< Matendu 6 >
1 Mwanakandahi vawuliwa pevayendalili kuyonjokeseka, gakahumila mang'ung'uta pagati ya vamsadika va Yesu, Vayawudi vevilongela Chigiliki vala na vala vevilongela Chiebulania, vevilongela Chigiliki vala vang'ung'utayi ndava vakuvakosiwa valipwela vavi mukugawiwa vyakulya vya kila ligono.
Basi ikawa katika siku hizo, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa ikiongezeka sana, palitokea manungʼuniko kati ya Wayahudi wa Kiyunani, dhidi ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahaulika katika mgawanyo wa chakula wa kila siku.
2 Ndi muni, vamitumi kumi na vavili vala vakavakemela vamsadika, vakajova, “Chabwina lepi tete kuleka kukokosa Lilovi la Chapanga na kuvagavila chakulya.
Wale mitume kumi na wawili wakakusanya wanafunzi wote pamoja wakasema, “Haitakuwa vyema sisi kuacha huduma ya neno la Mungu ili kuhudumu mezani.
3 Hinu, valongo vitu, mvahagula vandu saba pagati yinu, vevitopeswa na vevamemili Mpungu Msopi na luhala, tete yati tikuvagotolela lihengu lenili.
Kwa hiyo ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, watu wenye sifa njema, waliojawa na Roho Mtakatifu na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi kazi hii,
4 Tavete yati tivya mukuhenga mukumuyupa Chapanga na lihengu la kukokosa Lilovi la Chapanga.”
nasi tutatumia muda wetu kuomba na huduma ya neno.”
5 Lijambu lenilo likavaganisa vamsadika voha, ndi vakavahagula Stefani, mundu mweamemiswi sadika yivaha na Mpungu Msopi na Filipi na Plokolo na Timoni na Pamena na Nikolausi mundu wa ku Antiokia mweajiwungi na njila ya kumuyupa Chapanga ya Vayawudi.
Yale waliyosema yakawapendeza watu wote, nao wakamchagua Stefano (mtu aliyejawa na imani na Roho Mtakatifu) pamoja na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
6 Vakavavika palongolo ya vamitumi, kangi vakavayupila kwa Chapanga kuni vavapamisi mawoko.
Wakawaleta watu hawa mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono juu yao.
7 Lilovi la Chapanga likadandasika ku Yelusalemu na vamsadika vakayonjokeseka neju, chikundi chivaha cha vamteta va Chapanga vakalanda sadika.
Neno la Mungu likazidi kuenea. Idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu hata makuhani wengi wakaitii ile imani.
8 Hinu, Stefani amotisiwi na apewili makakala na Chapanga, hati akahenga chinamtiti na makangaso pagati ya vandu.
Stefano, akiwa amejaa neema na nguvu za Mungu, alifanya ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu.
9 Nambu vandu vangi vakahumila muni vahutana na Stefani. Vandu venavo vavi va “Nyumba ya kukonganekela Vayawudi la vandu Hulu,” Vene vahumili Kulene na Alekisanda, na vangi vahumili Kilikia na Asia.
Hata hivyo, ukainuka upinzani wa watu wa Sinagogi la Watu Huru (kama lilivyokuwa linaitwa), la Wayahudi wa Kirene na wa Iskanderia, na wengine kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa wakaanza kupingana na Stefano.
10 Nambu vahotwili lepi kumhotola ndava ya luhala lwaki, na Mpungu Msopi mweamlongwisi mukujova.
Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake.
11 Ndi vakavakulukisa cha mfiyu vandu nunuyu vajova kuvya, “Timyuwini Stefani akumliga Musa na akumliga Chapanga.”
Ndipo kwa siri wakawashawishi watu fulani waseme, “Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kufuru dhidi ya Mose na dhidi ya Mungu.”
12 Ndava ya yeniyo, vakavakokesa vandu, vachilongosi na vawula va malagizu ga Chapanga geampeli Musa. Ndi vakambwelela Stefani vakamkamula na kumpeleka palongolo ya libanji.
Wakawachochea watu, wazee na walimu wa Sheria, nao wakamkamata Stefano wakamfikisha mbele ya baraza.
13 Kangi vakaleta vajova malovi ga udese vevajovili, “Mundu uyu katu ikotoka lepi kuliga pandu apa Pamsopi na kuliga malagizu ga Chapanga geampeli Musa.
Wakaweka mashahidi wa uongo ambao walishuhudia wakisema, “Mtu huyu kamwe haachi kusema dhidi ya mahali hapa patakatifu na dhidi ya Sheria.
14 Ndava muni tamali kumyuwanila kuvya Yesu wa ku Nazaleti mwenuyu yati apagwisa pandu apa na kung'anamusa mivelu yila yetapokili kuhuma kwa Musa.”
Kwa maana tumemsikia akisema kwamba Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali patakatifu na kubadili desturi zote tulizopewa na Mose.”
15 Voha vevatamili mu libanji lila vakamlolokesa takataka Stefani, kangi vakalola pamihu paki pavi ngati mtumu wa kunani kwa Chapanga.
Watu wote waliokuwa wameketi katika baraza wakimkazia macho Stefano, wakaona uso wake unangʼaa kama uso wa malaika.