< Vakolosai 2 >
1 Nigana mmanyai chanihenga lihengu chakukangamala ndava yinu, ndava ya vandu va Laodikea na ndava ya vandu voha vevangakonganeka na nene.
Nataka mjue jinsi ninavyojitaabisha kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale walioko Laodikia, na pia kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona mimi binafsi.
2 Nikita chenichi muni kwa kuvakangamalisa mitima kangi kuletwa pamonga muuganu muni mumemeswa mota za kumanya uchakaka. Muni muhotola kumanya mambu gegafiyiki na Chapanga, mambu ago ndi Kilisitu mwene.
Kusudi langu ni watiwe moyo na kuunganishwa katika upendo, ili wapate ule utajiri wa ufahamu mkamilifu, ili waijue siri ya Mungu, yaani, Kristo mwenyewe,
3 Mugati yaki mwene vifiyiki vindu vyamahele na luhala na umanya wa Chapanga.
ambaye ndani yake kumefichwa hazina zote za hekima na maarifa.
4 Hinu, nikuvajovela, mkoto kuyidikila kukongwa na mundu yoyoha kwa malovi ga udese hati ngati ga kuchenjela.
Nawaambia mambo haya ili mtu yeyote asiwadanganye kwa maneno ya kuwashawishi.
5 Muni, pamonga na nene kuvya patali na nyenye kwa higa, nambu nivili pamonga na nyenye mumtima, ukuvaholalela neju, na niheka kulola mambu ginu chegihamba bwina na kuyima musadika yinu kwa Kilisitu.
Kwa kuwa ingawa mimi siko pamoja nanyi kimwili, lakini niko pamoja nanyi kiroho, nami nafurahi kuuona utaratibu wenu na jinsi uthabiti wa imani yenu katika Kristo ulivyo.
6 Muni nyenye mumyidikili Yesu Kilisitu mweavili Bambu, muyendelela kutama mukuwungana nayu.
Hivyo basi, kama vile mlivyompokea Kristo Yesu kuwa Bwana, endeleeni kukaa ndani yake,
7 Muyendelela kumsadika ngati kusopa mikiga mugati yaki na kuujenga wumi waki na kuvya kuyima mukukangamala musadika ngati chamwawuliwi. Mvya vandu vakusengusa.
mkiwa na mizizi, na mmejengwa ndani yake, mkiimarishwa katika imani kama mlivyofundishwa, na kufurika kwa wingi wa shukrani.
8 Mlola, hinu, mundu akotoka kuvayagisa kwa kuvakonga muluhala lwa chimundu wewihuma mumawuliwu ga vandu vevapewili na vagogo vavi na mizuka yeyilongosa pamulima, na lepi Kilisitu mwene!
Angalieni mtu yeyote asiwafanye ninyi mateka kwa elimu batili na madanganyo matupu yanayotegemea mapokeo ya wanadamu na mafundisho ya ulimwengu badala ya Kristo.
9 Muni, mugati ya Kilisitu umundu waki, uvi utimilifu woha wa Chapanga,
Maana ukamilifu wote wa Uungu umo ndani ya Kristo katika umbile la mwili wa kibinadamu,
10 na nyenye mpewili wumi weudandasiki mukuwungana Kilisitu. Mwene avi na uhotola panani ya mizuka yoha na vakulu voha.
nanyi mmepewa ukamilifu ndani ya Kristo, ambaye ndiye mkuu juu ya kila enzi na kila mamlaka.
11 Mukuwungana na Kilisitu nyenye mwadumwili jandu, nambu lepi yeyikitiwa na vandu, ndi yeyikitiwa na Kilisitu mwene. Na yeniyo ndi lihengu la kuvagombola vandu kuhuma mnogo wavi uhakau wewavelikwi nawu mukumbudila Chapanga.
Katika Kristo pia mlitahiriwa kwa kutengwa mbali na asili ya dhambi, si kwa tohara inayofanywa kwa mikono ya wanadamu, bali kwa ile tohara iliyofanywa na Kristo,
12 Muni pemwabatizwi mwazikiwi pamonga na Kilisitu na mukubatiziwa kwenuko mweayukiswi kwa kusadika makakala ga Chapanga gegamuyukisi Kilisitu.
mkiwa mmezikwa pamoja naye katika ubatizo, na kufufuliwa pamoja naye kwa njia ya imani yenu katika uweza wa Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu.
13 Lukumbi lumonga mwavili ngati vandu mwemwafwili ndava ya kumbudila Chapanga, na kubela kudumuliwa jandu muhiga zinu, ndava ya mnogo winu uhakau wemwavelekiwi nawu wavili wakona kuwusiwa. Nambu hinu Chapanga avapelili nyenye wumi pamonga na Kilisitu. Chapanga atilekekekisi kumbudila chapanga kwoha.
