< 1 Vatesolonike 2 >
1 Valongo vitu mwavene mmanyili kuvya lugendu lwitu kwinu lwavili lepi lwa waka.
Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
2 Mmanyili chatakitiwi mambu gahakau na kuligiwa ku Filipi kwakona hati kuhika kwinu Tesalonike. Pamonga na kuvya na unonopo wamahele, Chapanga witu atipelili ukekesi wa kukokosa Lilovi la Bwina.
kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
3 Lukumbi petavakohakisi muusadika ujumbi woha wa Chapanga, wetavakokosili huvalili lepi lijambu la udese ndi amala uhakau, mewa nakugana kumkonga mundu yoyoha.
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
4 Nambu magono goha tete tilongela ngati cheigana Chapanga muni mwene patiweni tihotola, atigotolili lihengu la kuvakokosela vandu Lilovi la Bwina. Tete tigana lepi kuvaganisa vandu hati padebe, nambu tigana kumganisa Chapanga ndi mwamanyili mitima yitu mbaka mugati.
Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
5 Chapanga ndi mweilola na mweamanyili getijova, na nyenye mmanyili katu tete talingili lepi kuvakulukisa mewa tatumili lepi malovi ga kufiya muni tipewa vindu kuhuma kwinu.
Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
6 Tangalonda kulumbiwa na vandu, amala kuhuma kwinu, amala kuhuma kwa mundu yoyoha,
Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,
7 pamonga na tete kuvya tavamitumi va Kilisitu, ngatihotwili kujova kwa makakala tipewa chindu chochoha kuhuma kwinu. Nambu tete tavapoli pagati yinu ngati mau mpoli kwa vana vaki.
lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.
8 Tavaganili neju nyenye ndi hati tavaletili Lilovi la Bwina la Chapanga. Na lepi Lilovi la Bwina nambu mewawa hati kuwusa wumi witu muni kuvatangatila, ndava nyenye vandu mwetivaganili neju!
Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.
9 Valongo mkumbuka chetahengili lihengu kwa kung'ahika. Patavaletili Lilovi la Bwina la Chapanga tahengili lihengu kilu na muhi muni tikotoka kumpela mundu lihengu la kutipela mambu gegiganikiwa kwitu.
Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.
10 Nyenye mugawene na Chapanga agawene kuvya ndi kuvya, chetatamili pagati yinu nyenye mwemsadika wavi wabwina, na wakumtopesa Chapanga changabuda.
Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.
11 Mmanyili kuvya tete tamhengili kila mmonga winu ngati dadi chakuvahengela vana vaki mwene.
Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
12 Tavakangamalisi mtima, tavasangalwisi na kuvakulukisa wumi weukumganisa Chapanga. Mwakuvakemela muyingila munkosi waki na ukulu waki.
Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
13 Kangi tivii na lijambu lingi la kumsengusa Chapanga, patavaletili ujumbi wa Chapanga, nyenye mwauyuwini, mukaupokela, lepi kujova ujumbi wa vandu, ndi ujumbi wa Chapanga, na chakaka ndi chauvi, ndava Chapanga ihenga lihengu mugati yinu nyenye mwamsadiki.
Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14 Valongo vangu, nyenye gavakolili mambu galagala gegavakolili msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va ku Yudea kula vevavi vandu va Chapanga, mambu gegavakolili vandu vavili vaki Kilisitu Yesu. Nyenye mung'aiswi na vakolonjinji vayinu ngati vene chevang'aiswi na Vayawudi Vayavi.
Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,
15 Vala Vayawudi vangasadika ndi vevamkomili BAMBU Yesu na vamlota va Chapanga, vakating'aha na tete mewa. Vandu venavo nakumganisa Chapanga, kangi ndi makoko va kila mundu!
wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,
16 Hati valingili kubesa kuvakokosela vandu vangali Vayawudi ujumbi wa kuvaletela usangula. Kwa kukita genago vayonjokisi kumbudila Chapanga na kumemesa njwe ndava ya kubuda kwevakitili magono goha. Nambu hinu ligoga la Chapanga livagwilili.
wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
17 Valongo, kulekana kwitu na nyenye kwavi kwa lukumbi ndu, kavili kwavili kwangawonana, nambu lepi mumaholo gitu. Lukumbi luhupi kandahi tanogili kuvalola kangi!
Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.
18 Ndi taganili kuvagendelela kavili. Na nene Pauli naganili kubwela kwinu pamahele, nambu Setani atibesili.
Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.
19 Wu, patiyima palongolo ya BAMBU Yesu lukumbi lweibwela, yati tikujilumba kyani kuuvala uhotola witu? Kujilumba kwitu yati kwivya nyenye ndi huvalila yitu na luheku lwitu.
Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?
20 Ena, nyenye ndi mwemkita tete timekayi na kuheka!
Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.