< 2 Petili 1 >

1 Nene Simoni Petili, mtumisi na mtumi wa Yesu Kilisitu. Nikuvayandikila nyenye mwempokili sadika yilayila yabwina neju yetapokili tete, kwa njila ya ubwina wa Chapanga witu na msangula Yesu Kilisitu.
Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:
2 Nikuvaganila ubwina wa Chapanga na uteke wamahele mukummanya Chapanga na Yesu BAMBU witu.
Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
3 Kwa makakala gaki ga chi Chapanga, Chapanga atipelili mambu goha getigana muni titama cha kumuyupa na kumlumba Chapanga kwa kummanya mwene mweatikemili titama nayu mkulu na ubwina waki mwene.
Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
4 Ndava yeniyo atipelili njombi yaki yikulu na zabwina zeajovili akutipela, muni ndava ya njombi zenizo muni muyepa mnogo uhakau weuvi pamulima, na kuvya ngati Chapanga cheigana tivyai.
Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.
5 Ndava yeniyo, mkangamala myonjokesa ubwina musadika, na ubwina winu myonjokesa mumanya winu,
Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa;
6 mukumanya kwinu muyonjokesa kujilongosa mwavene, na mukujilongosa mwavene muyonjokesa usindimala na mukusindimala muyonjokesa kumyogopa Chapanga,
katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
7 na mukuyogopa Chapanga myonjokesa unkozi wa chiulongo na pa genago yonjokesa uganu kwa vandu voha.
katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.
8 Mkavya na mambu genago kwa umahele, yati mwivya lepi vakata nambu mwemhotola kukita gabwina na kuvatangatila vangi mukumanya BAMBU witu Yesu Kilisitu.
Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Nambu mundu mweangavya na mambu ago ivya ngalola, angahotola kulola vindu vya kutali na akosiwi kuvya amali kunyambiswa kumbudila kwaki Chapanga kwa kadeni.
Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.
10 Hinu ndi, valongo vangu mkangamala neju ukemela winu na uhaguliwa wewakitiwi na Chapanga uvya lijambu leliyendelela changali mwishu muwumi winu, ngati mkatama chenicho mgwa lepi mukumbudila Chapanga.
Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe,
11 Kwa kukita genago yati myidikiliwa njwe kuyingila muunkosi wa magono goha gangali mwishu wa BAMBU na Msangula witu Yesu Kilisitu. (aiōnios g166)
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
12 Hinu yati niyendelela kuvakumbusa magono goha mambu aga, pamonga mmali kugamanya na mkangamili muuchakaka wemwaupokili.
Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo.
13 Niwona ndi lijambu labwina kwangu, lukumbi lwoha lwenitama mumi pamulima apa, kuvakenyemusa na kuvakumbusa kuvala mambu aga.
Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu,
14 Muni nimanyili kuvya papipi yati nikuyivika patali higa iyi yeyifwa, ngati BAMBU witu Yesu Kilisitu cheanijovili hotohoto.
kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu.
15 Hinu, ndi yati nikita chochoha chenihotola, muni nikafwayi mugakumbukai mambu aga lukumbi lwoha.
Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.
16 Lukumbi petivawulili kuuvala ukulu wa kubwela kwaki BAMBU witu Yesu Kilisitu, tavajovili lepi humu za udese kuhuma kwa vandu vevachenjili. Tete talolili ukulu waki mwene kwa mihu gitu.
Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake.
17 Tete tavi lukumbi lweapewili utopesa na ukulu kuhuma kwa Chapanga dadi, lukumbi lwami palwambwelili mwene mweavi na Ukulu Mkulu, lukajova, “Uyu ndi Mwanangu Mganu mweniganisiwi nayu.”
Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.”
18 Kangi, tavete tayuwini lwami ulo kuhuma kunani kwa Chapanga, lukumbi patavili pamonga nayu panani ya chitumbi chamsopi.
Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.
19 Kavili, ujumbi wewajoviwi vamlota va Chapanga timanyili kuvya wavili wa chakaka na nyenye yati mkita chabwina ngati mukuuyuwanila ujumbi wenuo, muni ngati hahi cheyikuvalangasila muchitita mbaka ligono pekwicha na Kilisitu mweavili ndondo peilangisa mumitima yinu.
Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu.
20 Neju pa ago, mkumbuka kawaka mundu mweihotola kudandaula mwene ujumbi kuhuma kwa Chapanga weuvili mu Mayandiku Gamsopi.
Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.
21 Muni katu kawaka ujumbi Chapanga wabweli lepi ngati vandu chevigana vene, nambu vandu vajovili ujumbi kuhuma kwa Chapanga valongwiswi na Mpungu Msopi.
Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

< 2 Petili 1 >