< Vaebulania 11 >

1 Sadika ndi kuvya na uchakaka wa mambu getihuvalila na kumanya njwe chakaka vindu vyangawonekana vivili.
Sasa imani ni hakika aliyo nayo mtu wakati atarajiapo kitu fulani kwa ujasiri. Ni hakika ya kitu ambacho bado hakijaonekana.
2 Kwa kumsadika Chapanga vagogo vitu kadeni, vayidakiliwi na Chapanga.
Kwa sababu hii mababu zetu walithibitika kwa imani yao.
3 Kwa sadika tete timanya kuvya mulima wawumbiwi kwa lilovi la Chapanga, hati vindu vyeviwonekana vyawumbiwi kuhuma vindu vyangalolekana. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn g165)
4 Kwa kumsadika Chapanga Abeli amuwusili Chapanga luteta lwa kuhinjwa yeyivili yabwina neju kuliku yila ya Kaini. Ndava ya sadika ayidakiliwi na Chapanga kuvya mbwina palongolo yaki, Chapanga mwene aziyidakili luteta zaki. Kwa sadika yaki pamonga afwili, akona akutiwula timhuvalila Chapanga.
Ilikuwa kwa sababu ya imani kwamba Habili alimtolea Mungu sadaka ya kufaa kuliko alivyofanya Kaini. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba alisifiwa kuwa mwenye haki. Mungu alimsifu kwa sababu ya zawadi alizoleta. Kwa sababu hiyo, Habili bado ananena, ingawa amekufa.
5 Kwa kumsadika Chapanga, Henoki atoliwi kuhamba kunani kwa Chapanga, ndi afwili lepi. Awonikini lepi kavili muni Chapanga amtolili. Mayandiku Gamsopi gijova kuvya, kwakona kutoliwa kuhamba kunani kwa Chapanga ayidakiliwi kuvya mundu mweamganisi Chapanga.
Ilikuwa kwa imani kwamba Enoko alichukuliwa juu na hakuona mauti. “Hakuonekana, kwa sababu Mungu alimchukua” kwa vile ilinenwa juu yake kuwa alimpendeza Mungu kabla ya kuchukuliwa juu.
6 Kawaka mundu mweihotola kumganisa Chapanga changali kumsadika, ndava muni kila mundu mweakumhambila Chapanga ndi yikumgana asadika kuvya Chapanga avili, namwene akuvayunga vevakumgana kwa kukangamala.
Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa kuwa ajaye kwa Mungu lazima aamini kwamba Mungu anaishi na kwamba huwapatia zawadi wale wamtafutao.
7 Kwa kumsadika Chapanga Nuhu, ajoviwi na Chapanga mambu gala gegibwela kulongolo, gala gegawonekini lepi. Ndava ya kumyidakili Chapanga, ajengili Safina, mwenumo mwene pamonga na vandu va mu lukolo lwaki vasanguliwi. Kwa kusadika kwaki alangisi vandu voha vandu voha va pamulima vahukumiwi ndava ya uhakau, na Chapanga amkitili kuvya mbwina palongolo yaki ndava ya kumsadika.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Nuhu, akiwa ameonywa na Mungu kuhusiana na mambo ambayo hayakuwa yameonekana, kwa heshima ya ki Mungu alitengeneza safina kwa ajili ya kuiokoa familia yake. Kwa kufanya hivi, aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ambayo huja kupitia imani.
8 Kwa kumsadika Chapanga Ibulahimu akemeliwi ahambayi pamulima weajovili Chapanga yati akumpela. Aulekili mulima waki Changali kumanya ihamba koki.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu, alipoitwa alitii na kwenda mahali ambapo alipaswa kupokea kama urithi. Alitoka bila kujua mahali gani alikuwa anakwenda.
