< Bhaloma 7 >
1 Ashaapwanga, ngunabheleketa na mmanganyanji nkujimanyanga shalia ja a Musha, nkakumumanyanga kuti shalia jinakuntagwala mundu ali jwankoto?
Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
2 Tujile malinga bhakongwe bhalombilwe, bhanatabhwa na shalia mobha gowe ga gumi gwa ambuje bhabho, ikabheje ambuje mundu bhala bhawaga, shalia jikakwaatabha kabhili bhakongwebho.
Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
3 Bhai monaga ambuje mundu bhali bhabhakoto, nilombwa na bhalume bhana, gwenego utwai, ikabheje bhalumebho bhawaga, bhakaatabhwa na shalia. Nkali bhalombwaga na bhalume bhana pangali utwai.
Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
4 Na malinga mmanganyanji ashaapwanga, nkali mmanganyanji nshikujiwilanga shalia, kwa shiilu sha a Kilishitu nkupinga mmanganje bha bhene bhayushile bhala, nkupinga twaatendele a Nnungu indu ya mmbone.
Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
5 Pabha, putwaliji nndamo ja kagulila indu ya nshiilu, ilokoli ya yambi guipundile kwa ligongo lya shalia, ilitenda liengo mwiilu yetu nikutupeleshela ku shiwo.
Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
6 Ikabheje nnaino tugopwelwe nshalia, tuiwilile yatutabhaga ila, nkupinga tukombole ndamo ja ambi ja tumishila ya Mbumu, nngabha malinga bhukala putwatumishilaga shalia jijandishwe.
Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
7 Bhai, tujile bhuli? Shaliaji ni yambi? Ng'oo! Pabha gwangali shalia nganaimanye yambi shili bhuli, nganakumanye kulokolila kaliji shalia jikanalugule, “Nnalokolile yangali ya mmbone.”
Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.”
8 Ikabheje yambi guikwete mashili ligongo lya amuli, gushitendile kila ilokoli nkati jangu. Pabha yambi gwangali shalia, iwile.
Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
9 Numbe nne punaliji najwankoto gwangali shalia, ikabhe jikaishejepe shalia jila, yambi guiyushile na nne gung'wile.
Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
10 Nne gumweni kuti, shalia jatumbilile kupeleshela gumi jila, jishipeleshela shiwo.
nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
11 Pabha yambi shikakoleje mashili kwa ligongo lya shalia jila, gushindembile nimulaga.
Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
12 Bhai shalia ja a Musha ni ja ukonjelo, na amuli jila, ni ja ukonjelo, na ja mmbone, na ja aki.
Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
13 Bhai bhuli! Gene gali ga mmbone gala, nne nigabhone ga shiwo? Ng'oo! Ikabheje nkupinga shambi shibhoneshe ukoto kuti ni yambi, shialaya shiwo nkati jangu, kwa pitila lya mmbone lila, nkupinga kwa amuli jila, yambi ipunde nyata kaje.
Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
14 Pabha tumumanyi kuti shalia ja a Musha shiumilo shakwe ni indu ikopoka Mmbumu jwa a Nnungu, ikabheje nne namundu jwa kagulila indu ya nshiilu, njiushwa muutumwa gwa yambi.
Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
15 Pabha ngakushimanya shingutenda, shingupinga tenda shila, ngaatenda, ikabhe shingaapinga shila ni shingutenda.
Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
16 Bhai monaga ngunakunda kuti shingutenda nngabha sha mmbone malinga shinatumbilile tenda, penepo ngunakunda kuti, shalia jila ni jammbone.
Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
17 Bhai, nngabha nne namwene ngutenda shenesho, ikabhe yambi itama nkati jangu.
Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
18 Pabha nimumanyi kuti, nkati jangu yani nshiilu shangu, shikaatama shindu sha mmbone. Numbe kupinga kutenda indu ya mmbone ngulipinga, ikabheje kutenda ngunalepela.
Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
19 Pabha shene sha mmbone shingushipinga, ngaatenda, ikabheje shene shangali sha mmbone shingakushipinga ni shingutenda.
Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
20 Bhai monaga shingakushipinga shila ni shingutenda, nngabha nne namwene ngutenda, ikabhe ni yambi itemi nkati jangu ila.
Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
21 Bhai nijimanyi jene kweliji, pungupinga tenda shindu sha mmbone, shipali sha nyata shinguagula tenda.
Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
22 Pabha ngunakwiinonyela shalia ja a Nnungu muntima gwangu.
Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
23 Ikabheje nshiilu shangu ngunakujibhona shalia jina jinakomana na shalia ja lunda lwangu, nindenda ntumwa jwa shalia ja yambi, jitemi nshiilu shangu jila.
Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
24 Nankulaga nangali malanga nne! Gani shandapule na shiilu sha shiwoshi?
Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
25 Ngunakwaatendela eja a Nnungu, pabha ngunatapulwa na a Yeshu Kilishitu bhakulungwa bhetu! Bhai kwa nneyo nne namwene kwa lunda lwangu ngunatumishila shalia ja a Nnungu, ikabhe kwa shiilu shangu ngunatumishila shalia ja yambi.
Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.