< Salamo 66 >

1 Mipoñafa rebek’ aman’ Andrianañahare, ry hene tane toy!
Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi. Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
2 Isabò ty volonahe’ i Tahina’ey, toloro engeñe mitoabotse.
Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
3 Anò ty hoe aman’ Añahare: Ra’elahy o tolon-draha’oo! Ami’ty hajabahinan-kaozara’o ty hitsolofìña’ o rafelahi’oo aolo’o eo.
Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
4 Hene hitalaho ama’o ty tane toy, naho hisabo fandrengeañe ama’o; ho bangoe’ iereo ty tahina’o. Selà
Dunia yote yakusujudia, wanakuimbia wewe sifa, wanaliimbia sifa jina lako.”
5 Antao hañisake o fitoloñan’Añahareo: mampañeveñe o ana’ondatio o sata’eo.
Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!
6 Nabali’e ho tane kànkañe i riakey, nitsaham-pandia’ iareo i oñey; añe ty nirebehan-tika.
Alifanya bahari kuwa nchi kavu, wakapita kati ya maji kwa miguu, njooni, tumshangilie.
7 Manjaka an-kaozara’e nainai’e re, jilovem-pihaino’e o fifeheañeo, we te tsy hiroharoha’ o mpiolao. Selà
Yeye hutawala kwa uwezo wake milele, macho yake huangalia mataifa yote: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.
8 Andriaño t’i Andrianañaharen-tika ry ondatio, ipoñafo feom-pandrengeañe;
Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,
9 Ie mitañe an-tika veloñe, naho tsy apo’e hasitse o fandian-tikañeo.
ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.
10 Fa namente anay irehe, ry Andrianañahare, fa natrana’o hoe fitranaham-bolafoty.
Ee Mungu, wewe ulitujaribu, ukatusafisha kama fedha.
11 Nasese’o an-karato ao, vaho nampibabe’o faloviloviañe o hàto’aio.
Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.
12 Nampiningire’o ambone’ ty añambone’ay t’indaty, zahay nisibek’ afo naho rano, fe naaka’o ho an-kavokarañe.
Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele.
13 Himoak’ añ’anjomba’o ao raho hinday engan-koroañe; hañenefako o nifantàkoo,
Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
14 ze vinolan-tsoñiko vaho rineham-bavako t’ie niankoheke.
nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
15 Hengaeko kobatroke horañe, an-katòen’ añondri-lahy, hisoroñe bania naho oselahy. Selà
Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.
16 Mb’etoa hijanjiñe ry mpañeveñe aman’ Añahare iabio, le ho talilieko o nanoe’e an-kavelokoo.
Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
17 Nitoreo am-bavako, le nampionjoneko an-delako.
Nilimlilia kwa kinywa changu, sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.
18 Ie mahatrea hakeo an-troko ato, le tsy hijanjiña’ i Talè.
Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza;
19 Fa toe mijanjiñe ahy t’i Andrianañahare haoñe’e i feon-kalalikoy.
lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.
20 Andriañeñe t’i Andrianañahare, amy te tsy ambohoa’e i filolofakoy, vaho tsy afaha’e amako ty fiferenaiña’e.
Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!

< Salamo 66 >