< Salamo 61 >

1 Janjiño ty koiko, ry Andrianañahare; haoño o halalikoo.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.
2 Boak’ añ’olon-tane añe ty ikoihako Azo, naho opo ty troko; iaolò mb’an-­damilamy abo te amako.
Kutoka miisho ya dunia ninakuita, ninaita huku moyo wangu unadhoofika; uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu kuliko mimi.
3 Amy te Ihe ro fipalirako, haboañe fatratse aolon-drafelahiko eo.
Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu, ngome imara dhidi ya adui.
4 Hitoboke an-kivoho’o ao nainai’e iraho; hipalirako añ’alo’ o ela’oo. Selà
Natamani kukaa hemani mwako milele, na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
5 Fa jinanji’o o nifantàkoo ry Andrianañahare; tinolo’o ty lova’ o mpañeveñe amy tahina’oio.
Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
6 Tompeo andro ty andro’ i mpanjakay, ho tarirats’ an-tariratse o tao’eo.
Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
7 Hiambesatse añatrefan’ Añahare eo nainai’e; afantoho hañambeñe aze ty fiferenaiñañe naho ty hatò.
Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
8 Le ho bangoeko an-tsabo nainai’e ty tahina’o, ie henefeko boak’ andro o nifantàkoo.
Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.

< Salamo 61 >