+ Matthew 1 >
1 Isinduna thamliba asi David amadi Abraham-gi charon suron oiriba Jisu Christtagi pari purigi maramdani.
Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi, mzawa wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake:
2 Abraham-na Isaac pok-i, Isaac-na Jacob pok-i, Jacob-na Judah amasung mahakki machin manaosing pok-i.
Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake,
3 Aduga Judah-na Perez amasung Zerah pok-i, amasung Tamar-na makhoigi mamani. Aduga Perez-na Hezron pok-i, Hezron-na Ram pok-i.
Yuda alimzaa Faresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Faresi alimzaa Hesroni, Hesroni alimzaa Rami,
4 Aduga Ram-na Amminadab pok-i, Amminadab-na Nahshon pok-i, Nahshon-na Salmon pok-i.
Rami alimzaa Aminadabu, Aminadabu alimzaa Nashoni, Nashoni alimzaa Salmoni,
5 Salmon-na Rahab louduna Boaz pok-i. Aduga Boaz-na Ruth louduna Obed pok-i. Adudagi Obed-na Jesse pok-i.
Salmoni alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu). Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi, Obedi alimzaa Yese,
6 Jesse-na David ningthou pok-i; aduga David-na Uriah-na louramba nupi adu louduna Solomon pok-i.
naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria).
7 Aduga Solomon-na Rehoboam pok-i, Rehoboam-na Abijah pok-i, Abijah-na Asa pok-i.
Solomoni alimzaa Rehoboamu, Rehoboamu alimzaa Abiya, Abiya alimzaa Asa,
8 Aduga Asa-na Jehoshaphat pok-i, Jehoshaphat-na Jehoram pok-i. Jehoram-na Uzziah pok-i.
Asa alimzaa Yehoshafati, Yehoshafati alimzaa Yoramu, Yoramu alimzaa Uzia,
9 Aduga Uzziah-na Jotham pok-i, Jotham-na Ahaz pok-i, Ahaz-na Hezekiah pok-i.
Uzia alimzaa Yothamu, Yothamu alimzaa Ahazi, Ahazi alimzaa Hezekia,
10 Aduga Hezekiah-na Manasseh pok-i, Manasseh-na Amon pok-i, Amon-na Josiah pok-i.
Hezekia alimzaa Manase, Manase alimzaa Amoni, Amoni alimzaa Yosia,
11 Aduga makhoibu Babylon-da lanpha oina puba matam aduwaida Josiah-na Jeconiah amasung mahakki machin-manaosing pok-i.
Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
12 Adudagi makhoibu Babylon-da lanpha oina pukhraba matungda, Jeconiah-na Shealtiel pok-i, Shealtiel-na Zerubbabel pok-i.
Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerobabeli,
13 Aduga Zerubbabel-na Abiud pok-i, Abiud-na Eliakim pok-i, Eliakim-na Azor pok-i.
Zerobabeli alimzaa Abiudi, Abiudi alimzaa Eliakimu, Eliakimu alimzaa Azori,
14 Aduga Azor-na Zadok pok-i, Zadokna Akim pok-i, Akim-na Eliud pok-i.
Azori alimzaa Zadoki, Zadoki alimzaa Akimu, Akimu alimzaa Eliudi,
15 Aduga Eliud-na Eleazar pok-i, Eleazar-na Matthan pok-i, Matthan-na Jacob pok-i.
Eliudi alimzaa Eleazeri, Eleazeri alimzaa Mathani, Mathani alimzaa Yakobo,
16 Aduga Jacob-na Mary-gi mapuroiba Joseph pok-i. Mary-na Christta kouba Jisu-bu pok-i.
Yakobo alimzaa Yosefu, aliyekuwa mume wake Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
17 Asumna Abrahamda-gi houraga David phaobagi miron pumnamak asi taramarini. Aduga David-tagi houraga makhoibu Babylon-da lanpha oina pukhiba phaoba miron taramarini. Aduga Babylon-da lanpha oina pukhibadagi Christta pokpa phaoba adu miron taramarini.
Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo.
18 Jisu Christta asi matou asumna pokkhi. Ibungogi mama Mary asi Joseph-ka luhongnabagi waroinaraga, makhoi ani leiminadringeigi mamangda mahak Thawai Asengbagi mapanna mironle haiba khanglakle.
Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
19 Adubu Joseph achumba chatpa mi ama oiba maramna, Marybu miyam mangda phongdoktuna ikai phiruk khumhanninglamde. Maram aduna mahakna mana-manin naidana Mary-bu thadoklage haina leplammi.
Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri.
20 Aduga mahakna asumna khallingeida, yeng-u, Mapu Ibungogi dut amana mamangda uhanbiduna asumna hairak-i, “He David-ki macha Joseph, Mary-bu nahakki nupi oina loubada kiganu, Maramdi mahakna naopuriba angang adu Thawai Asengbadagini.
Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
21 Aduga mahakna machanupa ama pokkani, nahakna mahakki maming Jisu thon-gadabani. Maramdi mahakna mahakki misingbu makhoigi paptagi kanbigani.”
Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”
22 Mapu Ibungona Tengban Mapugi wa phongdokpa maichousinggi mapanna phongdokpikhiba wasing adu thungnanaba pumnamak asi thoklare,
Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii:
23 “Yeng-u, leisabi asengbi amana mironduna machanupa ama pokkani, aduga mahakki maming Immanuel kougani, masigi wahanthokti ‘Eikhoiga leiminaba Tengban Mapu’ haibani.”
“Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa Emanueli” (maana yake, “Mungu yu pamoja nasi”).
24 Aduga Joseph-na tumlambadagi hougatlaga, Mapu Ibungogi dut aduna piramba yathang adugi matung inna mahakna Mary-bu luhongduna loure.
Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
25 Adubu Mary-na machanupa adu poktriba phaoba Joseph-na mahakka phidinnaramde. Aduga mahakna angang adugi maming Jisu thonkhi.
Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu.