< 2 Vakolinto 4 >

1 Hinu, Chapanga, kwa lipyana laki atigotolili lihengu lenili ndava iyo nakuvya mumbele.
Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.
2 Tigabelili mambu goha ga soni na gamfiyu. Titama lepi kavili kwa kukonga amala kwa kuliyagisa lilovi la Chapanga, pahali paki ndi tijova uchakaka muni vandu vamanya mumitima yavi tete chetivili palongolo ya Chapanga.
Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo, tunadhihirisha kweli waziwazi na kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila mtu mbele za Mungu.
3 Muni, ngati Lilovi la Bwina gatikokosa gafiyiki, gafiyiki ndu kwa vala vevayagili.
Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
4 Venavo vasadiki lepi muni yula Setani mweavi chapanga wa mulima uwu asopili chitita muluhala lwavi vakotoka kulola hotohoto lumuli lwa Lilovi la Bwina ga ukulu wa Kilisitu, mweavi ngati Chapanga cheavili. (aiōn g165)
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
5 Nakujikokosela tavete, ndi tikumkokosa Yesu Kilisitu mwavili BAMBU, tete tavete vanalihengu vinu ndava ya Yesu.
Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6 Chapanga mwajovili kuvya “Lumuli ndi lulangasayi kuhuma kuchitita,” Chapanga ndi mwakuyilangasa mitima yitu, na kutihotosa kuumanya ukulu wa Chapanga weulangasa pamihu pa Kilisitu Yesu.
Kwa kuwa Mungu, yeye aliyesema, “Nuru na ingʼae gizani,” ameifanya nuru yake ingʼae mioyoni mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu wa Mungu katika uso wa Kristo.
7 Hinu, kwa tete tivii ngati vindu vya ludaka mugati yaki vivikiwi vindu vya chimpungu vandu valola hotohoto kuvya makakala genago gakulu gihuma kwa Chapanga nambu lepi kuhuma kwa tete tavete.
Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu.
8 Magono goha ting'ahiswa, nambu nakusanguliwa, tivya mukuyogopa, nambu nakuvya mumbele,
Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
9 Ting'ahiswa nambu nakutileka changali kutangatilwa. Pamonga na kugwiswa pahi nakukomewa.
twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
10 Lukumbi lwoha tigenda na lifwa la Kilisitu muhiga yitu, muni wumi waki Yesu ndi ulolekana muhiga yitu.
Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
11 Ena, lukumbi lwatitama titindilwa na lifwa magono goha, ndava ya Yesu, muni wumi waki Yesu ulolekana muhiga yitu yeyifwa.
Kwa maana sisi tulio hai siku zote tumetolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanao na mauti.
12 Ndava yeniyo tete tivii tayali hata kufwa muni nyenye mpata wumi.
Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu.
13 Mayandiku Gamsopi gijova, “Nasadiki, ndi mana najovili.” Na tete mewa petivya na mtima wuwowo wa sadika, tisadiki ndava yeniyo tijova.
Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,
14 Timanyili kuvya Chapanga mweamyukisi BAMBU Yesu yati akutiyukisa tete mewa pamonga na Yesu kutivika palongolo yaki pamonga na nyenye.
kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake.
15 Goha genago ndava yinu, hati ubwina wa Chapanga pauvahikila vandu vamahele neju, usengusa wene wayonjokisiki neju, na kumpela Chapanga ukulu.
Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16 Ndava yeniyo nakuvya mumbele, hati ngati higa yitu yilalile, nambu mugati mwitu mipungu yitu tikitiwa vamupya ligono kwa ligono.
Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.
17 Mang'ahiso gegakutikolela ndi gadebe, kavili galukumbi ndu, nambu yati gakutipela ukulu mvaha neju wa magono goha kuliku mang'ahiso aga. (aiōnios g166)
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
18 Hinu tilola lepi vindu vyevilolekana, nambu tilola vindu vyangalolekana vya lukumbi ndu, nambu vila vyangalolekana ndi vya magono goha. (aiōnios g166)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)

< 2 Vakolinto 4 >