< Matendu 11 >

1 Vamitumi na vamsadika nunuyu vevavi ku Yudea vayuwini kuvya vandu vangali Vayawudi navene mewa vapokili Lilovi la Chapanga.
Mitume na ndugu walioamini waliokuwa huko Uyahudi wakasikia kuwa watu wa Mataifa nao wamepokea neno la Mungu.
2 Hinu Petili, peawuyili ku Yelusalemu, vamsadika va Vayawudi vala vevaganisiwi kuvya vandu vangali Vayawudi vevadumwili jandu. Ndi vakang'ung'uta vakajova,
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,
3 “Veve uhambili kutama na vandu vanga yingila jandu na hati kulya pamonga nawu!”
wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”
4 Penapo Petili akavadandaulila hotohoto kugavala mambu gala gegahengiki.
Ndipo Petro akaanza kuwaeleza kuhusu mambo yote yalivyotokea hatua kwa hatua akisema,
5 “Ligono limonga namuyupayi Chapanga kumuji wa Yopa, nagawene maono, nachiwene chindu ngati shuka yivaha yihuluswa pahi kuhuma Kunani kwa Chapanga, kuni yikamuliwi pandi zoha mcheche, yavikiwi pamuhana yangu.
“Nilikuwa katika mji wa Yafa nikiomba, nami nikapitiwa na usingizi wa ghafula, nikaona maono. Kulikuwa na kitu kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni, ikishushwa kwa ncha zake nne, nayo ikanikaribia.
6 Panakalingulili bwina mugati naloli hinyama ya magendelu mcheche, na hinyama ya mudahi na hinyama yeyilandala pamulima na hidege yeyimbululuka.
Nilipoangalia ndani yake kwa karibu niliona wanyama wenye miguu minne wa nchini, wanyama wa mwitu, watambaao na ndege wa angani.
7 Kangi nayuwini lwami lukunijovela, ‘Petili, yimuka uhinja na kulya.’
Ndipo nikasikia sauti ikiniambia, ‘Petro, ondoka uchinje na ule.’
8 Nambu nene nikajova, ‘Lepi Bambu, muni chakulya chochoha changayidakiliwa katu nakuyingila hati padebe mumlomo wangu.’
“Nikajibu, ‘La hasha Bwana! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’
9 Nambu lwami lwa Kunani kwa Chapanga lwayuwaniki kavili, ‘Nakuvikelema vyangayidakiliwa vyakulya vyeavinyambisi Chapanga.’
“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’
10 Lijambu lenilo lahengiki mala yidatu, pamwishu vindu vyoha vikawuyiswa Kunani kwa Chapanga.
Jambo hili lilitokea mara tatu, ndipo kile kitu kikavutwa tena mbinguni.
11 Chigafula vandu vadatu kuhuma Kaisalia vevatumiwi kubwela kwangu vakahika panyumba mwenatamayi.
“Wakati ule ule watu watatu, waliokuwa wametumwa kutoka Kaisaria waliwasili katika nyumba niliyokuwa nikikaa.
12 Mpungu Msopi akanijovela nihamba pamonga nawu changali mtahu. Vamsadika ava sita nalongosini nawu kuhamba Kaisalea na kwenuko tavoha tayingili munyumba ya Kolineli.
Roho Mtakatifu akaniambia niende nao bila kuwa na ubaguzi kati yao na sisi. Hawa ndugu sita pia walifuatana nami, nasi tukaingia nyumbani mwa huyo Kornelio.
13 Mwene atijovili namuna cheamuwene mtumu wa kunani kwa Chapanga, cheamuhumili munyumba yaki na kumjovela, ‘Tuma vajumbi vahamba ku Yopa vakamkemela mundu mmonga liina laki Simoni paliina lingi Petili.
Akatuambia jinsi alivyoona malaika aliyekuwa amesimama katika nyumba yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yafa wakamlete Simoni aitwaye Petro.
14 Mwene yati akukujovela malovi gegakusangula veve pamonga na valongo vaku.’
Yeye atakupa ujumbe ambao kwa huo wewe na wa nyumbani mwako wote mtaokoka.’
15 Panatumbwili kulongela, Mpungu Msopi avahelili ngati cheatumbwili kutihelela tete.
“Nami nilipoanza kusema, Roho Mtakatifu akashuka juu yao kama vile alivyotushukia sisi hapo mwanzo.
