< Hopa 13 >
1 Nana, kua kitea katoatia tenei e toku kanohi, kua rongo toku taringa, kua mohio.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Ko ta koutou e mohio na, ko taku ano tena e mohio nei: kahore hoki ahau i hoki iho i a koutou.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Ina, e whai kupu ano ahau ki te Kaha Rawa: a e hiahia ana ki te korerorero ki te Atua.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Ko koutou ia, he hunga tito i te teka, he rata horihori noa koutou katoa.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Te pai na, me i mutu rawa a koutou korero! Ko to koutou whakaaro nui hoki tena.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Tena ra, whakarongo mai ki taku tautohe, maharatia nga whawhai a oku ngutu.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Me tautoko ta te Atua ki te kupu kino? me tautoko ranei tana ki te tinihanga?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Ka whakapai kanohi koia koutou ki a ia? Ma koutou ranei ta te Atua tautohe?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 He pai ranei kia rapua ta koutou e ia? E maminga ranei koutou ki a ia, e pera me tetahi ka maminga nei ki te tangata?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 He pono ka whakahe ia ki a koutou ki te whakapai puku koutou i te kanohi.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 E kore ranei koutou e mataku ki tona nui? E kore ranei te wehi ki a ia e tau ki a koutou?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Ko a koutou pepeha nunui he whakatauki no te pungarehu, ko o koutou parepare he parepare paru.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Kati te korero, waiho noa iho ahau, kia korero ai ahau, ahakoa pa mai te aha ki ahau.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 He aha oku kikokiko i ngaua ai e oku niho? He aha toku wairua i waiho ai e ahau i roto i toku ringa?
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Ahakoa whakamate noa ia i ahau, ka tatari tonu ahau ki a ia: otiia ka mau tonu ahau ki oku ara i tona aroaro.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Ko tenei hoki hei oranga moku; e kore hoki te tangata atuakore e tae mai ki tona aroaro.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Ata whakarongo ki aku korero: kia anga mai o koutou taringa ki taku e whakapuaki nei.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Na kua takoto taku mo te whakawa; e mohio ana ahau he tika ahau.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Ko wai ia hei totohe ki ahau? Ka whakarongo puku hoki ahau aianei, a ka hemo ahau.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Engari kaua nga mea e rua e meatia mai ki ahau; katahi ahau ka kore e huna i ahau i tou mata.
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Kia matara atu tou ringa ki tawhiti i ahau; a kaua ahau e whakawehia e te mataku ki a koe.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Ko reira, mau e karanga, a maku e whakao atu; maku ranei e korero, a mau e whakahoki kupu mai ki ahau.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Ka hia ra oku kino, oku hara? Meinga ahau kia matau ki toku he me toku hara.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 He aha tou mata i huna ai e koe? He aha ahau i kiia ai e koe he hoariri?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 E kapokapohia ranei e koe te pakawha e puhia haeretia ana? E whaia ranei e koe te papapa maroke?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Kei te tuhituhi na hoki koe i nga mea kawa moku, e mea ana hoki kia riro mai i ahau nga he o toku taitamarikitanga.
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 Karapitia iho e koe oku waewae ki te rakau, he mea tohu nau oku ara katoa, a he mea tuhi nau oku takahanga waewae tawhio noa:
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 Ahakoa toku rite kei te mea pirau, e memeha noa ana, kei te kakahu e kainga ana e te purehurehu.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.