< Romana 9 >

1 Mitaroñe ty hatò amy Norizañey iraho fa tsy misovo-bolañe; mitrao-pitaroñe am-pitsakoreako i Arofo Masiñey,
Ninasema kweli katika Kristo, wala sisemi uongo, dhamiri yangu inanishuhudia katika Roho Mtakatifu.
2 t’ie lonjetse, naho mitolom-pihontoke ty an-troko atoa,
Nina huzuni kuu na uchungu usiokoma moyoni mwangu.
3 fa nisalalaeko t’ie haitoañe amy Norizañey ty amo longoko ama’ nofotseo,
Kwa maana ningetamani hata mimi nilaaniwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu hasa, wale walio wa kabila langu kwa jinsi ya mwili,
4 ie nte-Israele, a’ iareo ty fameloman-ko anake, ty engeñe, o fañinao, ty fanolorañe Hàke, i fisoroñañey, vaho o fampitamàñeo;
yaani, watu wa Israeli, ambao ndio wenye kule kufanywa wana, ule utukufu wa Mungu, yale maagano, kule kupokea sheria, ibada ya kwenye Hekalu na zile ahadi.
5 a’ iareo o raeo, naho boak’am’iareo ami’ty nofotse i Norizañey—i ambone’ ze he’ey, i Andrianañahare rengeñe nainai’ey. Amena. (aiōn g165)
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn g165)
6 Fa tsy te nilesa o tsaran’ Añahareo, amy te tsy hene nte-Israele t’ie tarira’ Israele,
Si kwamba Neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si kila Mwisraeli ambaye ni wa uzao utokanao na Israeli ni Mwisraeli halisi.
7 mbore tsy songa anake t’ie tiri’ i Abraàme; fa, Am’ Isaka ty ikanjiañe o tiri’oo,
Wala hawakuwi wazao wa Abrahamu kwa sababu wao ni watoto wake, lakini: “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.”
8 aa le tsy o tariratse ama ­nofotseo ro anan’ Añahare, fa o ana’ i fitamàñeio ro volilieñe ho tariratse.
Hii ina maana kwamba, si watoto waliozaliwa kimwili walio watoto wa Mungu, bali ni watoto wa ahadi wanaohesabiwa kuwa uzao wa Abrahamu.
9 Hoe ty tsara’ i fitamàñey, Hibalike ami’ty sa toy raho le hanañ’ ajajalahy t’i Sarahae.
Kwa maana ahadi yenyewe ilisema, “Nitakurudia tena wakati kama huu, naye Sara atapata mtoto wa kiume.”
10 Mbore adodea amy Ribkae, ie nampiareña’ Isaka raentika indrai-piolotse,
Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja, yaani, baba yetu Isaki.
11 (iereo mbe tsy nitoly, mboe tsy nanao inoñe ndra soa ndra raty, soa te hijadoñe i fijoboñañe sinafirin’ Añaharey, tsy amo tolon-drahao fa amy Mpikanjiy),
Lakini, hata kabla hao mapacha hawajazaliwa au kufanya jambo lolote jema au baya, ili kwamba kusudi la Mungu la kuchagua lipate kusimama,
12 le hoe ty tsinara ama’e: Hitoroñe ty zai’e ty zoke’e,
si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
13 amy pinatetse ty hoe: Nikokoako t’Iakobe fa nihejeko t’i Esave.
Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”
14 Inoñ’arè ty hatao-­tika? Hera aman’ Añahare ao ty tsy to. Sondo’e izay!
Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu? La, hasha!
15 Fa hoe re amy Mosè: Ho ferenaiñeko ze hiferenaiñako, le ho tretrezeko ze hitretrezako.
Kwa maana Mungu alimwambia Mose, “Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”
16 Aa le tsy ty fisalalà’ ondaty, tsy ty filaisa’ ondaty, fa i Andria­nañahare mpitretrè.
Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu.
17 Le hoe i Sokitse Masiñey amy Farao: Amo safiry zao ty nampionjonako azo, te ihe ty hampiboahañe ty haozarako, naho hanitsihañe ty tane toy ami’ty fitaroñañe i añarakoy.
Kwa maana Maandiko yamwambia Farao, “Nilikuinua kwa kusudi hili hasa, ili nipate kuonyesha uweza wangu juu yako, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.”
18 Aa le tretreze’e ze satri’e, naho ampigàñe’e ze laha’e.
Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.
19 Aa ke hatao’ areo amako ty hoe, Inoñe arè ty itiñea’e an-tika? Ia ty hahasebañe i satri’ey?
Basi mtaniambia, “Kama ni hivyo, kwa nini basi bado Mungu anatulaumu? Kwa maana ni nani awezaye kupinga mapenzi yake?”
