelu,” Akajova miyaka yamahele mwanakandahi mu njila ya Daudi malovi gegamali kuluwuliwa, “Ngati myuwana lwami lwa Chapanga lelu, mkoto kukita mitima yinu yinonopa.”
Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu.”
8 Ngati Yoshua avapelili vandu avo pumulilo lenilo, Chapanga ngaajovili lepi ndava ya ligono lingi.
Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine.
9 Ndava yeniyo, kupumulila kwa vandu va Chapanga kwakona kuvili, ngati Chapanga cheapumulili ligono la saba.
Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;
10 Muni, kila mweiyingila pandu pa pumulilo leajovili Chapanga yati ipumulila kuhuma mulihengu laki ngati mewa Chapanga cheapumulili kuhuma mulihengu laki.
kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.
11 Hinu, tikangamalayi kupokela pumulila lenilo, muni akotoka kuvya mundu pagati yitu mweibela kuyidakila ngati chavahengili vene.
Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.
12 Lilovi la Chapanga ndi mumi na lina makakala. Na litema kuliku upanga wowoha wewitema pandi zoha. Kangi liholota mbaka pevikonganika mtima na mpungu, na mewawa litema mbaka muvinjukulundu na mahuta ga majege pevikonganika, kangi liyuyuka kuhamula mnogo na maholo ga mitima ya vandu.
Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
13 Kawaka chiwumbi chochoha chechifiyiki palongolo ya Chapanga, kila chindu chigubukuliwi njwe palongolo ya mihu gaki, mwene ndi mweihamula kila chindu chetihenga.
Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.
14 Hinu, tiyikamula bwina sadika yetiwungama. Muni tivii na Mteta Mkulu mweiyingili mbaka kunani kwa Chapanga, Yesu Mwana wa Chapanga.
Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu.
15 Ndava muni tivii na Mteta Mkulu wa Chapanga mweakutihengela lipyana, ndava ungolongondi witu, mwene alingiwi ngati tete mukila namuna nambu ambudili lepi Chapanga.
Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.
16 Hinu, na tichihegelela chigoda cha ulongosi cha Chapanga pepavi na ubwina, changali wogohi mweavi na ubwina, tipokela lipyana na mota wa kututangatila lukumbi lwa mang'ahiso.
Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

< Vaebulania 4 >