< Matendu 15 >

1 Hinu, vandu vangi vakahuma ku Yudea na kubwela ku Antiokia, vakatumbula kuvawula valongo vala, nakuhotola kusanguliwa ngati mwangayingila jandu, ngati mvelu wa Musa cheulagiza.
Baadhi ya watu wakashuka Antiokia kutoka Uyahudi, nao wakawa wanawafundisha wandugu: “Msipotahiriwa kufuatana na desturi aliyofundisha Mose, hamwezi kuokoka.”
2 Pauli na Banaba vakavya na mhutanu na vandu vala ndava ya lijambu lila, ndi vakahamuliwa Pauli na Banaba pamonga na vamsadika vangi va Antiokia vahamba ku Yelusalemu kukonganeka na vagogo na vamitumi ndava ya lijambu lenilo.
Baada ya Paulo na Barnaba kutokubaliana nao kukawa na mabishano makali, Paulo na Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao wakachaguliwa kwenda Yerusalemu ili kujadiliana jambo hili na mitume na wazee.
3 Mulugendu lwavi msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu ndi vavatangatili, vakapitila ku Foinike na ku Samaliya na kuvajovela vandu vangali Vayawudi chavamsadiki Chapanga. Malovi ago gavagahekisi neju vamsadika voha.
Hivyo wakasafirishwa na kanisa, wakiwa njiani wakapitia nchi ya Foinike na Samaria, wakawaeleza jinsi watu wa Mataifa walivyookoka. Habari hizi zikaleta furaha kubwa kwa ndugu wote.
4 Pavahikili ku Yelusalemu, vakagongolelewa na msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu na vamitumi na vagogo, vene vakavajovela mambu goha Chapanga geagahengili pamonga nawu.
Walipofika Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume pamoja na wazee, ndipo Paulo na Barnaba wakawaarifu kila kitu Mungu alichokuwa amefanya kupitia kwao.
5 Nambu vamsadika vangi va msambi wa Vafalisayu vakayima na kujova, “Yikuvagana vandu vangali Vayawudi vadumuliwa jandu na kuvalagiza kulanda mhilu wa Musa.”
Ndipo baadhi ya walioamini wa madhehebu ya Mafarisayo wakasimama na kusema, “Hao watu wa Mataifa lazima watahiriwe na waagizwe kutii sheria ya Mose.”
6 Hinu vamitumi na vagogo vakakonganeka ndava ya kulongalela lijambu lenilo.
Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.
7 Ndi pavakotini neju, Petili akayima na kujova, “Valongo vangu, mumanyili kuvya Chapanga anihagwili nene kadeni pagati yinu muni nikokosayi Lilovi la Bwina kwa vandu vangali Vayawudi navene vayuwana na vasadikayi.
Baada ya majadiliano mengi, Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, mnajua kwamba siku za kwanza Mungu alinichagua ili kwa midomo yangu watu wa Mataifa wapate kusikia ujumbe wa Injili na kuamini.
8 Na Chapanga mweimanya mitima ya vandu, ajilangisi kuvayidakila kuvapela Mpungu Msopi vene ngati cheatipeli tete.
Mungu, yeye ajuaye mioyo, alionyesha kwamba anawakubali kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama vile alivyotupa sisi.
9 Nakuvabagula vandu, tete amala vene, ainyambisi mitima yavi ndava vakumsadika.
Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.
10 Hinu ndava kyani kumlinga Chapanga, mukuvagegesa ndwika vamsadika vala, ndwika vagogo vitu wala tavete tihotola lepi kugega?
Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Mungu kwa kuweka kongwa shingoni mwa wanafunzi ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba?
11 Lepi, ndi tete tisadika ngati vene, yati tisanguliwa munjila ya ubwina wa Bambu Yesu.”
Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu Kristo, kama wao wanavyookolewa.”
12 Mngonganu wa vandu voha wagunili nuu, ukuwayuwanila Pauli na Banaba vidandaula gachinamtiti na makangaso, Chapanga geagahengili muujumbi wavi kwa vandu vangali Vayawudi.
