< 1 Petili 1 >

1 Nene Petili mtumi wa Yesu Kilisitu, nikuvayandikila nyenye vandu mwemuhaguliwi na Chapanga, ndi mwampechangini na mwitama ngati vajumbiswa kwenuko Ponto na Galatia na Kapodokia na Asia na Bisunia.
Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
2 Dadi Chapanga avamanyili na avahagwili nyenye kuhumila kadeni kulandana na uganu waki, na mkitiwi mwavamsopi kwa mpungu, muni mumyidakila Yesu Kilisitu na kunyambiswa kwa ngasi yaki. Nikuvaganila ubwina na uteke wamahele.
Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
3 Chapanga alumbiwa na Dadi wa BAMBU witu Yesu Kilisitu! Kwa lipyana laki likulu atikitili tivelekewa upya kwa kumyukisa Yesu. Lilovi lenili litipelili huvalila ya magono goha gangali mwishu,
Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
4 na hinu tilindila kupata vindu vyabwina vyangahotoleka kuwola amala kuhalabika amala kujimika, ndi Chapanga avavikili vandu vaki kunani.
ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
5 Na nyenye mvikiwa ulonda kwa makakala ga Chapanga kwa njila ya sadika mupatayi usangula. Usangula wenuwo Weutendelekiwi kugubukuliwa mumagono ga mwishu.
ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
6 Mhekelela ndava ya lijambu lenilo, pamonga hinu, kwa lukumbi luhupi, yati mganikiwa kung'ahika ndava ya kulingiwa mu njila ndalindali.
Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
7 Kulingiwa kwenuko ndi kugana kulola sadika yinu ndi ya chakaka. Hati zahabu yene yeyihalabika yilingiwa kwa motu, mewawa na sadika yinu, ndi chindu chivaha kuliku zahabu, ndi yiganikiwa yilingiwa muni yisindimala. Penapo yati mwipokela ulumbiwa na ukulu na kutopeswa ligono lila Yesu Kilisitu peibwela.
Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
8 Hati ngati mwangamuwona, mumganili, ngati hati hinu mukumuwona lepi, nyenye mukumusadika. Mwiheka kwa luheku lukulu lwangajoveka,
Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
9 ndava mwipokela chila chemwichilonda, ndava ya kusadika kwinu, ndi kusanguliwa kwinu.
Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
10 Vamlota va Chapanga vakitili umang'omesi na kukotakesa neju ndava ya usangula wula, vakalota ndava ya njombi ndi nyenye ngamupewili.
Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
11 Vaganayi kumanya lukumbi lwoki na yivya wuli. Kwa chindu chenicho cha ajovili Mpungu wa Kilisitu mweavi mugati yavi, mwealongolili kujova kuvya Kilisitu yati gakumkolela mang'ahiso na ukulu weubwela.
wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
12 Chapanga avagubukulili vamlota avo ngati vangajihengala vene nambu ndi vevahengili nyenye mwemwamali kuyuwana, pevajovili mambu gala ndi gemyuwini kuhuma kwa vandu vevikokosa Lilovi la Bwina kwa njila ya Mpungu wa Chapanga mweatumwili kuhuma kunani. Hati vamitumi va kunani kwa Chapanga vinogela kumanya.
Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
13 Hinu, mjitendelekela neju, na mvya mihu na mjilongosa mwavene. Mvika huvalila yinu yoha kwa mumota yila yemwipewa lukumbi Yesu Kilisitu peigubukuliwayi!
Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
14 Mvya ngati vana va Chapanga veviyidakila, mkoto kutama kwa kulanda kangi mnogo wa uhakau ngati wemwavili nawu lukumbi pemwangamanya Chapanga.
Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
15 Nambu mganikiwa muvya vandu vamsopi mumatendu ginu goha gemwikita, ngati Chapanga mweavakemili cheavili msopi.
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
16 Muni Mayandiku Gamsopi gijova “Mvya va Msopi, muni Nene ndi Msopi.”
Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
17 Pemukumuyupa Chapanga, nyenye mkumkemela Dadi. Hinu, mmanya kuvya mwene akumhamula kila mundu ngati cheakitili, Chapanga angahagula. Hinu mtama bwina pamulima apa ngati vayehi kwa kumtopesa neju Chapanga.
Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
18 Muni mmanyili kuvya nyenye mwasanguliwi kuhuma mulugendu lwa chiyimu, gemwapokili kuhuma kwa vagogo vinu. Nambu mwasanguliwi lepi kwa vindu vyevihalabika, ngati maganga ga feza na zahabu,
Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
19 nambu yavili kwa ngasi ya Kilisitu yeyivii chindu chivaha neju. Mweavi ngati mwana limbelele mwanga chilema amala libala.
bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
20 Ahaguliwi na Chapanga kwakona kuwumbiwa mulima uwu, nambu agubukuliwi magono aga ga mwishu ndava yinu.
Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
21 Kwa kupitila Kilisitu, mkumsadika Chapanga, mweamyukisi na mweamlumbili, hinu sadika yinu na huvalila yinu yivya kwa Chapanga.
Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
22 Hinu ndava munyambiswi mtima kwa kuyidakili uchakaka, muni muvagana vayinu changali uhomela. Mganana nyenye kwa nyenye kwa mtima woha.
Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
23 Ndava muni nyenye mpewili wumi wa mupya, lepi ngati vana vevahumili kwa mundu mweifwa nambu Dadi mweitama magono goha gangali mwishu, kwa njila ya ujumbi wa Chapanga weuvi mumi na weusindimala. (aiōn g165)
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
24 Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Kila mundu ndi ngati mahamba, na ukulu waki woha ndi ngati maluva ga mudahi. Ginyala na maluva gigwa.
Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
25 Nambu lilovi la BAMBU lisigalila magono goha gangali mwishu.” Lilovi lenilo ndi Lilovi la Bwina lemwakokosiwi. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)

< 1 Petili 1 >