< Romana 12 >
1 Aa le osiheko nahareo, ry longo, ami’ty fiferenaiñan’ Añahare; ty hibanabana ty sandri’ areo ho sorom-beloñe, miavake naho mañeva an’ Andrianañahare, izay ty fitoroñañe sazo anahareo.
Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
2 Ko mitsikombe ty voatse toy, fa miovà ami’ty fañavaoam-betsevetse, hamentea’ areo ty satrin’ arofon’ Añahare soa naho mahafale vaho fonitse. (aiōn )
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn )
3 Fa amy falalàñe natolots’ ahiy, le taroñeko ama’ areo iaby, t’ie tsy hihaboke hilala mandikoatse ty evà’e, fa sambe mimane faharendrehañe migahiñe ty amy fatokisañe nandivan’ Añahare ama’e.
Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
4 Ampanahafeñe aman-tika, te maro ty mpitraoke an-tsandriñe raike ao, fe tsy hambam-pitoloñañe o mpitraoke iabio;
Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
5 hoe izay ka tika maro ro fañòva raike amy Norizañey, sindre mifampipiteke,
Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
6 naho songa aman-dravoravo ankafankafa ty amy falalàñe nitolorañe: he fitokiañe, tsahatse ty fatokisa’e,
Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
7 ke fitoloñañe ty amy fitoroña’ey; ie mpañoke le amy fañòha’ey;
Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
8 ie mpañosike le amy fañosiha’ey, ie mpanolotse le am-patarihañe; ie mpifehe le am-pahimbañañe; ie mpiferenaiñe le an-kaehake.
Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
9 Ehe te ho po-pamañahiañe o fikokoañeo; hejeo ty raty, vontitiro ty soa;
Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
10 Mifampipiteha am-pifampilongoañe; mifampiambanea am-piasiañe.
Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
11 Ko milealea am-pilozohañe, mirebarebà an-troke, toroño t’i Talè.
Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
12 Mirebeha am-pitamàñe; mifeaha an-kaloviloviañe, mifahara an-kalaly;
Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
13 mandivà amy ze paia’ o noro’eo; le mampihova ambahiny.
Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
14 Tatao o mampisoañe anahareo; tsipezo rano fa ko mañinje.
Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
15 Itraofo rebeke o mirebekeo, iharò rovetse o mirovetseo,
Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
16 Songa miharoa rehake; ko mibokenabokenake fa itraofo o mavomavoo, vaho ko mieva hilala.
Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
17 Ko valean-draty ty raty ndra aman’ ia’ia. Imaneo ty soa am-pivazohoa’ ze hene ondaty.
Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
18 Naho mete, amy ze lefe’o, le mifampilongoa am’ ondaty iabio.
Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
19 O roañetse, ko mamale fate, fa mañivaha ho amy haviñera’e, fa hoe ty pinatetse: ahiko ty vale-fate, izaho ro hañavake. hoe t’i Talè.
Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
20 Tovo’e: Naho saliko i rafelahi’oy, anjotsò; ie taliñiereñe, fahano rano; ie anoe’o izay, ro amotrea’o vaen’ afo mibela añambone’e eo.
“Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
21 Ko milesa ami’ty haratiañe, fa gioho ami’ty soa ty raty.
Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.