< 1 Bhakolinto 9 >

1 Bhuli, nne nngabha nanngwana? Bhuli, nne nngabha ntume? Bhuli, nne nangaabhona a Yeshu Bhakulungwa bhetu? Bhuli, mmanganya kulundana kwenunji na Bhakulungwa nngabha kwa ligongo lya liengo lyangu?
Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana?
2 Ibhaga nne nngabha ntume kubhandunji bhana, ikabheje kwenu mmanganya nne ntume. Mmanganya ni ukong'ondelo gwa utume gwangu nkulundana kwenunji na a Kilishitu.
Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni mhuri wa utume wangu katika Bwana.
3 Kwa bhene bhannugulanga bhala shingwiibheleketela ni nnei.
Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.
4 Bhuli, twangali aki ja pegwa shalya na ya papila kwa liengo lyetu?
Je, hatuna haki ya kula na kunywa?
5 Bhuli, twangali aki ja longana naka jwankongwe Nkilishitu, malinga shibhatendanga mitume bhana, ashaalongo ajabhonji Bhakulungwa na nkali a Kepa?
Je, hatuna haki ya kusafiri na mke anayeamini, kama wanavyofanya mitume wengine na ndugu zake Bwana na Kefa?
6 Eu bhuli, nne na a Bhanabha ni tupingwa kamula liengo nkwiilolesheya indu yetu?
Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?
7 Bhuli, linjola gani akwiilipila nnyene nniengo lyakwe? Gani apanda mishabhibhu analye iepo yakwe? Gani ashunga likundi anapapile mabhele ga likundi lyakwe?
Ni askari yupi aendaye vitani kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye shamba la mizabibu na asile matunda yake? Ni nani achungaye kundi na asipate maziwa yake.
8 Bhuli, ngunabheleketa genega shigundupe? Bhuli, najalakwe shalia jikalugula nneyo peyo?
Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, sheria haisemi vivyo hivyo?
9 Ishijandikwa nshalia ja a Musha, “Nnantabhe kang'wa ng'ombe alikubhata yalya.” Bhuli, penepo a Nnungu gubhabheleketaga ga ng'ombe?
Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe?
10 Bhuli, a Nnungu bhakatuganishiyaga uwe pubhabhelekete nneyo? Elo, genega gashinkujandikwa kwa ligongo lyetu, pabha alima, na auna jula, bhowe bhakwetenje aki ja pata upambi gwa mauno.
Je, Mungu hasemi haya hasa kwa ajili yetu? Hakika yameandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mtu anapolima na mpuraji akapura nafaka, wote wanapaswa kufanya hivyo wakiwa na tumaini la kushiriki mavuno.
11 Monaga uwe tupandile mmbeju ja muntima munkumbi gwenunji, bhuli, ikabha sha mmbone uwe tupataga indu ya pashilambolyo kopoka kwenu mmanganyanji?
Je, ikiwa sisi tulipanda mbegu ya kiroho miongoni mwenu, itakuwa ni jambo kubwa iwapo tutavuna vitu vya mwili kutoka kwenu?
12 Ibhaga ashimitume bhananji bhakwetenje aki ja jangutilwa na mmanganyanji, bhuli, uwe twangali aki kupunda bhanganyabho? Ikabheje uwe tushikujileka jene akijo, ikabhe twashinkwiipililila nkupinga tunajibhishile shigwegwe shoshowe Ngani ja Mmbone ja a Kilishitu.
Kama wengine wana haki ya kupata msaada kutoka kwenu, isingepasa tuwe na haki hiyo hata zaidi? Lakini sisi hatukutumia haki hii. Kinyume chake, tunavumilia kila kitu ili tusije tukazuia Injili ya Kristo.
13 Mmanganya mmumanyinji kuti, bhaakamulanga liengo nniekalu bhanapatanga yalya nniekalu, na bhatendanga liengo lya bhishila mbepei pa shitala, bhanapatanga lipungu lya mbepeiyo.
Je, hamjui kwamba, watu wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni hushiriki kile kitolewacho madhabahuni?
14 Nneyo peyo Bhakulungwa bhashiamulisha kuti, bhaalunguyanga Ngani ja Mmbone bhapatanje ya lamila Nngani ja Mmbonemo.
Vivyo hivyo, Bwana ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili.
