< Romana 10 >

1 O ry longo, ty salalan-troko naho ty halaliko aman’ Añahare ty am’ Israele, le t’ie ho rombaheñe.
Ndugu zangu, ninataka na kutazamia kwa moyo wangu wote hao wananchi wenzangu wakombolewe. Tena nawaombea kwa Mungu daima.
2 Ataliliko t’ie maringatse ho aman’ Añahare, fe tsy an-kilala;
Maana naweza kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.
3 ie tsy nahafoniñe ty hamarentanen’ Añahare, te mone nipay ty hañoreñañe ty a’ iareo, ie tsy niambane ami’ty havantañan’ Añahare.
Maana hawakufahamu jinsi Mungu anavyowafanya watu wawe waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali njia hiyo ya Mungu ya kuwafanya wawe waadilifu.
4 I Norizañey ro firefea’ i Hake, hañavantañe ze hene mpiato.
Maana kwa kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe kuwa mwadilifu.
5 Nabeja’ i Mosè ty havañonañe mifototse amy Hake, te: Hitakatse haveloñe ama’e t’indaty mañorike aze.
Kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, Mose aliandika hivi: “Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya Sheria ataishi.”
6 Mbore manao ty hoe ty havantañañe mifototse am-patokisañe: Ko manao ty hoe añ’arofo ao: Ia ty hionjoñe mb’ andindìm-b’eo (hampizotso i Norizañey).
Lakini, kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: “Usiseme moyoni mwako: Nani atapanda mpaka mbinguni? (yaani, kumleta Kristo chini);
7 ke: Ia ty hizotso mb’an-tsikeokeok’ao? (hampitroatse i Norizañey an-kavilasy). (Abyssos g12)
wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” (Abyssos g12)
8 Aa inom-barè ty enta’e? Marine azo i tsaray, am-palie’o ao vaho añ’arofo’o ao, Ie i tsaram-patokisañe taroñe’aiy,
Maandiko Matakatifu yesema hivi, “Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako” nao ndio ile imani tunayoihubiri.
9 t’ie mitaroñe i Talè Iesoà am-palie, vaho iatoa’o an-troke ao te vinañon’ Añahare amo havilasio, le ho rombahen-drehe.
Kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu, utaokoka.
10 Toe añ’arofo ao ty atokisa’ ondaty hanjoa’e havantañañe, vaho am-palie ty hitaroña’e, hitendreha’e rombake.
Maana tunaamini kwa moyo na kukubaliwa kuwa waadilifu; na tunakiri kwa midomo yetu na kuokolewa.
11 Hoe i Sokitse Masiñey, Tsy ho salatse ze miato ama’e.
Maandiko Matakatifu yasema: “Kila amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika.”
12 Tsy eo ty mampiambake ty Jiosy ami’ty Grika; raike ty Talè’ iabikey; matarike amo hene mikanjy azeo.
Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao.
13 fa Hene ho rombaheñe ze mikanjy ty tahina’ i Talè.
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
14 Akore ty hahakanjia’ iareo ty tsy natokisa’ iareo? akore ty hahatokisa’ iareo ty tsy nijanjiñañe? vaho akore ty hahajanjiña’ iareo te tsy amam-pitaroñe?
Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?
15 Akore ty hitaroña’ iareo te tsy niraheñe? Pinatetse ao ty hoe: Hoke! ty hafanjàka o fandiam-pinday talili-soan-draha soao!
Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”
16 Fe tsy hene nañaoñe i talili-soay, fa hoe t’Isaia: O Talè, ia ty niantoke i entam-bola’aiy?
Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”
17 Aa le am-pijanjiñañe ty fatokisañe, le an-tsaontsi’ i Norizañeiy ty fijanjiñañe.
Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na huo ujumbe unatokana na neno la Kristo.
18 Fa hoe iraho: ke t’ie tsy nahajanjiñe? Hete! Fa nanitsike ty tane toy ty fiarañanaña’ iareo, naho pak’añ’olo’ ty voatse toy ty saontsi’ iareo.
Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? Naam, waliusikia; kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Sauti yao imeenea duniani kote; maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu.”
19 Le hoe iraho: Hera tsy nifohi’ Israele? Hoe heike t’i Mosè: Hampikirañeko anahareo ty tsy fifelehañe, ty fifeheañe tsy mahilala ro hampibosehako anahareo
Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: “Nitawafanyeni mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu.”
20 Hoe t’Isaia am-pahavaniañe: Nizoe’ o tsy nipay ahio iraho, Naho nitojo am’ondaty tsy nañontane ahio.
Tena Isaya anathubutu hata kusema: “Wale ambao hawakunitafuta wamenipata; nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu.”
21 Fe hoe re ty am’ Israele: Lomoñandro iraho nañitsi-tañañe am’ ondaty manjehatse naho mitangingiñeo.
Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.”

< Romana 10 >