< Titosy 2 >
1 F’ihe, Taroño ze mañeva atao enta-mahity,
Inakupasa kufundisha itikadi sahihi.
2 hahapendreñe o androanavio ho vañoñe, hilie-batañe, higahiñe am-patokisañe, an-koko naho am-pahaliñisañe;
Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.
3 manahake izay o rakemba beio, t’ie ho vañon-dia mpañeveñe aman-Kake, tsy mpikanifoke, tsy ondevozen-divay, fa mpañoke havañonañe;
Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema,
4 mpanoro o ampelao ho hendre, mpikoko valy naho mpitea anake;
ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa na kiasi, wawapende waume zao na kuwapenda watoto wao,
5 ie mahalie-troke, tsy aman-kila, mahay mañalahala anjomba, matarike, mpiandaly ami’ty vali’e; soa tsy honjirañe ty tsaran’ Añahare.
wawe waaminifu, watakatifu, wakitunza vyema nyumba zao, wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu yeyote asije akalikufuru neno la Mungu.
6 Osiho ka o ajalahio te hilie-batañe.
Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi.
7 Le an-tsata’o iaby, mañaveloa ho fitsikombeam-pitoloñan-tsoa, ho mpañoke vantañe vaho migahiñe,
Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu,
8 añ’enta mifehe, tsy itiñeañe, hanalarañe ty mandietse, tsy hinjeañe.
na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.
9 Osiho ondevoo hiambàne amo tompo’eo, hampifalea’e an-tsata’e iaby, vaho tsy hanointoiñe;
Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao,
10 tsy hampikametse, te mone hitoloñe am-patokisañe do’e, soa te ho bangoe’e amy ze he’e ty fañòhan’ Añahare Mpandrombake antikañe.
wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.
11 Fa niboake ty hasoan’ Añahare minday fandrombahañe ho a ze kila ondaty,
Kwa maana neema ya Mungu ambayo inawaokoa wanadamu wote imefunuliwa.
12 mañoke antika halaiñe ty hatsi-an-Kake naho o hadrao’ ty voatse toio; naho ty hilie-batañe an-kavañonañe, vaho hañori-Kake ami’ty sà toy, (aiōn )
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
13 ie liñisantika i fitamàñe andriañañey—i fiboaham-bolonahen’ Añahare jabahinakey, Iesoà Mpandrombake Norizañey,
huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 i namoe’ay hijebañe antika amy ze fonga fandilaran-Kakey, hañefera’e ho aze ondaty mahimbañe am-pitoloñan-tsoao.
Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.
15 Itaroño naho añosiho naho añereto an-dily fonitse vaho ko apo’o honjiren-drehe.
Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau.