< Bhapilipi 2 >

1 Ibhaga, ndamo jenunji mwa a Kilishitu jilikumpanganga mashili, ibhaga kupali kuangalala kokowe nkupingana na Bhenebho, ibhaga kupali kulundana kokowe naka Mbumu jwa Ukonjelo, na ibhaga gupali uguja gogowe na bhonelana shiya.
Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Kristo, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho, kukiwa na wema wowote na huruma,
2 Bhai, nkamilishanje kuangalala kwangu kwa kola ng'aniyo imo, kupingana kumo, na ntima gumo, na tumbilila kumo.
basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.
3 Nnatendanje shindu shoshowe kwa taukangana eu kwa kwiipuna, ikabhe mwiitimalikanje mwaashayenenji, kila mundu annganishiye nnjakwe kuti jwa mmbone kupunda nnyene.
Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.
4 Mundu analoleye pwaida jakwe nnyene, ikabhe na pwaida ja ashaajakwenji.
Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
5 Nkolanje ng'aniyo mmitima jenunji malinga ibhaakwete a Yeshu Kilishitu.
Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:
6 Bhenebho kuumila kundandubho pubhaliji malinga a Nnungu, ikabheje kubha malinga a Nnungu, bhangatolelela kuti shindu shangakomboleka kuleka.
Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa, hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikilia,
7 Ikabhe, kwa engwa kwabho bhayene, gubhaleshile yowe ibhakwete, gubhaitendile mbuti ntumwa, nibha malinga mundu.
bali alijifanya si kitu, akachukua hali hasa na mtumwa, naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.
8 Bhakabhonesheje malinga mundu, nikwiinyegaya na kunda mpaka kuwa, elo, kuwa munshalabha.
Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
9 Kwa nneyo, na Bhalabho a Nnungu gubhaakweshiye kunani kaje, gubhaapele lina likulungwa kupunda mena gowe.
Kwa hiyo, Mungu alimtukuza juu sana, na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina,
10 Nkupinga kwa lina lya ambi libhapegwilwe a Yeshu, indu yowe ya kunnungu, na ya pa shilambolyo, na ya pai litaka, yaatindibhalile,
ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi,
11 na kila mundu alumbe kuti, bhene bhaashemwa a Yeshu Kilishitu ni Bhakulungwa, kwa ukonjelo gwa Atati a Nnungu.
na kila ulimi ukiri ya kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
12 Bhai ashaambwiga ajangunji, malinga shimwambilikanilangaga mobha gowe punaliji na mmanganyanji, bhai nkali nnaino shini kwataliya shino, mpundanje kumbilikanila. Ntendanje liengo kwa ligongo lya kamilisha ntapulo gwenunji, kwa jogopa na ungumila.
Kwa hiyo, wapenzi wangu, kama vile ambavyo mmekuwa mkitii siku zote, si tu wakati nikiwa pamoja nanyi, bali sasa zaidi sana nisipokuwepo, utimizeni wokovu wenu kwa kuogopa na kutetemeka,
13 Pabha a Nnungu ni bhaatenda liengo mmitima jenunji, nkunkomboyanga nkupinga ntendanje indu ibhapinga Bhayene.
kwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema.
14 Ntendanje indu yowe gwangali inginika na wala mitau,
Fanyeni mambo yote bila kunungʼunika wala kushindana,
15 nkupinga nnakolanje shilebho na mmanganje bha ndamo ja mmbone. Nkupinga mmanganje bhana bha mmbone bha a Nnungu bhangalinginji ila munkumbi gwa bhandu bhangalinginji bha mmbone na bhaobhilenje bha pa shilambolyo pano. Mmanganje shilangaya malinga shiikulangaya ndondwa kuliunde,
ili msiwe na lawama wala hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na kasoro katika kizazi chenye ukaidi na kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi mnangʼaa kama mianga ulimwenguni.
16 nnikwaalungushiyanga malobhe ga gumi. Na penepo nne shingole ligongo lya kwiipuna lyubha lya kwiya a Kilishitu, shiimanyishe kuti liengo lyangu na tumbila kwangu nngabha kwayoyo.
Mkilishika neno la uzima, ili nipate kuona fahari siku ya Kristo kwamba sikupiga mbio wala kujitaabisha bure.