Kusanyiko lote likakaa kimya, wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi Mungu alivyowatumia kutenda ishara na maajabu kwa watu wa Mataifa.
13 Pevamali kulongela, Yakobo akatumbula kujova, “Muniyuwanila valongo vangu!
Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
14 Simoni Petili atidandaulili Chapanga penapo kadeni cheajilangisi kwa vandu vangali Vayawudi na kuvahagula vangi pagati yavi, vavyai vandu vaki.
Simoni amekwisha kutueleza jinsi Mungu, kwa mara ya kwanza alivyoonyesha kuhusika kwa kujichagulia watu kutoka watu wa Mataifa kwa ajili ya Jina lake.
15 Lijambu lenilo ndi liyidakilana na malovi ga vamlota va Chapanga, ngati Mayandiku Gamsopi chegijova,
Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:
16 ‘Bambu ajovili, pagenaga yati niwuya, na kuujenga kavili nyumba ya Daudi, yeyigwili.
“‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha,
17 Vandu vangi voha na vandu vangali Vayawudi, voha venivakemili vavyayi vangu yati vakunilonda Bambu.
ili wanadamu wengine wote wapate kumtafuta Bwana, hata wale watu wa Mataifa wote ambao wanaitwa kwa Jina langu, asema Bwana, afanyaye mambo haya’
18 Ndi cheajovili Bambu, mweagamanyisi mambu aga kuhuma kadeni.’” (aiōn g165)
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
19 Yakobo akayendelela kujova, “Nene nilola kuvya chabwina lepi kuvang'aha vandu vangali Vayawudi vevakumsadika Chapanga.
“Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu.
20 Nambu chabwina tivayandikila ujumbi kuvajovela, vayepa kulya vyakula vihakasa vya mahoka, vayepa ukemi vayepa kulya hinyama yidodanu na vayepa kulya ngasi.
Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
21 Ndava muni kutumbula kadeni mhilu wa Chapanga weampelili Musa, wisomiwa kila Ligono la Kupumulila munyumba za kukonganekela Vayawudi, na malovi gaki gikokoselewa kila muji.”
Kwa maana katika kila mji kwa vizazi vilivyopita, Mose amekuwa na wale wanaotangaza sheria yake kwa kuwa imekuwa ikisomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila Sabato.”
22 Kangi vamitumi na vagogo va msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu voha vakahamula kuvahagula vandu nunuyu mumasambi wavi na kuvatuma ku Antiokia pamonga na Pauli na Banaba. Ndi vakamhagula Yuda mweikemiwa Basaba na Sila, vevitopeswa neju na vamsadika.
Mitume na wazee pamoja na kanisa lote, wakaamua kuwachagua baadhi ya watu wao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Wakamchagua Yuda aitwaye Barsaba pamoja na Sila, watu wawili waliokuwa viongozi miongoni mwa ndugu.
23 Vavapelili ujumbi weuyandikiwi aga, “Tete vamitumi na vagogo, valongo vinu, tikuvajambusa vayitu mwangali kuvya Vayawudi mwemuvi ku Antiokia na ku Silia na ku Kilikia.
Wakatumwa na barua ifuatayo: Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, Kwa ndugu Mataifa mlioamini mlioko Antiokia, Shamu na Kilikia: Salamu.
24 Tiyuwini kuvya vandu nunuyo vakuhuma kwitu vavang'aisi mtima yinu na malovi gavi, vahengili genago changali malagizu gitu.
Tumesikia kwamba kuna baadhi ya watu waliokuja huko kutoka kwetu bila ruhusa yetu na kuwasumbua, wakiyataabisha mawazo yenu.
25 Hinu kwa pamonga tiyidakilini kuvahagula vajumbi vangi, valongosana pamonga na vankozi vitu Pauli na Banaba tivatumili kubwela kwinu.
