< Esaamootkaat 28 >

1 Ju saangko ese tham ih jen daan eno, juuloot hah men ah Malta ngeh ih japchaat kati.
Baada ya kufika nchi kavu salama, ndipo tukafahamu kwamba jina la kile kisiwa ni Malta.
2 Erah hah dowa miloong ah seng damdi rapne ese angrum taha. Rangphaat kano songtitih angta, erah thoidi juukaang ni we ah takrum ano bansok tahe.
Wenyeji wa kile kisiwa wakatufanyia ukarimu usio wa kawaida. Waliwasha moto na kutukaribisha sisi sote kwa sababu mvua ilikuwa inanyesha na kulikuwa na baridi.
3 Pool ih chanthah kaang loong ah chatjoh takta eno we ih satraat kano puusah esiit doksuuk haano heh lakni dekta.
Paulo alikuwa amekusanya mzigo wa kuni na alipokuwa anaweka kwenye moto kwa ajili ya joto, nyoka mwenye sumu akatoka humo na kujisokotea mkononi mwake.
4 Erah hah dowa miloong ah ih Pool lakni pu ih dekta ah japtup rum ano baatmui rumta, “Arah mih abah mih tek haatte jaatjaat angta ju nawa taatpui abah uh, heh khangraang thih—talunka ang ah.”
Wale wenyeji wa kile kisiwa walipomwona yule nyoka akiningʼinia mkononi mwa Paulo, wakaambiana, “Huyu mtu lazima awe ni muuaji, ingawa ameokoka kutoka baharini, haki haijamwacha aishi.”
5 Enoothong Pool ih puusah ah we ni betsak haatta heh tiim uh tah angta.
Lakini Paulo akamkungʼutia yule nyoka ndani ya moto wala yeye hakupata madhara yoyote.
6 Miloong ah ih pheng tam taphengka adoleh dot ma eh loongti jaao ngeh ih bansok rumta. Eno rekam bansok rum adi tiim uh lah angkoka no, miloong ah ih samthun rumta, “Arah mih abah Rangte bo ah!”
Watu walikuwa wanangoja avimbe au aanguke ghafula na kufa. Lakini baada ya kungoja kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna chochote kisicho cha kawaida kilichomtokea, wakabadili mawazo yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.
7 Erah juuloot hah dowa saahaap elongthoon wasiit Publias ngeh ih angta, erah hah dowa eh Publias phek ah haloot ni tah angta. Eno Publias ih seng loong ah ese tham ih bantho heeno heh nok ni sa jom heh wenwah eh tongthuk tahe.
Basi karibu na sehemu ile, palikuwa na shamba kubwa la mtu mmoja kiongozi wa kile kisiwa, aliyeitwa Publio. Alitupokea na akatuhudumia kwa ukarimu mkubwa kwa muda wa siku tatu.
8 Publias wah ah mongrun nyia sokngoi ih sat ano heh juptheng ni juproh eta. Erah thoidi Pool nopma ni nopwang ano, heh lak ih taajoh ano, deesoom wangta.
Baba yake Publio alikuwa mgonjwa kitandani, akiwa anaumwa homa na kuhara damu. Paulo akaingia ndani ili kumwona na baada ya maombi, akaweka mikono juu yake na kumponya.
9 Deesoom kano, erah juuloot hah dowa wahoh khoisatte loong ah uh wang eh rum taha eno Pool ih de soomkot eh rumta.
Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.
10 Seng loong asuh jirep ah kokang tahe, erah hah dowa daansoon kati adoh, lam nah phaksat suh rookphong ah koh ih tahe.
Wakatupa heshima nyingi, nasi tulipokuwa tayari kusafiri kwa njia ya bahari, wakapakia melini vitu vyote tulivyokuwa tunavihitaji.
11 La jom lidi Elekjendar nawa juukaari “Khaangpeh Rangte” ngeh ih men rumta juukaari adi daansoon kati, erah juukaari ah hahook hooktang erah juuloot hah adi chap roh eta.
Miezi mitatu baadaye tukaanza safari kwa meli iliyokuwa imetia nanga kwenye kisiwa hicho kwa ajili ya majira ya baridi. Hii ilikuwa meli ya Iskanderia yenye alama ya miungu pacha waitwao Kasta na Poluksi.
12 Sirakos samnuthung adi thok eno sa jom tongthiinti.
Kituo chetu cha kwanza kilikuwa Sirakusa na tukakaa huko siku tatu.
13 Erah dowa juulam ih daansoon eno Rhegium samnuthung ah thokti. Erah saalih adi juumeh ko nawa pong ah pong eta, eno sa nyi di Puteoli samnuh ah thokti.
Kisha tukangʼoa nanga, tukafika Regio. Siku iliyofuata, upepo mkali wa kusi ukavuma, na siku ya pili yake tukafika Puteoli.
14 Erah hah adi hanpiite loong ah chomui eno saasinat tongthiin baat tahe. Erah thoidi Room ni ra tahe.
Huko tukawakuta ndugu, nasi tukakaribishwa tukae nao kwa siku saba. Hivyo tukaendelea na safari mpaka Rumi.
15 Room dowa hanpiite loong ah ih seng kaat ah japchaat rum ano Appius pheehoon theng nyia pheehoon theng nok ejom re adi seng maang chomuimui eh raarum taha. Neng loong japtup rum ano, Pool ah heh tah ah rong eta, eno Rangte suh lakookmi liita.
Ndugu wa huko Rumi waliposikia habari zetu, walikuja mpaka Soko la Apio na mahali paitwapo Mikahawa Mitatu kutulaki. Paulo alipowaona, alimshukuru Mungu akatiwa moyo.
