< Nng'ibhulo 13 >

1 Bhai, lijoka lila gulijimi nnyenje bhaali. Gunimmwene nnyama jumo alikopoka mbhaali. Ashinkukola mitwe shabha na mbembe likumi limo, na kila lupembe lwashinkubhikwa shilemba. Muntundu mitwe jakwe gashinkujandikwa mena ga kwaatukana a Nnungu.
Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari. Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru.
2 Jwene nnyama junammwene jula paaliji mbuti ubhi, makongono gakwe mbuti liogo na ntwe gwakwe mbuti imba. Lijoka jula gwanngabhile nnyama jula mashili gakwe na shitengu shakwe sha ukulungwa na mashili ga kaje.
Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa.
3 Ntwe gwakwe gumo pugwabhonekaga mbuti ushiulaywa libhanga lya shiwo, ikabheje libhanga lyakwe liponile. Shilambo showe shikunkanganigwaga nnyama jula nigubhankagulenje.
Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama.
4 Bhandunji bhowe gubhantindibhalilenje lijoka jula kwa pabha nnyama jula ashinkunngabhila mashili gakwe. Gubhantindibhalilenje na nnyama jula bhalinkutinji, “Gani ali malinga aju nnyamaju? Numbe gani akombola kukomana najo?”
Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”
5 Na nnyama jula gwaleshilwe abhelekete malobhe ga kwiitapa na ga kwaatukana a Nnungu, gwapegwilwe mashili ga tenda liengo lyakwe kwa myei makumi nsheshe na jibhili.
Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6 Bhai, gwatandwibhe kwaatukana a Nnungu na alitukana na lina lyabho na ndamo jabho na bhowe bhaatamangana kunnungu.
Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni.
7 Na gwaleshilwe akomane ngondo na bhandunji bha ukonjelo nikwaakombolanga. Gwapegwile ukulungwa kubhandunji bha kila kabhila, na kila shipinga, na kila shibheleketi, na kila shilambo.
Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa.
8 Bhowe bhaatamangana pa shilambolyo shibhantindibhalilanje, ikabheje bhene bhajandikwenje mena gabhonji nshitabhu sha gumi shika Mwana Ngondolo ainjilwe, kuumila ku ndandubho kwa panganywa shilambolyo.
Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
9 Akwete makutujo, apilikane!
Yeye aliye na sikio na asikie.
10 Mundu atumbililwe kukamulwa utumwa, shaakamulwe utumwa, na mundu jwa bhulagwa na upanga, shabhulagwe na upanga. Kwa nneyo, bhandunji bha ukonjelo bhaipilililanje na bhakolanje ngulupai.
Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka, atachukuliwa mateka. Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.
11 Kabhili, gunimmwene nnyama juna alikopoka nnitaka. Ashinkukola mbembe ibhili mbuti ya ngondolo, ikabheje atendaga bheleketa mbuti lijoka.
Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka.
12 Ashinkukola mashili gapegwilwe nagwe nnyama jwa ntai jula, na gwalangwile mashili gakwe kuka nnyama jula. Akushitendaga shilambolyo, na bhowe bhaatamangana mwenemo, kuntindibhalila nnyama jwa ntai, akwete libhanga liponile jula.
Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
13 Gwatendile ilapo yaikulungwa, akubhulayaga moto ukoposhe kunnungu utulushe pa shilambolyo, nibhoneka ku bhandu bhowe.
Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi.
14 Alikwaapuganyanga bhandunji bhaatamangana pa shilambolyo, kwa ilapo yapegwile kwiitenda paka nnyama jwa ntai jula. Alikwaabhalanjilanga bhaatamangana pa shilambo bhanng'alashiyanje shanamu nnyama jwa ntai auleywe kwa upanga nilama kabhili jula.
Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi.
15 Nigwapegwilwe mashili ga pepetela mbumu ya gumi nshanamu shika nnyama jwa ntai jula, mpaka gushikombwele kubheleketa nikwaabhulaganga bhandunji bhowe bhashitindibhalilenje shanamu shika nnyama shila.
Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.
16 Na alikwaatendanga bhowenji, bhashoko na bhakulungwanji, matajili, na bhaalaga, na bhangwana, na bhatumwa bhalembwanje lulembo munkono gwabhonji gwa nnilo eu pa shenyi shabhonji.
Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso,
17 Na kabhili kuti mundu jojowe anaume shindu eu kuusha, ikabheje mundu alembilwe lwene lulembolo, yani lina lika nnyama jula eu eshabhu ja lyene linalyo.
ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.
18 Penepa panapinjikwa lunda! Akwete lunda shagamanye malombolelo ga eshabhu jika jwene nnyamajo, pabha ni eshabhu jikunnombola mundu. Jene eshabhujo, mmia shita na makumi shita na shita.
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.

< Nng'ibhulo 13 >