16 Kangi nakumbwiki malovi geajovili Bambu, ‘Yohani abatizi kwa manji nambu nyenye yati mwibatiziwa kwa Mpungu Msopi.’
Nami nikakumbuka neno la Bwana alivyosema, ‘Yohana alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu.’
17 Hinu ngati Chapanga avapelili njombi vandu vangali Vayawudi ngati cheatipelili tete tetamsadiki Bambu Yesu Kilisitu, wu, nayani nene hati nilinga kumbesa Chapanga?”
Basi ikiwa Mungu aliwapa hawa watu kipawa kile kile alichotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata nifikirie kuwa ningeweza kumpinga Mungu?”
18 Pevagayuwini malovi ago, vakaleka mhutanu, vakamlumba Chapanga, mukujova, “Kumbi! Chapanga avapeli fwasi vandu vangali Vayawudi vamuwuyila mwene vapata wumi!”
Waliposikia haya hawakuwa na la kupinga zaidi. Nao wakamwadhimisha Mungu wakisema, “Basi, Mungu amewapa hata watu wa Mataifa toba iletayo uzima wa milele.”
19 Kangi, ndava ya mang'ahiso gegahumalili lukumbi Stefani ikomiwa, vamsadika vapechengini. Vangi vakahamba mbaka Foinike vangi Kuplo na vangi ku Antiokia mukukokosa ujumbi wula kwa Vayawudi ndu.
Basi wale waliotawanyika kwa ajili ya mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano, wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia. Nao hawakuhubiri lile Neno kwa mtu yeyote isipokuwa Wayahudi.
20 Nambu vamsadika vangi vevahumili Kuplo na Kulene, vakahambili ku Antiokia vakakokosa ujumbi wenuwo kwa vandu vangali Vayawudi, vakokosayi Lilovi la Bwina la kumvala Bambu Yesu.
Lakini baadhi yao walikuwepo watu wa Kipro na Kirene, ambao walipokuja Antiokia walinena na Wayunani pia wakiwahubiria habari njema za Bwana Yesu.
21 Bambu avatangatili na vandu vamahele vasadiki na kumuwuyila Bambu.
Mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, nayo idadi kubwa ya watu wakaamini na kumgeukia Bwana.
22 Malovi ga lijambu lila lahikili msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va ku Yelusalemu. Ndi vamtumili Banaba ahamba ku Antiokia.
Habari hizi zilipofika masikioni mwa kanisa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
23 Peahikili kwenuko avawene vandu vamotisiwi na Chapanga, ndi akavya na luheku na kuvakangamalisa mitima voha vasindimala musadika yavi kwa Bambu.
Alipofika na kuona madhihirisho ya neema ya Mungu, akafurahi na kuwatia moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Bwana kwa mioyo yao yote.
24 Banaba avili mundu mbwina na mweamemiswi Mpungu Msopi na sadika, ndava ya lihengu la Banaba msambi uvaha wa vandu wayonjokisiki kwa Bambu.
Barnaba alikuwa mtu mwema, aliyejaa Roho Mtakatifu, mwenye imani, nayo idadi kubwa ya watu wakaongezeka kwa Bwana.
25 Kangi, Banaba akawuka na kuhamba ku Taso kumlonda Sauli.
Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli,
26 Hati peamuwene, amletili ku Antiokia. Voha vavili vakatama pamonga na msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu mu mwaka mmonga, kuni viwula msambi uvaha wa vandu. Ku Antiokia kwenuko ndi vawuliwa va kutumbula vakemeliwi Vakilisitu.
naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.
27 Mu magono genago, vamlota vangi va Chapanga vahumili ku Yelusalemu vakahelela ku Antiokia.
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
28 Hinu, mmonga wavi mweikemiwa Agabo alotili yati kwiva na njala yivaha pamulima wula. Njala yeniyo yahumalili lukumbi lwa ulongosi wa Kilaudio.
Mmoja wao, jina lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea ulimwengu mzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa utawala wa Klaudio.
29 Vawuliwa vala vakahamula kuvatangatila vamsadika vevatama ku Yudea, kila mmonga apeleka chindu chochoha cheihotola.
Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Uyahudi.
30 Ndi vakakita mewa na kuvapela njombi zavi Banaba na Sauli vakavagotolela vagogo va vamsadika.
Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

< Matendu 11 >