< Salamo 54 >
1 Rombaho iraho ry Andrianañahare ty amy tahina’oy, vaho meo-to amo haozara’oo.
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 Ry Andrianañahare, janjiño ty halaliko, toloro ravembia o entam-bavakoo.
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Miongake hiatreatre ahy ty ambahiny, paia’ o mitrotrofiakeo ty fiaiko, tsy nampiaoloe’ iareo t’i Andrianañahare. Selà
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 Inao! Mpañimb’ahy t’i Andrianañahare, Fiatoam-piaiko t’i Talè.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 Hafote’e amo mivoñoñe ahiko ty haratia’ iareo; Rotsaho iereo ami’ty figahiña’o.
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Mañenga ama’o an-tsatrin-tro iraho, andriañeko i tahina’oy ry Iehovà, amy te ie ty soa;
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 Fa nafaha’e amako ze hene haemberañe, vaho nisambae’ o masokoo o rafelahikoo.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.