< Tauanga 28 >

1 I korero ano a Ihowa ki a Mohi, i mea,
BWANA akanena na Musa akamwambia,
2 Whakahaua nga tama a Iharaira, mea atu ki a ratou, Kia mau ki taku whakahere, ki taku taro mo aku whakahere ahi, hei kakara reka ki ahau, kia tapaea mai ki ahau i tona wa ano.
“Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
3 Me ki atu hoki e koe ki a ratou, Ko te whakahere ahi tenei e tapaea e koutou ki a Ihowa; kia rua nga reme toa tau tahi, he mea kohakore, hei tahunga tinana tuturu mo ia ra.
Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
4 Ko tetahi reme me tuku i te ata, ko te rua o nga reme me tuku i te ahiahi;
Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
5 Me te whakatekau o te epa paraoa, hei whakahere totokore, he mea konatunatu ki te whakawha o te hine hinu, o te mea i patua.
Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
6 Ka tuturu tenei hei tahunga tinana, he mea i whakaritea ki Maunga Hinai hei kakara reka, hei whakahere ahi ki a Ihowa.
Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
7 A hei te whakawha o te hine he ringihanga mo te reme kotahi: kia ringihia te waina kaha ki te wahi tapu hei ringihanga ki a Ihowa.
Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
8 Me tuku tetahi o nga reme i te ahiahi: kia rite ki to te whakahere totokore o te ata, ki to tona ringihanga hoki, tau tukunga i tena hei whakahere ahi, hei kakara reka ki a Ihowa.
Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
9 A i te ra hapati kia rua nga reme toa tau tahi, he mea kohakore, kia rua hoki nga whakatekau o te epa paraoa pai, hei whakahere totokore, hei te mea i konatunatua ki te hinu, me tona ringihanga ano:
Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
10 Ko te tahunga tinana tenei mo nga hapati katoa: tera ano hoki te tahunga tinana, te mea tuturu, me tona ringihanga.
Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
11 A i nga timatanga ano o o koutou marama me tapae e koutou he tahunga tinana ki a Ihowa; kia rua nga puru, hei te kuao, kia kotahi te hipi toa, ki whitu nga reme toa tau tahi, he mea kohakore;
Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
12 Kia toru whakatekau o te epa paraoa pai hei whakahere totokore, hei te mea i konatunatua ki te hinu, mo te puru kotahi: kia rua whakatekau paraoa pai, hei whakahere totokore, hei te mea i konatunatua ki te hinu, mo te hipi toa kotahi;
Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
13 Me te whakatekau paraoa pai mo tenei reme, mo tenei reme, he whakahere totokore, hei te mea i konatunatua ki te hinu; hei tahunga tinana he reka nei te kakara, hei whakahere ahi ki a Ihowa.
Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
14 A ko nga ringihanga o aua mea kia kotahi hawhe hine waina mo te puru kotahi, ko te whakatoru o te hine mo te hipi toa, me te whakawha o te hine mo te reme: ko te tahunga tinana tenei o tenei marama, o tenei marama, o nga marama o te tau.
Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
15 Kia kotahi kuao koati toa ano hoki e tukua hei whakahere hara ki a Ihowa: tera ano hoki te tahunga tinana, te mea tuturu, me tona ringihanga ano
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
16 Kei te marama tuathi, kei te kotahi tekau ma wha o nga ra o te marama, te kapenga a Ihowa,
Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
17 Hei te tekau ma rima o nga ra o tenei marama tetahi hakari: e whitu nga ra e kainga i te taro rewenakore.
Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
18 Hei te ra tuatahi te huihuinga tapu: kaua tetahi mahi a te kaimahi e mahia:
Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
19 Engari me tapae he whakahere ahi hei tahunga tinana ki a Ihowa; kia rua nga puru, hei te kuao, kia kotahi hipi toa, kia whitu hoki nga reme to tau tahi: hei te mea kohakore nga mea ma koutou.
Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
20 A hei te paraoa pai i konatunatua ki te hinu he whakahere totokore mo ena: kia toru whakatekau e tukua mo te puru, kia rua nga whakatekau mo te hipi toa:
Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
21 Me tuku e koe he whakatekau mo te reme, mo nga reme e whitu
Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
22 Kia kotahi koati toa ano hoki hei whakahere hara, hei whakamarie mo koutou.
na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Hei tapiri enei e tukua nei e koutou mo te tahunga tinana o te ata; hei tahunga tinana tuturu hoki tena.
Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
24 Kia penei tonu i te ra, i nga ra e whitu, ta koutou tukunga i te kai o te whakahere ahi, hei kakara reka ki a Ihowa: hei tapiri mo te tahunga tinana tuturu te tukunga o tena mea me tona ringihanga.
Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
25 A kei te ra whitu he huihuinga tapu mo koutou: kaua tetahi mahi a te kaimahi e mahia.
Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
26 A, i te ra o te tuapora, ina tapaea he whakahere totokore hou e koutou ki a Ihowa i roto i ta koutou hakari o nga wiki, me mea huihuinga tapu mo koutou; kaua tetahi mahi a te kaimahi e mahia:
Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
27 Engari me tapae te tahunga tinana hei kakara reka ki a Ihowa: kia rua nga puru, hei te kuao, kia kotahi hipi toa, kia whitu nga reme toa tau tahi;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
28 Me to ratou whakahere totokore he paraoa pai i konatunatua ki te hinu, kia toru whakatekau mo te puru kotahi, kia rua whakatekau mo te hipi toa kotahi,
Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
29 Hei te whakatekau mo te reme, o nga reme e whitu;
Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
30 Kia kotahi koati toa hei whakamarie mo koutou.
na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Ko enei a koutou e mahi me te tahunga tinana tuturu me tona whakahere totokore, hei te mea kohakore nga mea ma koutou, me nga ringihanga ano.
Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”

< Tauanga 28 >