< Salamo 75 >
1 Fa nañandriañe Azo zahay ry Andrianañahare! fa nañandriañe Azo, fa marine i tahina’oy, fa nitaroñeñe o fitoloña’o fanjakao.
Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
2 Ie amotoañako andro; le hizaka ami’ty fahiti’e iraho.
Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
3 Mitranake ty tane toy naho ze kila mimoneñe ao, Izaho ty nampijadoñe o faha’eo. Selà
Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
4 Hanoeko ty hoe amo mpirengevokeo: Ko mandroharoha! le amo lo-tserekeo: Ko mañonjon-tsifa.
Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
5 Ko zonjoeñe añ’abo o tsifa’ areoo, vaho ko mivolañe an-kagàn-kàtoke.
Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
6 Fa tsy boak’atiñana ndra ahandrefa ndra am-patrambey añe ty fañonjonañe.
Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
7 I Andrianañahare ro mizaka; afotsa’e ty raike le aonjo’e ty raike.
Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
8 Am-pità’ Iehovà ao ty fitovy pea divay mandroso, lifo-pilaroañe; le ampidoañe’e; toe ho drofote’ ze fonga lo-tsereke an-tane atoy, vaho hagodra’ iareo o karafo’eo.
Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
9 Fa naho izaho, ho talilieko nainai’e, ho rengeko an-tsabo t’i Andrianañahare’ Iakobe.
Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
10 Fonga ho kitsiheko ty tsifa’ o lo-tserekeo, fe honjoneñe ty tsifa’ o vantañeo.
Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”