< Vagalatia 6 >
1 Valongo vangu, ngati mkumlola mundu nunuyu abudili, hinu nyenye mwemulongoswa na Mpungu mumwuyisa kavili mundu mwenuyo, nambu muhenga kwa ungolongondi, mujiyangalila mwavene mkoto kuyingila mukulingiwa.
Ndugu zangu, ikiwa mtu ameghafilika akatenda dhambi, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejesheni upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa.
2 Mtangatilana kugegesana ndwika zinu na mukukita genago yati mwitimilisa malagizu ga Kilisitu.
Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa njia hii mtatimiza sheria ya Kristo.
3 Mundu akajiwona kuvya chindu kumbi chindu lepi, mwenuyo akujikonga mwene.
Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe.
4 Nambu kila mundu alola bwina matendu gaki. Yikavya gabwina hinu ihotola kugahekela gala geahengili changawanangisa na mundu yungi.
Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine.
5 Muni kila mundu iganikiwa kugega ndwika yaki mwene.
Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
6 Mweiwuliwa lilovi la Chapanga na ampela muwula waki muvindu vyabwina vyeavili navyu.
Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.
7 Mkoto kukongewa, Chapanga iveveswa lepi. Cheamijili mundu ndi cheibena.
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
8 Ndava muni mundu yeyoha mweimija mu mnogo uhakau weavelikwi nawu yati ibena mwenumo uhakau, nambu akamija kwa kulongoswa na Mpungu yati ibena wumi wa magono goha wangali mwishu kuhuma kwa Mpungu Msopi. (aiōnios )
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios )
9 Hinu tikotoka kutotokela kuhenga gabwina, muni yetibena mulukumbi lwaki, ngati tideniki lepi mtima.
Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa.
10 Ndi muni, takayvayi takona na lukumbi, tivahengela vandu voha gabwina na neju kwa vala vevakumsadika Yesu.
Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waaminio.
11 Mwavene mlola chenikuvayandikila mayandiku gavaha na chiwoko changu namwene.
Angalieni herufi kubwa nitumiazo ninapowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe!
12 Vala vevigana kuloleka bwina kwa mambu ga higa ndi vevigana kuvajovela kwa makakala mdumula jandu. Vikita chenicho ndava yimonga, muni vigana lepi kung'ahika ndava ya kuwula ndava ya msalaba wa Kilisitu.
Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili wanataka wawalazimishe kutahiriwa. Sababu pekee ya kufanya hivyo ni kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo.
13 Muni vevadumwili jandu vene vilanda lepi malagizu, ndi vakuvagana nyenye mudumuliwa jandu muni vapata kumeka ndava ya kudumuliwa jandu kwinu.
Hata wale waliotahiriwa wenyewe hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu.
14 Nambu nene katu yati nimeka lepi chochoha nambu ndi msalaba wa BAMBU witu Yesu Kilisitu, muni ndava ya msalaba wenuwo mulima woha uvambiwi kwa nene, ndava mambu ga pamulima gakuniganisa lepi nivii ngati mwenifwili kwa mambu ago.
Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
15 Kudumuliwa amala kubela kudumuliwa jandu chindu lepi, jambu livaha ndi mundu kuvya wamupya.
Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
16 Vevilanda ulongosi uwu nikuvayupila uteke na lipyana, uteke na lipyana uvya kwa vandu va Isilaeli na vandu voha va Chapanga.
Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.
17 Kutumbula hinu, mundu yoyoha akotoka kuning'aha kavili, muni ulangisu wenivi nawu muhiga yangu yilangisa kuvya nene ndi wa Yesu.
Hatimaye, tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili wangu chapa zake Yesu.
18 Valongo vangu ubwina wa BAMBU witu Yesu Kilisitu uvya na pamonga nyenye. Ena.
Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.