< 1 Vatesolonike 5 >
1 Valongo vitu, nakuganikiwa kuvayandikila kuvala lusenje na lukumbi lwa mambu aga pegihumila.
Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia,
2 Muni mwavene mmanyili kuvya BAMBU yati ibwela chigafula ngati muhiji cheibwela kilu.
kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.
3 Vandu pevijova, “Kila chindu chitamili changali chitututu na uteke” Ndi uhakau paukuvagwilila chigafula! Mambu genago yati gihumila chigafula ngati lipyanda la mau mweigana kuveleka, kawaka mundu mweihotola kuyepa.
Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.
4 Nambu nyenye, valongo, muvi lepi pachitita, na ligono lenilo nakuganikiwa kuvabwelela chigafula ngati mundu mwaiyiva.
Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi.
5 Mwavoha nyenye vandu mwemwitama palumuli, vandu vamuhi. Tete lepi tavandu va milima yingi vandu vangammanya Chapanga.
Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.
6 Hinu, valongo tikotoka kugona lugono ngati vandu vangi, nambu tiganikiwa kuvya kujilola na kujitalalila tavete.
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
7 Ndava muni vevigona vigona kilu, na vevigala vigala kilu
Kwa kuwa wote walalao hulala usiku na wale walewao hulewa usiku.
8 Nambu tete tavandu vamuhi na tiganikiwa kuvya na kujitalalila tavete. Tiganikiwa kuwala sadika na uganu kujova nyula ya kujikinga panganga, na huvalila yitu ya usangula ngati kofia ya lyuma ya kudivalila mitu yitu.
Lakini kwa kuwa sisi ni wana wa mchana, basi tuwe na kiasi, tukijivika imani na upendo kama dirii kifuani na tumaini letu la wokovu kama chapeo.
9 Muni Chapanga atihagwili lepi tikomiwa na ligoga laki, ndi tipata usangula kwa njila ya BAMBU witu Yesu Kilisitu
Kwa maana Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
10 ndi afwili ndava yitu, muni titama pamonga na mwene, yivya wumi amala tifwili lukumbi peibwela.
Yeye alikufa kwa ajili yetu ili hata kama tuko macho au tumelala, tupate kuishi pamoja naye.
11 Hinu mpolesanayi mitima na kutangatilana nyenye kwa nyenye, ngati chamwikita hinu.
Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
12 Valongo, tikuvayupa muvatopesa vala vevihenga lihengu pagati yinu, vala vevakuvalongosa na kuvawula kuvala kutama mukumsadika Kilisitu.
Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya.
13 Muvatopesa neju na kuvagana ndava ya lihengu lavikita. Muvya na uteke pagati yinu.
Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.
14 Valongo, tikuvakofwa muvalapisa vandu vakata, muvakangamalisa mtima vandu vangolongondi, muvatangatila vandu vangali makakala, msindimala kwa vandu voha.
Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio wavivu, watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na kuwavumilia watu wote.
15 Mlola mundu yoyoha mlekekesanayi nyenye mwavene, muni mgana kuhengelana gabwina nyenye mwavene na kwa vandu voha.
Angalieni kuwa mtu asimlipe mwenzake maovu kwa maovu, bali siku zote tafuteni kutendeana mema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.
17 muyupa Chapanga magono goha,
ombeni bila kukoma;
18 na kuvya na usengula kwa kila chindu chechihumila. Genago ndi geigana Chapanga kuhuma kwinu mukuwungana kwinu na Kilisitu Yesu.
shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.
19 Mkoto kujimisa motu wa Mpungu Msopi,
Msiuzime moto wa Roho Mtakatifu;
20 mkoto kuvevesa ujumbi kuhuma kwa Chapanga.
msiyadharau maneno ya unabii.
21 Mlinga kila chindu. Mkamula chechivii chabwina,
Jaribuni kila kitu. Yashikeni yaliyo mema.
Jiepusheni na uovu wa kila namna.
23 Chapanga mwene mweakutipela uteke avanyambisa nyenye hoti kwa njila yoyoha. Na kuvatangatila mukuholalela kwinu na gemwinogela na muvindu vyoha vyemwihenga mkita genago goha changabuda mbaka peibwela BAMBU witu Yesu Kilisitu.
Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Yesu Kristo.
24 Chapanga mweakuvakemela nyenye yati itimilisa mambu ago muni mwene msadikika.
Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.
25 Valongo vitu, mtiyupila na tete mewa.
Ndugu, tuombeeni.
26 Muvajambusa valongo voha kwa kulangisa mukuvagana.
Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.
27 Nikuvayupa neju kwa liina la BAMBU muvasomela vamsadika mu Kilisitu vitu voha balua iyi.
Nawaagizeni mbele za Bwana mhakikishe kuwa ndugu wote wanasomewa barua hii.
28 Tikuvaganila ubwina wa Chapanga wa BAMBU witu Yesu Kilisitu.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.