< Salamo 66 >

1 Mipoñafa rebek’ aman’ Andrianañahare, ry hene tane toy!
Mpigieni Mungu kelele za shangwe, nchi yote;
2 Isabò ty volonahe’ i Tahina’ey, toloro engeñe mitoabotse.
Imbeni utukufu wa jina lake; mzitukuze sifa zake.
3 Anò ty hoe aman’ Añahare: Ra’elahy o tolon-draha’oo! Ami’ty hajabahinan-kaozara’o ty hitsolofìña’ o rafelahi’oo aolo’o eo.
Mwambieni Mugu, “Matendo yako yanatisha kama nini! Kwa ukuu wa nguvu zako maadui zako watajisalimisha kwako.
4 Hene hitalaho ama’o ty tane toy, naho hisabo fandrengeañe ama’o; ho bangoe’ iereo ty tahina’o. Selà
Nchi yote watakuabudu wewe na watakuimbia wewe; wataliimbia jina lako.” (Selah)
5 Antao hañisake o fitoloñan’Añahareo: mampañeveñe o ana’ondatio o sata’eo.
Njoni na mtazame kazi za Mungu; yeye anatisha katika matendo yake awatendeayo wanadamu.
6 Nabali’e ho tane kànkañe i riakey, nitsaham-pandia’ iareo i oñey; añe ty nirebehan-tika.
Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; wao walitembea kwa mguu juu ya mto; huko tulishangilia katika yeye.
7 Manjaka an-kaozara’e nainai’e re, jilovem-pihaino’e o fifeheañeo, we te tsy hiroharoha’ o mpiolao. Selà
Yeye anatawala milele kwa nguvu zake; macho yake yanachunguza mataifa; waasi wasijivune. (Selah)
8 Andriaño t’i Andrianañaharen-tika ry ondatio, ipoñafo feom-pandrengeañe;
Mtukuzeni Mungu, enyi watu wa mataifa yote, sauti ya sifa zake isikike.
9 Ie mitañe an-tika veloñe, naho tsy apo’e hasitse o fandian-tikañeo.
Yeye atuwekaye hai, naye hairuhusu miguu yetu iteleze.
10 Fa namente anay irehe, ry Andrianañahare, fa natrana’o hoe fitranaham-bolafoty.
Kwa maana wewe, Mungu, umetupima sisi, wewe umetupima kama inavyopimwa fedha.
11 Nasese’o an-karato ao, vaho nampibabe’o faloviloviañe o hàto’aio.
Wewe ulituingiza sisi kwenye wavu; uliweka mzigo mzito viunoni mwetu.
12 Nampiningire’o ambone’ ty añambone’ay t’indaty, zahay nisibek’ afo naho rano, fe naaka’o ho an-kavokarañe.
Wewe uliwafanya watu wasafiri juu ya vichwa vyetu; tulipita motoni na majini, lakini ukatuleta mahali pa wazi palipo salama.
13 Himoak’ añ’anjomba’o ao raho hinday engan-koroañe; hañenefako o nifantàkoo,
Nitaingia nyumbani mwako nikiwa na sadaka ya kuteketezwa; nitakulipa viapo vyangu
14 ze vinolan-tsoñiko vaho rineham-bavako t’ie niankoheke.
ambavyo midomo yangu iliahidi na kinywa changu kiliongea nilipokuwa katika dhiki.
15 Hengaeko kobatroke horañe, an-katòen’ añondri-lahy, hisoroñe bania naho oselahy. Selà
Nitakutolea sadaka ya kuteketezwa ya wanyama wanene pamoja na harufu nzuri ya kondoo waume; Nitatoa ng'ombe na mbuzi. (Selah)
16 Mb’etoa hijanjiñe ry mpañeveñe aman’ Añahare iabio, le ho talilieko o nanoe’e an-kavelokoo.
Njoni, msikie, ninyi nyote mnao mwabudu Mungu, nami nitatangaza yale yeye aliyoitendea roho yangu.
17 Nitoreo am-bavako, le nampionjoneko an-delako.
Nilimlilia kwa kinywa changu, naye alipendezwa na ulimi wangu.
18 Ie mahatrea hakeo an-troko ato, le tsy hijanjiña’ i Talè.
Kama ningelikuwa na dhambi ndani ya moyo wangu, Bwana asingenisikiliza.
19 Fa toe mijanjiñe ahy t’i Andrianañahare haoñe’e i feon-kalalikoy.
Lakini Mungu hakika amesikia; amesikia sautiya kuomba kwangu.
20 Andriañeñe t’i Andrianañahare, amy te tsy ambohoa’e i filolofakoy, vaho tsy afaha’e amako ty fiferenaiña’e.
Atukuzwe Mungu, ambaye hakuyakataa maombi yangu wala kuweka uaminifu wa agano lake mbali nami.

< Salamo 66 >