20 Hete, ry ‘ndaty, ia v’iheo te manoiñe aman’ Añahare? Ho volañe’ i namboareñey ty hoe hao i namboatse azey: Akore ty nanoe’o ahy?’
Lakini, ewe mwanadamu, u nani wewe ushindane na Mungu? “Je, kilichoumbwa chaweza kumwambia yeye aliyekiumba, ‘Kwa nini umeniumba hivi?’”
21 Hera añana’ i mpanao valañe-taney lily i lietsey, t’ie ami’ty boko’e raike ro itsenea’e sinim-pia­siañe naho ty valàñe tsotra?
Je, mfinyanzi hana haki ya kufinyanga kutoka bonge moja vyombo vya udongo, vingine kwa matumizi ya heshima na vingine kwa matumizi ya kawaida?
22 Aa vaho akore t’i Andrianañahare, ie te hamente ty haviñera’e naho hampandrendreke ty haozara’e, ro nifeake haliñisañe amo valàñen-kabosehañe haro­tsakeo,
Iweje basi, kama Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake na kufanya uweza wake ujulikane, amevumilia kwa uvumilivu mwingi vile vyombo vya ghadhabu vilivyoandaliwa kwa uharibifu?
23 hampahafohinañe ty hafanjàka’ ty enge’e amo valañem-pitretrezañeo, o nihentseñe’e taolo ho rengèñeo?
Iweje basi, kama yeye alitenda hivi ili kufanya wingi wa utukufu wake ujulikane kwa vile vyombo vya rehema yake, alivyotangulia kuvitengeneza kwa ajili ya utukufu wake,
24 Itika nikanjie’e ‘nio, tsy amo Jiosio avao, fa amo kilakila ondatio ka?
yaani pamoja na sisi, ambao pia alituita, si kutoka kwa Wayahudi peke yao, bali pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
25 ie natovo’e amy Hosea ao, ty hoe: Ho tokaveko ty hoe: Ondatiko o tsy ni-ondatikoo, vaho Kokoa’e, i tsy nikokoañey.
Kama vile Mungu asemavyo katika Hosea: “Nitawaita ‘watu wangu’ wale ambao si watu wangu; nami nitamwita ‘mpenzi wangu’ yeye ambaye si mpenzi wangu,”
26 Hifetsake an-toetse nanoañe am’ iereo ty hoe: Tsy ondatiko nahareo, t’ie hikanjiañe ty hoe: anak’ Andrianañahare veloñe.
tena, “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’”
27 Le hoe ty koi’ Isaia ty am’Israele: Ndra te nira amo fasen-driakeo ty ia’ o tiri’ Israeleo, ty sehanga’e avao ty ho rombaheñe,
Isaya anapiga kelele kuhusu Israeli: “Ingawa idadi ya wana wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki yao tu watakaookolewa.
28 fa hafetsa’ Iehovà an-tane atoy i tsinara’ey; tsy kalafo naho masika.
Kwa kuwa Bwana ataitekeleza hukumu yake duniani kwa haraka na kwa ukamilifu.”
29 Le ty amy nitokia’ Isaiay: Naho tsy napo’ i Talè-i-Màroy tiry tika le ho nanahake i Sodoma vaho ho nihambañe amy Gomora.
Ni kama vile alivyotabiri Isaya akisema: “Kama Bwana Mwenye Nguvu Zote asingelituachia uzao, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.”
30 Inoñe arè ty ho asan-tika? T’ie nitendreke havantañañe o kilakila ondaty tsy nimane havañonañeo, eka, toe havantañañe mijadoñ’ am-patokisañe;
Kwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani.
31 fa tsy nahatakatse ty havantaña’ i Hake ka t’Israele nimanemane Hàke.
Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata.
32 Akore? Amy t’ie tsy am-patokisañe fa am-pimanemaneañe, toe nitsikapia’ i vato fitsikapiañey.
Kwa nini? Kwa sababu hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kwa njia ya matendo. Wakajikwaa kwenye lile “jiwe la kukwaza.”
33 Hoe ty pinatetse: Hehe, Apoko e Ziona ao ty vato fitsikapiañe naho ty vato faminganañe; fa tsy ho salatse ty miato ama’e.
Kama ilivyoandikwa: “Tazama naweka katika Sayuni jiwe la kukwaza watu na mwamba wa kuwaangusha. Yeyote atakayemwamini hataaibika kamwe.”

< Romana 9 >