< Mark 8 >
1 Dusra dinte arubi bisi manu joma hoi jaise, aru taikhan logote khabole eku thaka nai. Jisu pora Tai laga chela khan ke matise aru koise,
Katika siku hizo, kulikuwa tena na umati mkubwa, na hawakuwa na chakula. Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia,
2 “Moi etu sob manu khan ke bisi morom lage, kelemane taikhan tin din pora Ami logote thaki ase, aru etiya taikhan logote khabole eku nai.
“Ninauhurumia umati huu, wameendelea kuwa nami kwa siku tatu na hawana chakula.
3 Jodi Moi taikhan ke ghor te bhukha pathai dile, taikhan rasta te komjur pora giri jabo pare, kelemane kunba to dur pora ahise.”
Nikiwatawanya warudi majumbani kwao bila kula wanaweza wakazimia njiani kwa njaa. Na baadhi yao wametoka mbali sana.”
4 Titia chela khan Taike jowab dise, “Kote pora kunba yate jongol pora roti ani kene eitu khan ke khila bo paribo?”
Wanafunzi wake wakamjibu, “Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwashibisha watu hawa katika eneo hili lililoachwa?”
5 Tai taikhan ke hudise, “Tumikhan logote kiman ta roti ase?” Taikhan koise, “Sat-ta.”
Akawauliza, “mna vipande vingapi vya mikate?” Wakasema, “Saba”.
6 Titia Tai taikhan ke matite bohi bole adesh dise, aru Tai sat-ta roti loi Isor ke dhanyavad dise, aru bhangai kene chela khan ke di dise, aru taikhan pora sobke dise.
Aliuamuru umati ukae chini. Akachukua mikate saba, akamshukuru Mungu, na kuivunja. Akawapa wanafunzi wake waiweke mbele yao, nao wakaiweka mbele ya umati.
7 Taikhan logote ekta huru maas thakise, Tai etu bhi loi dhanyavad dikene taikhan ke dibole koise.
Pia walikuwa na samaki wadogo wachache, na baada ya kushukuru, aliwaamuru wanafunzi wake wawagawie hivi pia.
8 Titia taikhan khai kene aram pai loise, aru bachi juwa khana to sat-ta tukri bhorta uthai loise.
Walikula na wakatosheka. Na walikusanya vipande vilivyo baki, vikapu vikubwa saba.
9 Aru jun khaise, taikhan char hajar nisena asele, aru Tai taikhan ke jabo dise.
Walikaribia watu elfu nne. Na aliwaacha waende.
10 Aru Tai joldi nijor chela khan ke naw te uthi kene Dalmanutha laga desh phale jaise.
Mara aliingia kwenye mashua na wanafunzi wake, na wakaenda katika ukanda ya Dalmanuta.
11 Titia kunba Pharisee khan ahi Taike hudise aru porikha korise. Taike sorgo pora ekta chihna taikhan ke dikha bole koise.
Kisha Mafarisayo walitoka nje na kuanza kubishana naye. Walitaka awape ishara kutoka mbinguni, kwa kumjaribu.
12 Kintu Tai nijor Atma te dukh paa nisena lamba sans loi koise, “Kile etu yug khan chihna bisari thake? Moi tumikhan ke hosa kobo, etu yug khan ke eku chihna nadibo.”
Akatafakari kwa kina moyoni mwake akasema, “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara? Nawaambia ninyi kweli, hakuna ishara itakayotolewa kwa kizazi hiki.”
13 Aru Tai taikhan ke chari kene, naw te uthijaise, aru nodi paar kori kene dusra phale jai jaise.
Kisha akawaacha, akaingia ndani ya mashua tena, akaondoka kuelekea upande mwingine.
14 Aru chela khan roti lobole pahorise, aru naw te taikhan logote ekta roti pora bisi thaka nai.
Wakati huo wanafunzi walisahau kuchukua mikate. Hawakuwa na mikate zaidi ya kipande kimoja kilichokuwa kwenye mashua.
15 Titia Jisu taikhan ke koise, “Sai rukhi thaki bhi, Herod aru Pharisee laga khomir pora hoshiar thakibi.”
Aliwaonya na kusema, “Muwe macho na mjilinde dhidi ya chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.
16 Taikhan apaste kotha korise, kelemane amikhan logote roti nathaka hoise.
Wanafunzi wakasemezana wao kwa wao, “Ni kwa sababu hatuna mikate.”
17 Kintu Jisu etu jani kene taikhan ke hudise, “Tumikhan roti nathaka karone kele kotha kori ase? Kile etiya bhi najane? Tumi laga mon tan hoi thaki ase?
Yesu alilitambua hili, na akawaambia, “Kwa nini mnasemezana kuhusu kutokuwa na mikate? Hamjajua bado? Hamuelewi? Mioyo yenu imekuwa miepesi?
18 Suku thakile bhi, kele nadikhe? Kan thakile bhi, kele nahune? Aru tumikhan yaad nai?
Mna macho, hamuoni? Mna masikio, hamsikii? Hamkumbuki?
19 Jitia Moi pans hajar karone pansta roti bhangai dise, aru tumikhan kiman tukri uthaise?” Taikhan jowab dise, “Baroh-ta tukri uthaise.”
Nilipoigawanya mikate mitano kwa watu elfu tano, mlichukua vikapu vingapi vilivyo jaa vipande vya mikate?” Wakamjibu, “kumi na mbili.”
20 “Aru jitia Moi char hajar karone sat-ta roti bhangai sele, titia tumikhan kiman ta tukri bhorta kori uthaise?” Taikhan koise, “Sat-ta tukhri uthaise.”
