< Vaefeso 3 >

1 Ndava ya genago, nene Pauli mundu mwenikungiwi ndava ya kumhengela Yesu Kilisitu na kuvakokosela Lilovi la Bwina nyenye vandu vangali Vayawudi.
Kwa sababu hii, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi watu wa Mataifa:
2 Chakaka muyuwini kuvya Chapanga, muubwina waki, anigotolili lihengu lenili nihengayi ndava yinu.
Kwa hakika mmekwisha kusikia kuhusu ile huduma ya neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu,
3 Nene namanywisi mu njila ya kugubukuliwa mpangu waki wewafiyiki, niyandiki chihupi lijambu lenili,
yaani, ile siri iliodhihirishwa kwangu kwa njia ya ufunuo, kama nilivyotangulia kuandika kwa kifupi.
4 mwavene pemwisoma malovi gangu muhotola kumanya chenimanya mfiyu wenuwo wa Kilisitu.
Kwa kusoma haya, basi mtaweza kuelewa ufahamu wangu katika siri ya Kristo.
5 Mfiyu wenuwo wamanyiswi lepi kwa vandu muviveleku vingi ngati hinu naha cheyimanywiswi na Mpungu Msopi kwa vamitumi na vamlota vaki vamsopi va Chapanga.
Siri hii haikudhihirishwa kwa wanadamu katika vizazi vingine kama vile sasa ilivyodhihirishwa na Roho kwa mitume na manabii watakatifu wa Mungu.
6 Uwu ndi mfiyu wene, mu njila ya Lilovi la Bwina vandu vagali Vayawudi vipata pandu pavi pamonga na Vayawudi mumota za Chapanga. Vene higa yilayila na vihanganila pamonga lilagizu lilalila leahengili Chapanga kwa njila ya Kilisitu Yesu.
Siri hii ni kwamba, kwa njia ya Injili, watu wa Mataifa ni warithi pamoja na Israeli, viungo vya mwili mmoja na washiriki pamoja wa ahadi katika Kristo Yesu.
7 Nene nihengiwi kuvya muhengaji wa Lilovi la Bwina kwa njombi ya ubwina wa Chapanga yeanipeli kwa ndava ya uhengaji wa uhotola waki.
Nimekuwa mtumishi wa Injili hii kwa kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa nguvu yake itendayo kazi.
8 Pamonga nene mwenivii mdebe kuliku vandu voha va Chapanga, nambu anitangatili ubwina waki, muni nivakokosela vandu va milima umahele wa Kilisitu wangapimika.
Ingawa mimi ni mdogo kuliko aliye mdogo kabisa miongoni mwa watakatifu wote, nilipewa neema hii: ili niwahubirie watu wa Mataifa kuhusu utajiri usiopimika ulio ndani ya Kristo,
9 Nahaguliwi muni nivajovela vandu voha valola mpangu wa mfiyu wa Chapanga chewihenga lihengu. Chapanga mweawumbili vindu vyoha afiyili mfiyu waki kutumbula kadeni. (aiōn g165)
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn g165)
10 Muni hinu, mu njila ya msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu, na vachilongosi na vana uhotola pamulima wa chimpungu, vahotola kumanya luhala lwa Chapanga munjila ndalindali.
Ili sasa kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye mamlaka katika ulimwengu wa roho,
11 Chapanga ahengili lijambu lenili kulandana na mpangu waki wa magono goha gangali mwishu leahegili, mu njila ya Kilisitu Yesu Bambu witu. (aiōn g165)
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
12 Mukuwungana na Yesu Kilisitu na kwa sadika yitu, tete tihotola kumhambila Chapanga kwa ukekesi changali wogohi.
Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.
13 Ndava yeniyo nikuvayupa neju mkoto kudenyeka mtima ndava ya mang'ahiso gegakunikolela ndava yinu, muni genago ndava ya ukulu winu.
Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa kwa sababu ya mateso yangu kwa ajili yenu, hayo ni utukufu wenu.
14 Ndava ya yeniyo ndi nikumfugamila Dadi,
Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,
15 ndi kuhuma kwaki lukolo lwoha pamulima na kunani kwa Chapanga lupokela mahina ga chakaka.
ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.
16 Nikumuyupa Chapanga, kwa umahele wa ukulu waki, avasindimalisa mitima yinu kwa makakala ga Mpungu Msopi.
Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya Roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake,
17 Namwene Kilisitu atama mumitima yinu musadika. Nikumuyupa mpata kuvya na mikiga na mkingisa muuganu wa Chapanga,
ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,
18 muni muhotola kumanya pamonga na vandu voha va Chapanga uganu wa Kilisitu cheuvili muuvaha na utali na mukukula.
mwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, urefu, kimo na kina upendo wa Kristo,
19 Ena, muhotola kumanya uganu wa Kilisitu umanya woha, ndi mmemeswa neju utimilifu woha wa Chapanga.
na kujua upendo huu unaopita fahamu, ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wote wa Mungu.
20 Chapanga kwa makakala gaki gihenga lihengu mugati yitu ihotola kuhenga mambu gakulu neju hati getiyupa amala kuhololela.
Basi kwa yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza wake ule utendao kazi ndani yetu,
21 Kwaki Chapanga kuvya ukulu kwa njila ya msambi wa vandu vevakumsadika na mu njila ya Kilisitu Yesu mwene, lusenje lwoha magono na magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn g165)
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn g165)

< Vaefeso 3 >