9 Kwa kumsadika Chapanga, Ibulahimu avili myehe pamulima wealagaziwi na Chapanga. Atamili kwenuko mulindanda ngati cheatamili Izaki na Yakobo, vevapokili lilagizu lilalila kuhuma Kwa Chapanga.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni. Aliishi katika mahema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi wenzake wa ahadi ile ile.
10 Muni Ibulahimu avi mukulindila muji weujengiwi kwa mkingisa wa kusindimala, muji wewaholaliwi na kujengwa na Chapanga mwene.
Hii ni kwa sababu alitarajia kuupata mji ambao mwenye kuubuni na mjenzi wake angelikuwa ni Mungu.
11 Kwa kumsadika Chapanga, Ibulahimu avi Dadi hati ngati avi mgogolo neju na Sala avi ngaveleka. Ibulahimu amsadiki Chapanga yati itimilisa malagizu gaki.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu, na Sara mwenyewe, walipokea nguvu ya kutunga mimba ingawa walikuwa wazee sana, kwa kuwa walimuona Mungu kuwa mwaminifu, ambaye aliwaahidia mtoto wa kiume.
12 Kuhumila kwa mundu mwenuyo mmonga, Ibulahimu, mweavi ngati afwili, vavelakiwi vandu vamahele vangavalangika ngati ndondo za kunani kwa Chapanga na msavati wa kumbwani.
Kwa hiyo pia kutoka kwa mtu huyu mmoja ambaye alikuwa amekaribia kufa wakazaliwa watoto wasiohesabika. Walikuwa wengi kama nyota za angani na wengi kama mbegu za mchanga katika ufukwe wa bahari.
13 Vandu ava voha vafwili kuni vakona vakumsadika Chapanga. Vapokili lepi gala gealagazili Chapanga, nambu vagawene cha kutali na kuhekelela, vasadiki kuvya vene ndi vayehe vavili lepi na pakutama ngati pavi apa pamulima.
Hawa wote walikufa katika imani pasipo kupokea ahadi. Isipokuwa, wakiwa wameziona na kuzikaribisha kwa mbali, walikiri kwamba walikuwa wageni na wapitaji juu ya nchi.
14 Vandu vevijova mambu ngati ago vilangisa kuvya vaulonda mulima uvya wavi vene.
Kwa wale wasemao mambo kama haya wanaweka bayana kuwa wanatafuta nchi yao wenyewe.
15 Ngaviholalela mulima wevaumili kadeni ngavahotwili kuwuya kwenuko.
Kwa kweli, kama wangekuwa wakiifikiria nchi ambayo kwayo walitoka, wangelikuwa na nafasi ya kurejea.
16 Nambu pahala paki vinogela mulima wabwina neju, ndi mulima wa kunani kwa Chapanga. Ndava yeniyo Chapanga ikola lepi soni kukemelewa Chapanga wavi, muni avatendelekili muji.
Lakini kama ilivyo, wanatamani nchi iliyo bora, ambayo, ni ya kimbingu. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa ametayarisha mji kwa ajili yao.
17 Kwa kumsadika Chapanga, Ibulahimu ayidakili kumuwusa Izaki mweavi mwana waki ngati luteta pala pealingiwi na Chapanga. Ibulahimu mweapokili lilagizu la Chapanga, nambu hati ago, ayidakili kumuwusa luteta mwana waki ngayuyo.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu baada ya kujaribiwa, alimtoa Isaka. Ndiyo, yeye ambaye alipokea kwa furaha ahadi, alimtoa mwanawe wa pekee,
18 Pamonga Chapanga amjovili Ibulahimu, “Vachiveleku vaku yati vihumila kwa Izaki.”
ambaye juu yake ilinenwa, “Kutoka kwa Isaka uzao wako utaitwa.”
19 Ibulahimu asadiki Chapanga ihotola kuyukisa vandu vevafwili, na tihotola kujova chakaka Ibulahimu ampokili kavili Izaki kuhuma vandu vevafwili.
