< Revelation 13 >
1 Eno dragoon ah juusih kaang ni chapta. Erah lih adi juusih nawa siithinyakhah esiit dokkhoom wangha rah japtuptang. Herong asih eno hekhoh sinat angta; eno herong rookwet ni luuwang khopok angta, erah damdi hekhoh rookwet ni Rangte kaanju men raangta.
Kisha joka alisimama juu ya mchanga ufukwe wa bahari. Kisha nikaona mnyama akitoka kwenye bahari. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba. Katika pembe zake kulikuwa na taji kumi, na katika kichwa chake kulikuwa na maneno ya kufuru kwa Mungu.
2 Siithinyakhah ah sasaang likhiik angta, helah ah sap lah likhiik, hetui ah angkoleh sakhobung tui likhiik angta. Dragoon ah ih siithinyakhah asuh heteewah chaan, luuwang tongtheng nyia hechaan hephaan thoontang kota.
Huyu mnyama niliyemuona ni kama chui. Miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Yule joka akampa nguvu, na katika kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala.
3 Siithinyakhah khoh esiit ah ma choi angta, enoothong ma ah deechoi angta. Hah ni mathan mina angta erah loong ah paatja rum ano heh lilih ih phanjoh rumta.
Kichwa cha mnyama mmojawapo kilionekana kuwa na jeraha kubwa ambalo lingesababisha mauti yake. Lakini jeraha lake likapona, na dunia yote ikashangazwa na ikamfuata mnyama.
4 Dragoon ah ih heh chaan ah siithinyakhah asuh kot kano mirep miraang ih phoongpha ano khorongngot rumta. Siithinyakhah ah uh soomtu eh rumta eno li rumta, “Siithinyakhah likhiik o ah? Heh damdoh o jen mui ah?”
Pia wakamwabudu joka, maana alimpa mamlaka yule mnyama. Wakamwabudu mnyama pia, na wakaendelea kusema, “Nani kama mnyama? na “Nani atapigana naye?”
5 Siithinyakhah ah ngaampook ngaamsaang ih Rangte kaanju jengkhaap ah jeng thukta, eno heh suh rookbaji laanyi raangtaan ih chaan kota.
Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi. Aliruhusiwa kuwa na mamlaka kwa miezi arobaini na miwili.
6 Eno Rangte nyia heh men, adoleh heh maradi tongla hah ah, adoleh rangmong ni o songtongla erah loong ah phang tam rumta.
Hivyo mnyama alifungua mdomo wake kuongea matusi dhidi ya Mungu, akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni.
7 Heh ih Rangte mina loong damdi mui thuk ano jen thukta, eno heh suh jaat apaat rep, deek akaan rep, jengrep kongrep jengla nyia kurep wangrep loong ah pan suh chaan kota.
Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na waamini na kuwashinda. Pia, alipewa mamlaka juu ya kila kabila, watu, lugha na taifa.
8 Hah ni songtongla miloong ah ih soomtu rum ah, arah mongrep maang dongsiit kaadi roidong ething leedap ni men raangthiin choi nyia etek haat eta Saapsah mina loong luulu ih ba tasoomtu rumka.
Wote walioishi duniani watamwabudu yeye, kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa, toka uumbaji wa dunia, katika kitabu cha uzima, ambacho ni cha Mwana Kondoo, ambaye alichinjwa.
9 “Boichaat an, sen na je anbah ah!
Ikiwa yeyote ana sikio, na asikilize.
10 O mina jootsak etheng ah amiimi ih joosak ah, o lang ih tekdok theng ah amiimi ih tekdok ah. Erah langla, Rangte mina loong ah ih enaan etheng nyia laalom laabi eh ang theng.”
Ikiwa mmojawapo amechukuliwa mateka, na kwenye mateka ataenda. Ikiwa mmojawapo ataua kwa upanga, kwa upanga atauawa. Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu.
11 Erah lih adi hah mong nawa dong raaha rah siithinyakhah esiit weetup tang. Heh rong ah saapsah rong likhiik enyi angta, eno heh jeng ah angkoleh dragoon jeng likhiik ih angta.
Tena nikaona mnyama mwingine anakuja kutoka katika nchi. Alikuwa mwenye pembe mbili kama kondoo na akazungumza kama joka.
12 Jaakhoh dowa siithinyakhah chaan aphaan ah heh pandi maakta. Hah ni tongtongla nyia mina loong asuh hema deechoi siithinyakhah ah soomtu thuk rumta.
Alionyesha mamlaka yote katika mnyama yule wa kwanza katika uwepo wake, na kufanya katika dunia na wale walioishi wakimuabudu yule mnyama wa kwanza, yule ambaye jeraha lake limepona.
13 Erah lih dowa siithinyakhah ah ih paatjaajih loong ah reeraang eta; mirep miraang miksok di heh ih rangmong nawa we kaat thuk taha.
Akafanya miujiza yenye nguvu, hata akafanya moto ushuke katika dunia kutoka mbinguni mbele ya watu,
14 Eno jaakhoh dowa siithinyakhah ah ngathong ni paatjaajih loong ah noisok kano hah ni songtongla mina loong ah mokwaanta. Lih dowa siithinyakhah rah ih jaakhoh ni lang ih maadook arah deeta siithinyakhah ah choomjoot thuk suh heh laaphaang ah hoonthuk eh rumta.
na kwa ishara aliruhusiwa kufanya, akawadanganya hao wakaao katika dunia, akiwaambia kutengeneza sanamu kwa heshima ya mnyama ambaye alikuwa amejeruhiwa kwa upanga, lakini bado aliishi.
15 Eno lih dowa siithinyakhah ah ih jaakhoh dowa siithinyakhah laaphaang ah heh tak ih lun motta, tiimnge liidoh erah heh laaphaang ah miijeng toom e ah nyia o ih lasoomtu ka erah loong ah toom tek haat ah ngeh ah.
Aliruhusiwa kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama ili sanamu iweze kusema na kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe.
16 Erah siithinyakhah ah ih mirep miraang, ehin elong, changthih changteng, dah nyia dah lah angka loongtang suh neng lak dakmiiko lah angka neng khang ni thoikatkat ih heh sin hoon thuk rumta.
Pia akalazimisha kila mmoja, asiye na thamani na mwenye nguvu, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea alama katika mkono wa kuume au katika paji la uso.
17 Erah sin hoonha ah lajeeka bah o ih uh tiim uh tami sangka adoleh riik uh tami reka, erah raangthuk rumha langla siithinyakhah ah men lah angka heh nomboot ang ah.
Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama, na hii ni namba yenye kuwakilisha jina lake.
18 Arah jat suh mongtham eje ang theng. O jatwah jeewah ang ah, erah tiim suh liiha nyia marah siithinyakhah ah erah jat ih an, heh nomboot ah 666 ang ah.
Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.