< Acts 8 >

1 Saul bhi Stephen ke morai dibole monjur korise, aru etu dinte Jerusalem te thaka girja te bisi dukh digdar ahise; aru sob biswasi khan Judea aru Samaria te alag-alag jai jaise, khali apostle khan he thakise.
Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria.
2 Biswasi manu khan pora Stephen laga gaw uthai loijai kene kobor dise, aru manu khan mon dukh korise.
Watu wamchao Mungu, walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.
3 Kintu Saul girja khan ke biya kori bole kosis kori thakise; aru ghor-ghor te jai kene, mota aru maiki sobke dhori kene bondhi ghor te hali dise.
Wakati huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
4 Aru jun biswasi alag phale jai jaisele taikhan ja-a jaga sob te khushi laga khobor prochar kori thakise.
Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.
5 Titia Philip Samaria sheher te jai kene manu khan ke Khrista laga kotha prochar kori dise.
Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.
6 Aru Philip ki kotha prochar korise, taikhan mon dikene hunise, aru tai kori diya asurit kaam khan dikhise.
Watu walijiunga kusikiliza kwa makini ule ujumbe wa Filipo na kuona ile miujiza aliyoifanya.
7 Bisi manu bhitor te dusto atma khan thakise, aru eitu khan taikhan pora ulai jaise, jor pora hala kori kene. Bisi manu jothor aru lengra khan bhi changai paise.
Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa waliponywa.
8 Aru etu sheher manu khan bisi khushi korise.
Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.
9 Kintu ta te Simon koi kene ekjon manu thakise, tai jadu montor kori kene Samaria manu khan ke asurit kori dise, aru tai nijorke ekjon dangor manu ase koi thake.
Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
10 Aru sob Samaria manu chutu pora dangor tak tai laga kotha bhal pora huni thakise aru koise, “Etu manu logote Isor laga takot ase.”
Watu wote, wadogo na wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, “Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa Nguvu Kubwa.”
11 Tai laga kotha manu khan hune, kelemane bisi homoi pora tai jadu montor kori kene manu khan ke asurit kaam dikhai thakise, etu karone taikhan tai laga kotha mani thakise.
Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.
12 Kintu jitia taikhan Philip ke biswas korise, aru tai Isor laga rajyo kotha aru Jisu Khrista laga naam ke prochar korise, bisi mota aru maiki khan baptizma loise.
Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume.
13 Titia Simon nijor bhi biswas korise, aru tai baptizma loi kene Philip logote thaki jaise, aru jitia asurit kaam khan kora dikhise, tai bisi khushi paise.
Hata Simoni aliamini; baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.
14 Jitia Jerusalem te thaka apostle khan Samaria pora Isor kotha loise koi kene hunise, taikhan nimite Peter aru John ke pathaise.
Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu, waliwatuma kwao Petro na Yohane.
15 Jitia Peter aru John ta te punchise, taikhan nimite prathana korise, taikhan Pobitro Atma pabo nimite.
Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
16 Kelemane Pobitro Atma taikhan logote aha nai, kintu taikhan Probhu Jisu naam pora khali baptizma he loi kene thaka karone.
maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la Bwana Yesu.
17 Titia Peter aru John taikhan uporte hath rakhi kene prathana kori dise, aru taikhan Pobitro Atma paise.
Basi, Petro na Yohane wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
18 Aru jitia Simon dikhise apostle khan manu laga uporte hath rakhile Pobitro Atma pai ase, tai apostle khan ke poisa dibole bisarise.
Hapo Simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
19 Titia tai koise, “Moike bhi etu adhikar dibi, ta te moi jun uporte hath rakhibo tai Pobitro Atma pabo.”
“Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu.”
20 Kintu Peter taike koise, tumi laga poisa tumi logote khotom hoi jabo, kelemane tumi Isor laga bordan poisa pora kini bole bhabi ase.
Lakini Petro akamjibu, “Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
21 Tumi laga yate eku bhag aru hisa nai, kelemane Probhu usorte tumi laga mon thik nohoi.
Huna sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.
22 Etu nimite mon ghura bhi aru biya bhabona pora ulabi, aru Probhu usorte prathana koribi, titia Tai pora tumi laga letera mon aru biya bhabona pora maph kori dibo pare.
Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo.
23 Kelemane moi dikhi ase tumi laga biya bhabona aru paap pora bandi thaka mon to.”
Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa wa dhambi!”
24 Titia Simon koise, “Probhu logot moi nimite prathana kori dibi, apuni pora ki koise etu moi uporte nahibole nimite.”
Simoni akajibu, “Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema.”
25 Jitia taikhan Isor kotha koi dise aru sakhi korise, Peter aru John wapas Jerusalem te jaise, aru Samaria manu laga bosti khan te jai kene Isor laga kotha prochar korise.
Baada ya Petro na Yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa Bwana, walirudi Yerusalemu. Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.
26 Titia Probhu laga sorgodoth Philip logote kotha korise, aru koise, “Uthibi aru dakshin laga rasta jun to Jerusalem hoi kene Gaza te jai ta te jabi.”- Etu rasta balu laga jaga pora jai.
Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, “Jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza.” (Njia hiyo hupita jangwani.)
27 Titia tai uthi kene jaise. Aru ta te Ethiopia laga ekjon hijira manu thakise, tai ekjon dangor adhikar chola manu thakise, tai Candace, Ethiopia laga rani laga dhun sampoti sa-a manu asele, aru tai mohima kori bole Jerusalem te jai thakise.
Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.
28 Aru tai laga ghora gaari te bohi kene wapas ghor te jai thakise, aru Isaiah bhabobadi laga kitab porhi thakise.
Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.
29 Titia Atma pora Philip ke koise, “Jai kene ghora gari usorte bohibi.”
Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, “Nenda karibu na gari hilo ukafuatane nalo.”
30 Titia Philip tai usorte polaikene jaise, aru Tai Isaiah bhabobadi laga kitab porhi thaka hunise, aru koise, “Tumi ki porhi ase etu bujhi pai ase?”
Filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. Hapo Filipo akamwuliza, “Je, unaelewa hayo unayosoma?”
31 Titia tai koise, “Moi kineka janibo, jitia tak moike kunba pora nashikai?” Titia tai Philip ke ghora gari te bohi bole matise.
Huyo mtu akamjibu, “Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?” Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.
32 Etiya jun to kitab Ethiopia manu pora porhi thakise etu eneka thakise, “Taike ekta mer bolidan dibole nisena loi jaise, Aru jineka mer bacha pora chuli kata manu usorte chup-chap pora bohe, Etu nisena, aru Tai pora Tai laga mukh khula nai.
Basi, sehemu ya Maandiko Matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: “Alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
33 Tai laga bisar sorom khilai dikene Tai usor pora loi jaise. Kun Tai laga manu khan ase koi kene kobo pare? Kelemane Tai laga jibon to etu duniya pora uthai loise.”
Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani.”
34 Titia hijira pora Philip ke hudise, “Moi apuni ke anurodh kori ase, kun bhabobadi laga kotha koi ase, tai nijor laga koi ase, na dusra manu laga kotha koi ase?”
Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, “Niambie, huyu nabii anasema juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?”
35 Titia Philip tai mukh khuli se, aru Isor kotha pora shuru kori kene, Jisu laga kotha taike prochar korise.
Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.
36 Taikhan rasta te jai thaka homoi te pani thaka jagah ponchise, titia hijira pora koise, “Sabi, yate pani ase, moike baptizma lobole nimite ki pora rukhai ase?’”
Walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, “Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?”
37 Titia Philip pora koise, “Jodi tumi mon pora biswas kore, baptizma lobo pare.” Titia tai koise, “Moi biswas kore Jisu Khrista Isor laga chokra ase koi kene.”
Filipo akasema, “Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Naye akajibu, “Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”
38 Titia tai ghora gari ke rukhibole hukum dise. Aru Philip aru hijira duijon panite namikene jaise, aru Philip pora taike baptizma dise.
Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
39 Jitia taikhan pani pora ulai ahise, Probhu laga Atma pora Philip ke loi jaise, titia hijira taike aru dikha nai, kintu tai bisi khushi pora jai jaise.
Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
40 Kintu Philip to Azotus te ahise, aru pura jagate tai jaise, jitia tak tai Caesarea puncha nai, tai sob sheher khan te jai kene Isor laga kotha prochar korise.
Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.

< Acts 8 >