15 Ikabheje, nne nangalonga yene akiyo wala jimo. Na wala ngajandika gegano nkupinga mbate yene akiyo, pabha kwangu nne, mbaya niiwile ikabheje nngabha mundu amone kuti ngunakwiiniya payoyo.
Lakini sijatumia hata mojawapo ya haki hizi. Nami siandiki haya nikitumaini kwamba mtanifanyia mambo hayo. Heri nife kuliko mtu yeyote kuninyima huku kujisifu kwangu.
16 Ibhaga ngulunguya Ngani ja Mmbone, lyenelyo nngabha lya kwiipunila, pabha njipegwa amuli. Numbe ole gwangu, monaga ngalunguye Ngani ja Mmbone!
Lakini ninapohubiri Injili siwezi kujisifu maana ninalazimika kuhubiri. Ole wangu nisipoihubiri Injili!
17 Ibhaga ngakamwile lyene liengoli kwa engwa kwangu, bhai ngalolele kulipwa, ikabheje ngaakamula kwa engwa kwangu, ikabhe ngunapinjikwa kukamula lyene liengoli.
Nikihubiri kwa hiari, ninayo thawabu. Lakini kama si kwa hiari, basi ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili niliowekewa.
18 Bhai nshaala gwangu nndi? Nshaala gwangu ni nema ja lunguya Ngani ja Mmbone, gwangali kulonga aki yangu ya nkulunguya.
Basi je, thawabu yangu ni nini? Thawabu yangu ni hii: Ya kwamba katika kuhubiri Injili niitoe bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.
19 Kwa nneyo, nkali nne nili nngabha nantumwa juka mundu jojowe, njikwiitenda nantumwa juka kila mundu, nkupinga naapatanje bhandu bhabhagwinji.
Ingawa mimi ni huru, wala si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya kuwa mtumwa wa kila mtu, ili niweze kuwavuta wengi kadri iwezekanavyo.
20 Ku Bhayaudi nashinkutama mbuti Nanyaudi, nkupinga naapatanje Bhayaudi. Nguti, ku bhandu bha shalia, nashinkwiitenda mbuti mundu jwa shalia, nkali nili nngabha mundu jwa shalia, nkupinga naapatanje bhandu bha shalia.
Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama aliye chini ya sheria (ingawa mimi siko chini ya sheria), ili niweze kuwapata wale walio chini ya sheria.
21 Kubhalinginji na shalia, nashinkutama mbuti nangali shalia, nkupinga naapatanje bhangalinginji na shalia. Nngabha kuti nangali shalia ja a Nnungu, ikabhe ngwete shalia ja a Kilishitu.
Kwa watu wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria (ingawa siko huru mbali na sheria ya Mungu, bali niko chini ya sheria ya Kristo), ili niweze kuwapata wale wasio na sheria.
22 Ku bhangalinginji mashili nngulupai, nashinkwiitenda mbuti nangali mashili, nkupinga naapatanje bhangalinginji mashilibho. Nashinkwiitenda kila shindu kubhowe, nkupinga kila mushiibhele, naatapulanje bhananji, munkumbi gwabhonji.
Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.
23 Ngunatenda yowei ga ligongo lya Ngani ja Mmbone, nkupinga mbate mboka yakwe.
Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.
24 Bhuli, nkakumumanyanga kuti pa lubhanja lwa ing'ando, bhowe bhanabhutukanga lubhilo, ikabheje apata upo jumope? Mmutukanje nneyo nkupinga mpatanje upo.
Je, hamjui kwamba katika mashindano ya mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata tuzo.
25 Na kila abhutuka lubhilo, anakwiobhelesheya nileka yowe, bhanatendanga nneyo nkupinga bhapatanje shilemba shiangabhanika, ikabhe uwe tupate shilemba shangaangabhanika.
Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele.
26 Nneyo peyo numbe nne ngunabhutuka lubhilo, nkupinga ngombole, ngunakoma ubha nngabha mbuti akoma ubha pangali shindu.
Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu anayepiga hewa,
27 Ikabhe ngunakushiobhelesheya shiilu shangu ya ukomu, inabhe naalungushiyangaga bhananji, namwene nikanwa.
la, bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha ili nikiisha kuwahubiria wengine, mimi nisiwe mtu wa kukataliwa.

< 1 Bhakolinto 9 >