< Salamo 86 >

1 Atokilaño ty ravembia’o ry Iehovà, le toiño iraho, fa rarake naho misotry.
Maombi ya Daudi. Ee Bwana, sikia na unijibu, kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.
2 Ambeno ty fiaiko, fa mañorike Hake, Ihe ry Andrianañahareko, rombaho o mpitoro’o mipalitse ama’oo.
Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako, wewe ni Mungu wangu, mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.
3 Tretrezo iraho, ry Talè, izaho mitoreo lomoñandro.
Ee Bwana, nihurumie mimi, kwa maana ninakuita mchana kutwa.
4 Ampifaleo ty fiaim-pitoro’o, fa Ihe, ry Talè, ro añonjonako troke.
Mpe mtumishi wako furaha, kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana, ninainua nafsi yangu.
5 Amy te Ihe, ry Talè, ro soa, naho veka’e hañaha hakeo, vaho lifotse fiferenaiñañe ho amo mikanjy Azo iabio.
Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe, umejaa upendo kwa wote wakuitao.
6 Toloro ravembia, ry Iehovà, i halalikoy, vaho haoño ty feom-pisolohoako.
Ee Bwana, sikia maombi yangu, sikiliza kilio changu unihurumie.
7 Hikanjiako ami’ty androm-pañemberañ’ ahiko, amy te hanoiñe ahy irehe.
Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.
8 tsy eo ty fanalolahy hambañ’ama’o ry Talè; vaho tsy eo ty fitoloñañe manahake o Azoo.
Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe, hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.
9 Ze kila ondaty nitsenè’o, ro homb’ ama’o mb’eo hitalaho, ry Talè, hibango ty tahina’o.
Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya yatakuja na kuabudu mbele zako; wataliletea utukufu jina lako.
10 Jabahinake ‘n-Iheo, mpanao raha tsitantane; Ihe avao ro Andrianañahare.
Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu; wewe peke yako ndiwe Mungu.
11 Anaro ahy i lala’oy, ry Iehovà, hitsontihako ami’ty hatò’o; anò tro-tokan-draho hañeveñako i tahina’oy.
Ee Bwana, nifundishe njia yako, nami nitakwenda katika kweli yako; nipe moyo usiositasita, ili niweze kulicha jina lako.
12 Hañandriañe Azo iraho, ry Talè Andrianañahareko, an-kaliforan’ troke, vaho ho bangoeko nainai’e ty tahina’o.
Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote; nitaliadhimisha jina lako milele.
13 Hinakinake ty hafatram-pikokoa’o amako, naho navotso’o ami’ty halalen-tsikeokeok’ ao ty fiaiko. (Sheol h7585)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol h7585)
14 O Andrianañahare, fa mitroatse amako o mpirengevokeo; vaho mipay hañe-doza amako o lo-tsereke miotrañeo, ie tsy nampijadoñ’ azo aolo’ ty maso’ iareo.
Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia; kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu: watu wasiokuheshimu wewe.
15 Fa Ihe, Talè, ro Andrianañahare bey tretrè naho hasoa, malaon-kaviñerañe, vaho lifo-piferenaiñañe naho ty hatò.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.
16 Mitoliha amako, le matariha, ehe, andivao amo mpitoro’oo ty haozara’oo vaho rombaho ty anak’am-pata’o.
Nigeukie na unihurumie; mpe mtumishi wako nguvu zako, mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.
17 Ehe, anoloro vilon-tsoa, hahaisaha’ o malaiñe ahikoo hisalara’e, amy te Ihe, ry Iehovà, ro nañimba ahy vaho nañohò ahy.
Nipe ishara ya wema wako, ili adui zangu waione nao waaibishwe, kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umenisaidia na kunifariji.

< Salamo 86 >