IbrahImU alijua kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua Isaka kutoka katika wafu, na kwa kuzungumza kwa lugha ya maumbo, alimpokea.
20 Kwa kumsadika Chapanga Izaki avamotisi Yakobo na Esau, kwa gala gegibwela mwanakandahi.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Isaka alimbariki Yakobo na Esau kuhusu mambo yajayo.
21 Kwa kumsadika Chapanga Yakobo peavi papipi kufwa, avamotisi vana voha va Yosefu, akamgundamila Chapanga kuni ayegemili ndonga yaki.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Yakobo alipokuwa katika hali ya kufa, alimbariki kila mmoja wa watoto wa Yusufu. Yakobo akaabudu, akiegemea juu ya fimbo yake.
22 Kwa kumsadika Chapanga Yosefu peavi papipi kufwa, ajovili ndava ya kuhuma kwa vandu va Isilaeli mulima wa ku Misili, na mewa avalagazili vatola majege gaki peviwuka.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Yusufu wakati wake wa mwisho ulipokaribia, alinena juu ya kutoka kwa wana wa Israel Misri na akawaagiza kuchukua pamoja nao mifupa yake.
23 Kwa kumsadika Chapanga dadi na nyina wa Musa vamhiyili Musa mulukumbi lwa miheyi yidatu peamali kuvelekewa. Vamuwene kuvya mwana mbwina, wala vayogwipi lepi malagizu ga nkosi.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa, alipozaliwa, alifichwa kwa miezi mitatu na wazazi wake kwa sababu walimuona kuwa ni mtoto mchanga aliyekuwa mzuri, na hawakutishwa na amri ya mfalme.
24 Kwa kumsadika Chapanga Musa peavi mundu mvaha, abelili kukemelewa mwana wa msikana wa Falao ndi nkosi wa Misili.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa, alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mtoto wa binti Farao.
25 Awene mbanga kung'ahika pamonga na vandu va Chapanga kuliku kuhekelela luheku lwa kumbudila Chapanga, mulukumbi luhupi.
Badala yake, alichagua kushiriki mateso pamoja na watu wa Mungu badala ya kufurahia anasa za dhambi kwa kitambo.
26 Amanyili kuvya kung'ahika ndava ya Kilisitu ndi lijambu labwina kuliku umahele wa vindu vyoha vya mulima wa Misili, muni alolelayi kupokela luhuna lwaki lwa wumi wa magono goha gangali mwishu.
Alifikiri aibu ya kumfuata Kristo kuwa ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri kwa kuwa alikaza macho yake katika zawadi ya wakati wake ujao.
27 Kwa kumsadika Chapanga Musa ahumili ku Misili changali kuyogopa ligoga la nkosi. Na asindimili ndava avi ngati mundu mweamuwene Chapanga angalolekana kwa mihu.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa alitoka Misri. Hakuhofia hasira ya Mfalme, kwa kuwa alivumilia kwa kutazama kwa asiyeonekana.
28 Kwa kumsadika Chapanga, Musa akitili mselebuko wa Pasaka na kulagiza ngasi yinyunyuziwa panani ya milyangu, muni mtumu wa kunani kwa Chapanga wa mweatumwili kuleta lifwa akotoka kuvakoma vana vagosi vatumbulanu va Isilaeli.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishika pasaka na kunyunyiza damu, ili kwamba mharibu wa mzaliwa wa kwanza asiweze kuwagusa wazaliwa wa kwanza wa kiume wa waisrael.
29 Kwa kumsadika Chapanga vandu va Isilaeli vakupwiki nyanja ya Shamu ngati pa ndumba, nambu Vamisili pavaganili kukupuka vafwili mumanji.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba walipita katika bahari ya shamu kama katika nchi kavu. Wakati wamisri walipojaribu kupita, walimezwa.