16 Room ni thok eno, Pool ah arami suh banthuk ano maama ni tong thukta.
Tulipofika Rumi, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa kumlinda.
17 Sa jom lidi Pool ih hadaang dowa Jehudi mihak phokhoh loong ah ngoongthum poon rumta. Lomkhoon rumkoh haano, Pool ih baat rumta, “Nga phono Ijirel noksong, seng mina nyia sengte sengwah Hootthe raangtaan ih lathih kangdi, Jerusalem hah ni phaatak ni sakkaat hangno Room nok hah lak ni korum tahang.
Siku tatu baadaye Paulo akawaita pamoja viongozi wa Kiyahudi. Walipokwisha kukusanyika akawaambia, “Ndugu zangu, ingawa sikufanya jambo lolote dhidi ya watu wetu au dhidi ya desturi za baba zetu, lakini nilikamatwa huko Yerusalemu nikakabidhiwa kwa Warumi.
18 Room hate ih cheng rum hangno, nga tekjih tiim uh tachoh jorum tahang, eno neng ih daap esuh taat thun rumta.
Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo.
19 Enoothong Jehudi loong ih daan rum kano, Luuwanglong reeni laat siitwan rum tahang, nga mina raangtaan ih tiim uh lathih kangdi ah.
Lakini Wayahudi walipopinga uamuzi huo, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisari, ingawa sikuwa na lalamiko lolote juu ya taifa langu.
20 Erah thoidi sen loong damdi roongwaan suh jam cheng rumhala. Emah ang tungkaangdi, Ijirel mina loong laalomla Kristo mendoh ngabah jootkhak jaatjaat ehang.”
Basi hii ndiyo sababu nimewatumania, ili niseme nanyi. Kwa kuwa ni kwa ajili ya tumaini la Israeli nimefungwa kwa minyororo.”
21 Neng loong ah ih liita, “Seng ih bah an raangtaan ih Judia nawa le uh chomuh, adoleh seng mina erah nawa antiit anjeng ethih ekhah hui nyia baat taraari.
Wakamjibu, “Hatujapokea barua zozote kutoka Uyahudi zinazokuhusu, wala hapana ndugu yeyote aliyekuja hapa ambaye ametoa taarifa au kuzungumza jambo lolote baya juu yako.
22 Enoothong an mongtham tiit ah boichaat suh ramli, timnge liidi an joon loong ah noongrep ni thetbaat arah jat ehi.”
Lakini tungependa kusikia kutoka kwako unalofikiri kwa sababu tunajua kwamba kila mahali watu wanazungumza mabaya kuhusu jamii hii.”
23 Erah raangtaan ih Pool damdi rangwu saakaan ah khatmui rum ano, mih hantek heh tongta nok adi khoontong rum taha. Rangkhah dowa ih rangphe tuk eh Rangte hasong tiitkhaap ah nyootsoot eh rumta, erah damdi Jisu nyia Moses Hootthe adoleh khowah loong ah ih raangthiinta tiit ah baattaan ano nuune rumta.
Baada ya kupanga siku ya kuonana naye, watu wengi wakaja kuanzia asubuhi hadi jioni akawaeleza na kutangaza kuhusu Ufalme wa Mungu akijaribu kuwahadithia juu ya Yesu kutoka Sheria ya Mose na kutoka Manabii.
24 Pool jeng ah chaat rum ano mararah ih kap eh rumta, eno wahoh loong ah ih tahanpi rumta.
Baadhi wakasadiki yale aliyosema, lakini wengine hawakuamini.
25 Eno Pool ih jengthoon adi emah jeng kano, neng jaachi ni daanmui rum ano tiisoon rumta: “Esa Chiiala ih khowah Isaia suh sente senwah loong damdi tiimthan jaase eh roongwaan thukta!
Hivyo hawakukubaliana, nao walipokuwa wanaondoka, Paulo akatoa kauli moja zaidi: “Roho Mtakatifu alinena kweli na baba zenu aliposema mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba:
26 Isaia ah amah ih jengta, ‘Arah mina loong asuh kah anno baat an: Sen ih chaat bah echaat eh an; enoothong tajatkan ang ah; Sen ih sok bah sok eh an, enoothong tatupkan,
“‘Nenda kwa watu hawa na useme, “Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama, lakini hamtaona.”
27 tiimnge liidoh arah mina loong thung atak ah thungko, neng na ih takah thaang chaatka ang ah neng mik ah edook ang ah. Emah lah angta bah, neng mik ih tup etheng rumta, adoleh neng na ih echaat ethengta, nengthung nengtak nawa ih jat etheng angta, eno neng nga reenah thok eh theng rum taha, Rangte jengta, ngah ih deesiit etheng rum tang.’”
Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
28 Eno Pool ih amah eh toibaat rumta: “Erah raangtaan ih sen ih jat etheng, Rangte ih khopiiroidong ah Ranglajatte raangtaan ih kaat thuk hala. Neng ih boichaat eh ah!”
“Basi na ijulikane kwenu kwamba, huu wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu wa Mataifa, nao watasikiliza.” [
29 Pool ih erah baatta lilih Jehudi loong ah neng jaachi ni rookmui rum ano pheekhoom rumta.
Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]
30 Laajang di heh tong thaang ah koh ano Pool paang nyi mih nok ni tongta, eno heh damdi chomui wangte loong lam ah rapniine eh kaban choh rumta.
Kwa miaka miwili mizima Paulo alikaa huko kwa nyumba aliyokuwa amepanga. Akawakaribisha wote waliokwenda kumwona.
31 Pool ih Rangmong hasong nyia Teesu Jisu tiit ah, lacho laphaan nyootsoot rumta.
Akahubiri Ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri wote na bila kizuizi chochote.

< Esaamootkaat 28 >