Hivyo tumekubaliana wote kuwachagua baadhi ya watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
26 Vandu vevajiwusili kuyagisa wumi wavi ndava ya kumhengela Bambu witu Yesu Kilisitu.
watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
27 Ndava muni tivatumili Yuda na muyaki Sila, vene yati vakuvadandaulila malovi goha getivayandikili.
Kwa hiyo tunawatuma Yuda na Sila, kuthibitisha kwa maneno ya mdomo mambo haya tunayowaandikia.
28 Hinu yimganisi Mpungu Msopi na tete tikotoka kuvagegesa ndwika neju ya mambu gala gegalagaziwi.
Kwa maana imempendeza Roho Mtakatifu na sisi tusiwatwike mzigo wowote mkubwa zaidi ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya lazima:
29 Mkoto kulya vyakulya veviwusiwi mahoka, kavili ngasi ya hinyama mkoto kunywa na mewawa hinyama yevadodili mkoto kulya, myepa ukemi. Yati muhenga chabwina ngati muyepili kuhenga mambu ago!”
Kwamba mjiepushe na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na mjiepushe na uasherati. Mkiyaepuka mambo haya, mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.
30 Ndi pevamali kulagana, vajumbi vala vakawuka na kuhamba ku Antiokia. Kwenuko vakaukemela msambi wa vamsadika na kuvagotolela balua yeyiyandikwi yila.
Hivyo wakaagwa, wakashuka kwenda Antiokia. Baada ya kulikusanya kanisa pamoja, wakawapa ile barua.
31 Hinu pevamali kusoma ujumbi wula, malovi gaki gakavangamalisa mitima, vakavya na luheku neju.
Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.
32 Yuda na Sila vevavi vamlota va Chapanga, valongili nawu mulukumbi lutali vakuvapolesa na kuvakangamalisa mitima.
Yuda na Sila, ambao wenyewe walikuwa manabii, wakanena maneno mengi ya kuwatia moyo na kuwajenga katika imani wale ndugu walioamini.
33 Pevamali kutama kwa lukumbi, valongo va ku Antiokia vakalagana nawu, vakavaganila uteke, kangi vakawuya kuhamba kula kwevatumwili.
Baada ya kukaa huko Antiokia kwa muda, wakaagwa kwa amani na wale ndugu ili waende kwa wale waliowatuma. [
34 Nambu sila ahamwili kusigalila.
Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
35 Nambu Pauli na Banaba vasigalili ku Antiokia, kwenuko vene pamonga na vandu vangi vamahele vawulili na kuvakokosela Lilovi la Bambu.
Lakini Paulo na Barnaba walibaki Antiokia ambako wao pamoja na wengine wengi walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
36 Magono nunuyu gegagelekili Pauli akamjovela Banaba, “Tiwuya tikavagendela valongo vala vetavakokosili lilovi la Bambu tikaloli cheviyendelela.”
Baada ya muda, Paulo akamwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee ndugu katika miji yote tuliyohubiri neno la Bwana tuone jinsi wanavyoendelea.”
37 Banaba aganili mewa vamtola Yohani mweikemiwa Maluko.
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
38 Nambu Pauli aganili lepi kumtola Maluko, ndava mumbele avalekili ku Pamfulia na kubela kuvya pamonga mulihengu lavi.
Lakini Paulo aliona si vyema kwa sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi naye.
39 Ndi ukahumila muhutanu uvaha pagati yavi, hati vakalekengana. Banaba akamtola Maluko, vakayingila muwatu na kuhamba ku Kuplo.
Pakatokea ubishi mkali kati ya Paulo na Barnaba kuhusu jambo hili, hivyo wakagawanyika. Barnaba akamchukua Yohana Marko wakasafiri baharini kwenda Kipro.
40 Pauli mwene akamhagula Sila, hinu vamsadika pevamali kuvayupila ubwina wa Bambu vakawuka.
Lakini Paulo akamchagua Sila na akaondoka baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana.
41 Mulugendu lula vakapitila ku Silia na Kukilikia kuvakangamalisa msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu.
Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa ya huko.

< Matendu 15 >