30 Kwa kumsadika Chapanga luwumba lwa muji wa Yeliko lwagwili, vandu va Isilaeli pevamali kuzitindila luwumba zenizo mu magono saba.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba ukuta wa Yeriko ulianguka chini, baada ya kuuzunguka kwa siku saba.
31 Kwa kumsadika Chapanga Lahabu mweavi yula mdala mkemi akomiwi lepi na vala vangasadika, ndava avapokili chabwina vamang'omesi va Isilaeli.
Ilikuwa ni kwa imani kwamba Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale ambao hawakuwa watiifu, kwa sababu alikuwa amewapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama.
32 Hinu, nijova kyani neju? Nivii lepi na fwasi ya kujova mambu ga Gidioni na Balaki na Samsoni na Yefuta na Daudi na Samueli na vamlota va Chapanga.
Na niseme nini zaidi? Maana muda hautoshi kusimulia ya Gideoni, Barak, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samwel na za manabii,
33 Kwa kumsadika Chapanga vandu venavo vavahotwili vankosi. Vavahamwili ngati cheyikumganisa Chapanga, na vapokili gala gevalagaziwi na Chapanga. Vakungili milomo ya mahimba,
ambao kupitia imani walizishinda falme, walitenda haki, na wakapokea ahadi. Walizuia vinywa vya simba,
34 vajimisi miali ya motu, vatilili kukomiwa kwa vipula, pevavi vangolongondi, vasopiwi makakala, vavi vakekesi ku ngondo, vavavingili manjolinjoli vayehe.
walizima nguvu za moto, walikwepa ncha ya upanga, waliponywa kutoka katika magonjwa, walikuwa mashujaa vitani, na walisababisha majeshi wageni kukimbia.
35 Kwa kumsadika Chapanga vadala vangi vakiliwusiwi valongo vevafwili kwa kuyukiswa. Vangi vavi vang'aiki mpaka kufwa vabeli kudinduliwa muni vayukiswayi na kuyingila muwumi weuvi wabwina neju.
Wanawake walipokea wafu wao kwa njia ya ufufuo. Wengine waliteswa, bila kukubali kuachwa huru ili kwamba waweze kupata uzoefu wa ufufuo ulio bora zaidi.
36 Vangi vaveviswi na kutoviwa michapilu, vangi vakungiwi minyololo na kutagilwa muchifungu.
Wengine waliteswa kwa dhihaka na kwa vichapo, naam, hata kwa vifungo na kwa kutiwa gerezani.
37 Vafwili kwa kutoviwa na maganga, vangi vadumuliwi kwa msumeno hipandi hivili, vangi vakomiwi kwa vipula. Valyungilyungi kuni vawalili vikumba vya mambelele na mene. Vavi vandu vangangu, vang'aiswi na kukitiwa uhakau.
Walipondwa mawe. Walikatwa vipande kwa misumeno. Waliuawa kwa upanga. Walikwenda kwa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi walikuwa wahitaji, wakiendelea katika maumivu na wakitendewa mabaya
38 Mulima waganikiwa lepi kuvya na vandu ngati avo. Valyungilyungili kulugangatu na kuchitumbi, vatama mu mbugu na mumagodi ga pandima.
(ambayo ulimwengu haukustahili kuwa nao), wakitangatanga nyikani, milimani, katika mapango na katika mashimo ya ardhini.
39 Vandu ava voha vawonikini kuvya vakekesi ndava ya kusadika kwavi. Pamonga na ago, vapokili lepi gala geajovili Chapanga,
Ingawa watu wote hawa walikubaliwa na Mungu kwa sababu ya imani yao, hawakupokea alichoahidi.
40 ndava Chapanga aganili kutihengela lijambu labwina neju ndava yitu, muni aganili kuvya vene pamonga na tete ndu kuvya vakamilifu.
Mungu alitangulia kutupatia kitu kilichobora, ili kwamba bila sisi wasingeweza kukamilishwa.

< Vaebulania 11 >