Mlipokuwa wafu katika dhambi zenu na kutokutahiriwa katika asili yenu ya dhambi, Mungu aliwafanya mwe hai pamoja na Kristo. Alitusamehe dhambi zetu zote,
14 Awusili kutali balua yeyayandiki uhakau witu. Hati yeniyo ya malagizu gaki ndi Chapanga ngalihengili mukutihamula ndi ayiwusili chakaka kwa kuyigongomela pamsalaba.
akiisha kuifuta ile hati yenye mashtaka yaliyokuwa yanatukabili, pamoja na maagizo yake. Aliiondoa isiwepo tena, akiigongomea kwenye msalaba wake.
15 Penapo pamsalaba Kilisitu avanyagili makakala gavi mizuka yeyitalalila na vakulu, avakitili kuvya chindu cha kuvapela soni palongolo ya vandu kuvalundusa ngati vandu vevakamuliwi kungondo kulangisa avahotwili.
Mungu akiisha kuzivua enzi na mamlaka, alizifanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuziburura kwa ujasiri, akizishinda katika msalaba wa Kristo.
16 Hinu ndi, mkoto kuyidakila kupewa malagizu na mundu yoyoha kuvala vyakulya na mnyweso, ligono la mselebuko, amala kukamulila mvelu wa ligono la mselebuko, kuvandama kwa mwehi amala Ligono la Kupumulila.
Kwa hiyo mtu asiwahukumu ninyi kuhusu vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwezi Mwandamo au siku ya Sabato.
17 Mambu ngati ago ndi chimuwili cha gala gegibwela, uchakaka wene wa mambu goha ndi Kilisitu.
Hizi zilikuwa kivuli cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo halisi imo ndani ya Kristo.
18 Mkoto kuyidakila kuhamuliwa na mundu yoyoha mwakujikita kuvya wabwina kwa gala geakugawona na kugahololela ngamwene na kukangamala ungolongondi wa udese na kumuyupa mtumu wa kunani kwa Chapanga. Mundu mwenuyo muyimu ndava ya mahalo gaki gegakumkonga gegihuma kwa vandu,
Mtu yeyote asiwaondolee thawabu yenu kwa kusisitiza kunyenyekea kwake na kuabudu malaika. Mtu kama huyo hudumu katika maono yake, akijivuna bila sababu katika mawazo ya kibinadamu.
19 na alekili kujiwunga na Kilisitu mweavili mutu wa higa yeniyo. Kupitila Kilisitu higa yoha yisopewa makakala na yikamulini pamonga kwa viiwungu vyaki na misekete yaki, na vyene vikula ngati cheigana Chapanga.
Yeye amepoteza ushirikiano na Kichwa, ambaye kutoka kwake mwili wote unalishwa na kushikamanishwa pamoja kwa viungo na mishipa, nao hukua kwa ukuaji utokao kwa Mungu.
20 Nyenye mfwili pamonga na Kilisitu na kugombolewa mumakakala ga mizuka yeyilongosa mulima. Ndava kyani mwakona mwitama ngati vandu va mulima uwu? Ndava kyani myidakila malagizu ngati aga?
Kwa kuwa mlikufa pamoja na Kristo, mkayaacha yale mafundisho ya msingi ya ulimwengu huu, kwa nini bado mnaishi kama ninyi ni wa ulimwengu? Kwa nini mnajitia chini ya amri:
21 “Mkoto kukamula ichi,” “Mkoto kumihyanga chila,” “Mkoto kupamisa chila!”
“Msishike! Msionje! Msiguse!”?
22 Mambu genago goha ndi ndava ya vindu vyavihalabika pevitumika ndu, genago ndi malagizu na mawuliwu ga vandu ndu.
Haya yote mwisho wake ni kuharibika yanapotumiwa, kwa sababu msingi wake ni katika maagizo na mafundisho ya wanadamu.
23 Chakaka, malagizu genago gilolekana kuvya ngati yina luhala munjila ya kumuyupa Chapanga yemukujikitila mwavene. Kukangamalisa ungolongondi na kuyilongosa higa kwa ukali, nambu yangali mana mukubesa mnogo wa higa.
Kwa kweli amri kama hizo huonekana kama zina hekima, katika namna za ibada walizojitungia wenyewe, na unyenyekevu wa uongo na kuutawala mwili kwa ukali, lakini hayafai kitu katika kuzuia tamaa za mwili.