< Apokalypsy 13 >
1 Le nijagarodoñe amy faseñe añ’olon-driakey re. Treako amy zao ty biby nitroatse boak’an-driak’ ao, aman-tsifa folo naho loha fito, naho nisampe amy tsifa’e rey ty sabakan’enge folo, vaho ninday añaran-katerateràñe i loha’e rey.
Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari. Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru.
2 Nanahake ty farasy i biby nanteakoy, naho hoe aman-tombom-bera vaho hoe vavan-diona ty vava’e. Natolo’ i fañaneñey aze ty haozara’e naho ty fiambesam-pifehea’e vaho ty lily mitiotiotse,
Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa.
3 le hoe pinaratsake ty loha’e raike ho naha-valaenkañe aze, fe nijangañe i fere ho nahafatey, vaho fonga nañorike i bibiy an-dàtsa ty voatse toy,
Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama.
4 nitalaho amy fañaneñe nañomey lily i bibiy, mbore niambane amy bibiy le nanao ty hoe: Ia ty mañirinkiriñe i bibiy? Ia ty hahafialy ama’e?
Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”
5 Nomeam-bava re hivolambolañe firengeañe naho titse, vaho nomean-dily hifehea’e volañe efa-polo-ro’amby;
Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6 aa le sinoka’e ty montsili’e niteratera an’ Andrianañahare, nañìnje ty tahina’e naho i kivoho’ey vaho o mpimoneñe andindìñeo.
Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni.
7 Natolots’aze ty hialy amo noro’eo naho handrebake, naho ty lily hifehea’e ze hene foko naho ondaty naho fameleke vaho fifelehañe.
Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa.
8 Hene hiambane amy bibiy ze mpimoneñe an-tane atoy, ze tsy misokitse amy boken-kavelo’ i Vik’ añondry vinono am-pifotora’ ty voatse toiy i tahina’ey.
Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
9 Ze aman-dravembia, mijanjiña:
Yeye aliye na sikio na asikie.
10 Ze hasese an-drohy le mb’am-bahorañe añe ty haneseañe aze, ze ho vonoe’ ty fibara, le am-pibara ty hampivetrahañe aze. Inao ty fahaliñisañe naho ty fatokisa’ o noro’eo.
Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka, atachukuliwa mateka. Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.
11 Naheoko te indroke ty biby tovo’e nidagarìtse boak’ an-tane ao, aman-tsifa roe hoe añondry f’ie nivolañe hoe fañaneñe.
Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka.
12 Toloñe’e iaby o lili’ i biby valoha’e añatrefa’eio; fonga ampitalahoe’e amy biby valoha’e nanam-père ho nahafate nimelañey ty tane toy naho o mpimoneñe ama’eo.
Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
13 Le anoa’e viloñe jabajaba, ie mampanjotso afo boak’ andindìñe ey pak’an-tane atoy añ’atrefa’ ondatio;
Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi.
14 le fitahe’e o mpimoneñe an-tane atoio amo viloñe natolots’ aze hanoe’e añatrefa’ i bibiy, hanjizy o mpimoneñe an-tane atoio handranjy ty sare’ i biby amam-perem-pibara nibodan-ko veloñey.
Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi.
15 Le nitoloran-dily hampikofòke ty sare’ i bibiy, hampivolañe i sarem-bibiy vaho hañohofa’e loza amy ze fonga mifoneñe tsy hiambane amy sarem-bibiy.
Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.
16 Le hene ampitombohe’e viloñe am-pitàn-kavana’e eo ndra an-dahara’e eo ty kede naho ty bey, o mpañalealeo naho o rarakeo, o fokonontsoao vaho ondevoo,
Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso,
17 tsy hahavily ndra hahaletake naho tsy ama’e i viloñey, ndra ty añara’ i bibiy, ndra ty ia’ i añara’ey.
ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.
18 Inao ty hihitse. Soa re te hamolily ty ia’ i bibiy ty mahilala, amy t’ie ty ia’ ondaty, toe Enen-jato-tsi-enem-polo-eneñ’ amby i ia’ey.
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.