“Na nilipoigawanya mikate saba kwa watu elfu nne, mlichukua vikapu vingapi?”
21 Titia Tai hudise, “Kile, tumikhan etiya bhi nabuje?”
Wakasema, “Saba.” Akawaambia, “Bado hamuelewi?”
22 Titia Jisu aru chela khan Bethsaida te ahi jaise, aru taikhan suku nadikha manu ekjon Jisu logote loi anise, aru taike chubole binti korise.
Wakaja Bethsaida. Watu hao walimleta kwa Yesu mtu kipofu na wakamsihi Yesu amguse.
23 Etu karone Tai suku nadikha manu laga hath dhorise aru bosti bahar te loi jaise, aru tai laga suku te thuki kene, Tai hath pora taike chuise aru taike hudise, “Tumi kiba dikhi ase?”
Yesu akamshika kwa mkono yule kipofu, na kumwongoza nje ya kijiji. Alipotema mate juu ya macho yake na kunyosha mikono yake juu yake, alimuuliza, “Unaona chochote?”
24 Aru tai uporte sai koise, “Moi ghas nisena manu jai thaka dikhi ase.”
Alitazama juu na kusema, “Naona watu wanaonekana kama miti inatembea.”
25 Titia Tai arubi ekbar hath tai laga suku te chuise, aru tai bhal pora sabo parise aru sapha pora sob dikhibo parise.
Ndipo akanyosha tena mikono yake juu ya macho yake, mtu yule akafungua macho yake, aliona tena, na akaona kila kitu vizuri.
26 Titia Jisu taike ghor te pathai dise aru koise, “Town te etiya-etiya nimite najabi.”
Yesu alimwacha aende nyumbani na akamwambia, “Usiingie mjini.”
27 Titia Jisu aru Tai chela khan Caesarea Philippi laga usorte thaka bosti khan te jai jaise. Tai rasta te ja somoite, chela khan hudise, “Manu khan Moike kun ase koi?”
Yesu aliondoka na wanafunzi wake kwenda vijiji vya Kaiseria ya Filipi. Wakiwa njiani aliwauliza wanafunzi, “Watu wanasema mimi ni nani?”
28 Titia taikhan taike koise, “Baptizma diya John,’ aru kunba koi, ‘Elijah,’ aru kunba koi, ‘Ekjon bhabobadi.’”
Wakamjibu wakasema, “Yohana mbatizaji. Wengine wanasema, 'Eliya' na wengine, 'Mmoja wa Manabii.”
29 Tai taikhan ke koise, “Kintu tumikhan Moike ki koi ase?” Peter jowab di koise, “Apuni Khrista ase.”
Akawauliza, “Lakini ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro kamwambia, “Wewe ni Kristo.”
30 Titia Tai kun ase etu kunke bhi nokobi koise.
Yesu akawaonya wasimwabie mtu yeyote kumuhusu Yeye.
31 Aru Jisu taikhan ke sikhabole shuru korise, Manu laga Putro bisi dukh koribo lagibo, bura khan aru prodhan purohit aru likha manu khan Taike namanibo aru morai dibo, aru Tai tin din pichete jee uthijabo.
Na akaanza kuwafundisha ya kuwa Mwana wa Adamu lazima ateseke kwa mambo mengi, na atakataliwa na viongozi na makuhani wakuu, na waandishi, na atauawa, na baada ya siku tatu atafufuka.
32 Tai taikhan ke etu kotha sapha pora koi dise, aru Peter Taike alag loijai kene Taike hala korise.
Alisema haya kwa uwazi. Ndipo Petro akamchukua pembeni na akaanza kumkemea.
33 Kintu Jisu ghurikena chela khan ke saise aru Tai Peter ke galise aru koise, “Saitan! Ami laga usor pora dur hobi, kelemane tumi Isor laga kotha te nohoi, kintu manu laga bhabona te he thake.”
Lakini Yesu aligeuka na kuwatazama wanafunzi wake na akamkemea Petro na kusema, “Pita nyuma yangu Shetani! Hujali mambo ya Mungu, isipokuwa mambo ya watu.”
34 Titia Tai bhir te thaka manu khan aru chela khan ke matise, aru Tai usorte ani kene koise, “Jodi kunba Ami laga piche koribo mon hoile, tai nijorke tyag koribo lage aru nijor Cross uthai loi Ami laga pichete ahibi.
Kisha akauita umati na wanafunzi wake pamoja, na kuwaambia, “Kama kuna mtu anataka kunifuata, ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake, na anifuate.
35 Kelemane jun nijor jibon bacha bole mon koribo, tai jibon harabo, kintu jun Moi karone, aru susamachar karone nijor jibon harabo, tai bachibo.
Kwa kuwa yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili, atayaokoa.
36 Karone kunba manu sob prithibi pai loi kene tai nijor jibon haraile, tai ki labh ase?
Inamfaidia nini mtu, kupata ulimwengu wote, na kisha kupata hasara ya maisha yake?
37 Karone manu to nijor jibon laga bodli te ki dibo paribo?
Mtu anaweza kutoa nini badala ya maisha yake?
38 Judi biswas nathaka aru paapi yug pora Ami laga kotha ke aru Moi nimite sorom kore, Manu laga Putro bhi jitia Tai laga pobitro duth khan aru Baba laga mohima te ahibo, Tai bhi tai nimite kotha kobole sorom koribo.”
Yeyote anioneaye aibu na maneno yangu katika kizazi hiki cha wazinzi na kizazi cha wenye dhambi, Mwana wa Adamu atamwonea aibu atakapokuja katika ufalme wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.