17 Nkali gumi gwangu ushoywaga nibha mbepei, pamo na ngulupai jenunji jili mbepei kwa a Nnungu, bhai, ngunakuinonyela na angalila na mmanganyanji mmowe.
Lakini hata kama nikimiminwa kama sadaka ya kinywaji kwenye dhabihu na huduma itokayo katika imani yenu, mimi ninafurahi na kushangilia pamoja nanyi nyote.
18 Nneyo peyo, na mmanganyanji nnapinjikwanga kwinonyela na angalila pamo na nne.
Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.
19 Nkwaakulupalila Bhakulungwa a Yeshu, shinaatume a Timoteo bhajiye kunngwenunji agano mobha pegano, nkupinga nndaganje ntima pushimbilikane genu mmanganyanjipo.
Natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.
20 Pabha nangali mundu juna akwete ntima gumo na nne malinga bhenebho, shibhajiye kunnolanga na kunnjangutilanga.
Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.
21 Bhananji bhowe ibhaloleyanga ibhapinganga ashaayenenji, wala nngabha ya a Yeshu Kilishitu.
Kwa maana kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.
22 Ikabheje mmanganyanji mwaamanyinji a Timoteo shibhashite bhoneka, kuti bhashikamula liengo lya lunguya Ngani ja Mmbone na nne, mbuti mwana naka nng'inagwe.
Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana ametumika pamoja nami kwa kazi ya Injili, kama vile mwana kwa baba yake.
23 Bhai ngunakulupalila kwaatuma bhenebho kunngwenunji, pene pushiniimanye ishindendelweyo.
Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.
24 Numbe namwene nkwaakulupalila Bhakulungwa shinyiye kunngwenunjiko nngabha pa kabha.
Nami mwenyewe ninatumaini katika Bwana kwamba nitakuja kwenu hivi karibuni.
25 Bhai ngunaganishiya kwaatuma kabhili apwanga a Epapulodito kunngwenunji, bhakamula liengo na nne, bhakomana ngondo ajangu, numbe ni bhantenga bhenunji na bhanyangutile nne kwa indu inapinjile.
Lakini nadhani ni muhimu kumtuma tena kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mtendakazi pamoja nami, aliye askari mwenzangu, ambaye pia ni mjumbe wenu mliyemtuma ili ashughulike na mahitaji yangu.
26 Pabha bhashikola lilaka lya kwiya kunnolanga mmowe, ikabheje bhashiinjika malinga shimpilikenenje kuti bhatendaga lwala.
Kwa maana amekuwa akiwaonea sana shauku ninyi nyote, akiwa na wasiwasi kwa kuwa mlisikia kwamba alikuwa mgonjwa.
27 Kweli bhashinkulwala kwa tome na kuwa, ikabheje a Nnungu gubhaabhonele shiya, na nngabha bhenebhope, ikabheje na nne gubhamonele shiya nkupinga ngunapunde injika, nkuinjika.
Kweli alikuwa mgonjwa, tena karibu ya kufa. Lakini Mungu alimhurumia, wala si yeye tu, bali hata na mimi alinihurumia, nisipatwe na huzuni juu ya huzuni.
28 Kwa nneyo, ngunatumbilila kwa kaje kwaatuma kunngwenunji, nkupinga pushimwaabhonanje kabhilipo nng'angalalanje, na nne lipamba lyangu linjoshe.
Kwa hiyo mimi ninafanya bidii kumtuma kwenu ili mtakapomwona kwa mara nyingine, mpate kufurahi, nami wasiwasi wangu upungue.
29 Bhai, mwaaposhelanje kwa angalala nkulundana na Bhakulungwa, na bhandunji bha nneyo mwaaishimiyanje,
Kwa hiyo mpokeeni katika Bwana kwa furaha kubwa, nanyi wapeni heshima watu kama hawa,
30 pabha kwa ligongo lya liengo lya a Kilishitu pubhaliji tome na kuwa ni jogoya ndamo jabho, nkupinga bhanyangutile nne pumwalepelenje mmanganyanji, pabha mwalinginjiji kwa taliya.
kwa sababu alikaribia kufa kwa ajili ya kazi ya Kristo, akihatarisha maisha yake ili aweze kunihudumia vile ninyi hamkuweza.

< Bhapilipi 2 >