< Maliko 7 >
1 Mapalishayo na bhaajiganya bha Shalia bhananji kukopoka ku Yelushalemu, gubhapitengene kwa a Yeshu.
Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
2 Gubhaabhweninji bhaajiganywa bhananji, bhalilyanganga shalya gwangali nabha makono, malinga shiikupinjikwa na ikubho ya Shiyaudi.
Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
3 Pabha Mapalishayo na Bhayaudi bhowe bhashinkubhikanga mmitima jabhonji miungu ja bhanangulungwa bhabhonji, nngalya shindu gwangali nabha.
(kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
4 Na kabhili bhakalyanganga shindu sha kopoka kushokoni gwangali kuukanga, na jaapali mikubho jina jibhayobhelelenje, malinga kuukanga bhilika na migabho na indu ya shabha.
Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
5 Bhai, Mapalishayo na bhaajiganya bha Shalia gubhaabhushiyenje a Yeshu, “Kwa nndi bhaajiganywa bhenu bhakaatendanga malinga shitushite jiganywa na bhanangulungwa bhetu, ikabheje bhanalyanganga gwangali nabha makono?”
Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
6 A Yeshu gubhaajangwilenje, “Mmanganya mmagulumba, a Ishaya bhashinkulondola ukoto genu mmanganya kuti. ‘A Nnungu bhanabheleketa kuti, bhene bhandunjibha bhananyogopanga kwa malobhepe, Ikabheje mitima jabhonji jishitalikangana na nne.
Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
7 Kundindibhalila kwabhonji kwayoyo, Pabha majiganyo gabhonji ni malajilo ga shigundupe.’
Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
8 “Mmanganya nnalekanga malajilo ga a Nnungu, nkupinga nkamulanje miungu ja bhandu.”
Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
9 A Yeshu gubhapundile kubheleketa, “Mmanganya nnaalekanga Malajilo ga a Nnungu nkupinga nkagulanje ikubho yenunji.
Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
10 Pabha a Musha bhaashite, ‘Gwaajogope ainago na akwenu.’ Na kabhili bhaashite, ‘Akwaatukana ainagwe na akwabhe, anapinjikwa abhulagwe’.
Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
11 Ikabheje mmanganya nnajiganyanga, ‘Monaga mundu akwete shindu sha kwaapa ainagwe eu akwabhe, abheleketaga kuti, njikwapa a Nnungu,
Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
12 bhai, akapinjikwa kabhili kwaapa ainagwe eu akwabhe.’
hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
13 Nneyo shinkuti kulinyegayanga lilobhe lya a Nnungu ligongo lya miungu jenunji. Nnatendanga indu yaigwinji malinga yeneyo.”
Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
14 A Yeshu gubhabhelekete kabhili na lugwinjili lula bhalinkuti, “Mmbilikananje mmowe na mmumanyanje.
Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
15 Shakwa shalya, shalya mundu shikuntenda anyate, ikabhe ikunkopoka nkati ni ikuntenda anyate.
Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
16 Akwete makutu ga pilikanilajo apilikane.”
(Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
17 Bhakaalekanjeje bhandu, gubhajinjile nnyumba, bhaajiganywa bhabho gubhaabhushiyenje malombolelo ga lutango lula.
Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
18 Na bhalabho a Yeshu gubhaalugulilenje, “Bhuli, nkali mmanganya nkakumumanyanga malinga bhananji? Nkakumumanyanga kuti shalya, shalya mundu shikakuntenda anyate?
Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
19 Pabha shikakunjinjila muntima ikabhe mmatumbope, kungai akakwenda kulilindi?” Kwa bheleketa nneyo a Yeshu bhashinkwiitenda yalya yowe kubha ya mmbone.
kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
20 A Yeshu gubhapundile bheleketa, “Shikunkopoka mundu muntima shenesho shikuntenda anyate.
Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
21 Pabha muntima uka mundu munakopoka ng'aniyo yangali ya mmbone ya labhalabha na gwii na bhulaga,
Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
22 ya utwai na shienga na kwetela indu na unami na kujajatika na lupimililo na matukano na mbwinya na ungumba.
uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
23 Yene yowei muikopoka muntima uka mundu, yeneyo ni ikuntenda anyate.”
Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
24 A Yeshu gubhajabhwile pepala, gubhapite mmbali ya ku Tilo na ku Shidoni. Kweneko gubhajinjile nnyumba jimo, pubhapingaga inamanyishe na bhandu ikabheje bhangakombola kwiiya.
Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
25 Penepo bhakongwe bhamo bhashinkukola mwali akwete maoka, gubhapilikene ngani ja a Yeshu. Bhai, gubhaishe nikwiigwiya pa makongono ga a Yeshu.
Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
26 Bhene bhakongwebho pubhaaliji Bhagiliki bha ku Poinike shilambo sha Shilia. Bhai, gubhaajujile a Yeshu bhanshoye mwali jwabho lioka jula.
Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
27 A Yeshu gubhaalugulile, “Mwaalekanje bhana bhajukutanjeti, nngabha mwammbone kutola shalya sha bhana nikwiipa mbwa.”
Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
28 Ikabheje bhakongwe bhala gubhajangwile, “Kweli Mmakulungwa, ikabheje nkali mbwa ili pai mesha inalya malepeyo ga bhana.”
Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
29 A Yeshu gubhaalugulile, “Kwa ligongo lya lilobhe limmeleketelyo, nnjende, lioka linshoshile mwali jwenu!”
Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
30 Bhai, gubhapite kunngwabho, gubhanng'imene mwali jwabho agonile pa shinanda na lioka jula anshoshile.
Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
31 Kungai a Yeshu gubhajabhwile penepo gubhapite mmbali ja ku Tilo kupitila ku Shidoni, gubhaishe ku litanda lya Galilaya kupitila ku Dekapoli.
Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
32 Bhai, gubhaapeleshelenje mundu bhubhu na akaapilikana, gubhaajujilenje bhammishile makono.
Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
33 A Yeshu gubhanshoshiye pa bhandu nikwenda najo kunyenje, gubhannjinjiye ngowe yabho mmakutu gakwe na gubhaunile mata nikunkwaya pa lulimi lwakwe.
Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
34 Kungai a Yeshu gubhalolile kunani kunnungu, gubhatulwiye mbumu, gubhannugulile, “Epata,” Malombolelo gakwe “Uguka.”
Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
35 Shangupe makutu gakwe gakuugukaga na lulimi lula guluugwishe, gwabhelekete ukoto.
Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
36 A Yeshu gubhaamulishe bhanannugulilanje mundu yeila. Ikabheje pubhapundaga kwaalimbiyanga, nipubhapundangaga kushumiya ngani.
Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
37 Bhandu bhashinkulapanga kwa kaje, gubhashitenje, “Bhanatenda indu yowe ukoto, bhanakwaatendanga ashinangapilikane, kupilikana kabhili na ashibhubhu kubheleketa.”
Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”