< 2 Athesalonike 1 >

1 Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa lya atesalonike katika Nnongo Tate bitu na Nngwana Yesu Kirisitu.
Paulo, Silwano, na Timotheo, kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
2 Neema na ibe kwinu Amani yaipita kwa Nnongo Tate bitu na Nngwana Yesu Kirisitu.
Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
3 Ipalikwa twenga kunshukuru Nnongo machina goti kwaajili yinu alongo. maana nyaa ngachaipalikwa, kwa kuwa Imani yinu indakula muno na upendo winu kwa kila mundu muyokekeye muno.
Imetupasa sisi kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu. Maana hivi ndivyo itupasavyo, kwa kuwa imani yenu inakua sana, na upendo wenu kwa kila mtu uongezeke mwingi.
4 Hata twenga twabene twandalongela kwa kuipuna usu mwenga katika makanisa ga Nnongo, twandalongela habari ya komea kwinu na ubilya kwinu katika mateso gahibile nago goti. Twandalongela kwa habari ya mateso mwanyemii.
Hivyo sisi wenyewe tunaongea kwa fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu. Tunazungumza habari ya saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote. Tunaongea kwa habari ya mateso mnayostahimili.
5 Hayii nga ishara ya hukumu ya Nnongo. mateso ga gaaipunga mwenga mustairi jingya ufalme wa Nnongo ambao kwaajili yake banda kutesa.
Hii ndiyo ishara ya hukumu ya haki ya Mungu. Matokeo ya haya ni kuwa ninyi mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu ambao kwa ajili yake mnateswa.
6 Kwa kuwa ibile haki kwa Nnongo kwa lepa mateso ball babatesa mwenga.
Kwa kuwa ni haki kwa Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi,
7 na kumpa raa mwenga mwanteselwa pamo na twee. Apanga nya wakati wa pamuhumukwa Nngwana Yesu buka kunani pamoja na malaika bena uwecho wake.
na kuwapa raha ninyi mteswao pamoja nasi. Atafanya hivi wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake.
8 Katika mwali mwoto aabalipa kisasi balo babantangite lii Nnongo na bato babayiketya lii Injili ya Nngwana witu Yesu.
Katika mwali wa moto atawalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu na wao wasioitii injili ya Bwana wetu Yesu.
9 Bapateseka na maangamiso ganga lii yomoka na kuabeka kulipau na uwepo wa Nngwana na utukufu wa ngupu yake. (aiōnios g166)
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios g166)
10 Apanga paaicha linga nannumbe bandu bake na changalaa na boti babaaminile. kwa kuwa ukoye yitu kwinu mwatikulaminiya mwee.
Atafanya wakati atakapokuja ili kutukuzwa na watu wake na kustaajabishwa na wote walioamini. Kwa sababu ushuhuda wetu kwenu ulisadikiwa kwenu.
11 kwasababu yino twanda kunobya mwenga machuba goti. Twandaloba Nnongo witu amalangi mwende stahili kemelelwa. Twanda luba kwamba apate timiza kila haja ya wema na kachi ya ubelya kwa ngupu.
Kwa sababu hii twawaombea ninyi siku zote. Twaomba kwamba Mungu wetu awahesabu kuwa mlistahili kuitwa. Twaomba kwamba apate kutimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu.
12 Twanda loba mambo ga linga mpate kulilumba Lina lya Nngwana Yesu. Twanda loba kwamba linga mpate lumbilwa na ywembe, kitumbu cha nema ya nnogina ya Nngwana Yesu Kirisitu.
Tunaomba mambo haya ili mpate kulitukuza jina la Bwana Yesu. Tunaomba kwamba mpate kutukuzwa naye, kwa sababu ya neema ya Mungu na ya Bwana Yesu Kristo.

< 2 Athesalonike 1 >